Mwanamke akikupenda atakupatia zawadi na wala hatakua na shida na fedha zako

Mwanamke akikupenda atakupatia zawadi na wala hatakua na shida na fedha zako

Hahahahah unajua lazma upate mfano hai wa upendo. Sasa we utajuaje upendo bila mafunzo kwa vitendo[emoji16]
A wapi [emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo mifano hai ni kinyume na taratibu zetu born again Christians
 
Leo ndio nimeamini mwanamke akikupenda atakupatia zawadi na wala hatokua na shida na fedha zako.

Mwanamke mmoja mkali sana ameniletea zawadi Leo, nimefurahi sana hata usingizi hauji yaani. Tena akaniambia unastahili zaidi ya hivyo, nimebaki mdomo wazi.

Bado nawaza aise.
Nilichojifunza wanaume wengi hatukutani na wanaotupenda kwasababu hatujichanganyi katika mazingira yenye hao wanaotupenda.

Ni hayo tu.
kweli kbsa mkuu..
Mimi hii ni true story ya Maisha yangu.mwenyez mungu ampe Maisha marefu na baraka zote demu wangu dah..
Ananipenda t bila sbbu na sent tano yangu haniombi na mshahara wake sometimes nakula mie ad unaisha..
Mwanamke akipenda anapenda kweli wakuu..
 
Yuko nliempenda,ss cjui kaniona boya,kanitamkia mwenyew kuwa kanicheat,baada ya kuona nmeamua mpotezea kabadili gear angan ns kumtumia rafik yake kwa kuja na utetez kwamba hajacheat ila alikuwa ananipma tu,c yy wala demu, wote nliwatukana tena matus yaliyojificha ndani ya nguo....kiujumla wanawake hawajui wanataka nn
 
Yuko nliempenda,ss cjui kaniona boya,kanitamkia mwenyew kuwa kanicheat,baada ya kuona nmeamua mpotezea kabadili gear angan ns kumtumia rafik yake kwa kuja na utetez kwamba hajacheat ila alikuwa ananipma tu,c yy wala demu, wote nliwatukana tena matus yaliyojificha ndani ya nguo....kiujumla wanawake hawajui wanataka nn

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom