Mwanamke akikupenda atakupatia zawadi na wala hatakua na shida na fedha zako

Mwanamke akikupenda atakupatia zawadi na wala hatakua na shida na fedha zako

Hashimu lwenje

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2017
Posts
415
Reaction score
361
Leo ndio nimeamini mwanamke akikupenda atakupatia zawadi na wala hatokua na shida na fedha zako.

Mwanamke mmoja mkali sana ameniletea zawadi Leo, nimefurahi sana hata usingizi hauji yaani. Tena akaniambia unastahili zaidi ya hivyo, nimebaki mdomo wazi.

Bado nawaza aise.
Nilichojifunza wanaume wengi hatukutani na wanaotupenda kwasababu hatujichanganyi katika mazingira yenye hao wanaotupenda.

Ni hayo tu.
 
upo sahihi kabisa, wakati mwingine mtu anaweza kulia kwamba wanawake wabaya kumbe ni tatizo lake mwenyewe anajichanganya na pisi ambazo hazina muda na mapenzi.
hakuna raha kama kupewa dhawadi na mwanamke, you feel special
 
Nakubali kaka mimi mwenyewe nilikuwa naletewa zawadi dah nikajiona mim handsome demu nikawa namuendesha navyo taka hadi natuna nikaachwa dah nimezuzula kupata demu wakunipa ela na zawadi nimekosa wote nao kutana nao wananichuna dah nimeamua bora nirudie matapishi x wangu
 
Nakubali kaka mim mwenyewe nilikuwa naletewa zawadi dah nikajiona mim handsome demu nikawa namuendesha navyo taka hadi natuna nikaachwa dah nimezuzula kubata demu wakunipa ela na zawadi nimekosa wote nao kutana nao wananichuna dah nimeamua bora nirudie matapishi x wangu nirudiane kwanza mzuri kinoma halafu anajali
hongera mkuu, ila edit comment maana umechapia sana mkuu
 
Timu Roho Mbaya hapa...
images.jpg
 
Acha mbwembwe kijana... Kwanza embu yueleze Mahusiano yenu yana mda gani?

Eti wala hatokuwa na shida na pesa zako. [emoji16][emoji16][emoji16] Ni suala la mda tu. Anakuvutia kasi, siku akianza kukutandika spana za kichwa ndo akili itakujia otherwise iwe umekutana na shugamami huko. [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Acha mbwembwe kijana... Kwanza embu yueleze Mahusiano yenu yana mda gani?
Eti wala hatokuwa na shida na pesa zako. [emoji16][emoji16][emoji16] Ni suala la mda tu. Anakuvutia kasi, siku akianza kukutandika spana za kichwa ndo akili itakujia otherwise iwe umekutana na shugamami huko. [emoji2] [emoji2] [emoji2]

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
😁😁😁😁😁😁😁😁wala sio shuga mami ni mtoto haswa mkuu, sema nina wasiwasi asije akawa ana invest.
 
Nakubali kaka mim mwenyewe nilikuwa naletewa zawadi dah nikajiona mim handsome demu nikawa namuendesha navyo taka hadi natuna nikaachwa dah nimezuzula kupata demu wakunipa ela na zawadi nimekosa wote nao kutana nao wananichuna dah nimeamua bora nirudie matapishi x wangu
Mmerudiana lakini ukae ukijua kashajanjaruka huyo... na sio wa kumuendesha tena kama ulivyokuwa unamuendesha na kumtukana. Mwanadamu ukipata bahati itumie vizuri, ukiipoteza mwisho ukaja kuipata tena kamwe haitakuwa kama ile ya mwanzo.


[emoji41][emoji41]

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]wala sio shuga mami ni mtoto haswa mkuu, sema nina wasiwasi asije akawa ana invest.
Kama anaeleweka nawe muonyeshe upendo pia kwa vizawadi zawadi. Usisubirie kupewa tuu, bali nawe inapaswa ujiongeze kijanja.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom