Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hahahahah unajua lazma upate mfano hai wa upendo. Sasa we utajuaje upendo bila mafunzo kwa vitendošAya ya mwisho umevuruga kila kitu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahah unajua lazma upate mfano hai wa upendo. Sasa we utajuaje upendo bila mafunzo kwa vitendošAya ya mwisho umevuruga kila kitu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
A wapi [emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahah unajua lazma upate mfano hai wa upendo. Sasa we utajuaje upendo bila mafunzo kwa vitendo[emoji16]
kweli kbsa mkuu..Leo ndio nimeamini mwanamke akikupenda atakupatia zawadi na wala hatokua na shida na fedha zako.
Mwanamke mmoja mkali sana ameniletea zawadi Leo, nimefurahi sana hata usingizi hauji yaani. Tena akaniambia unastahili zaidi ya hivyo, nimebaki mdomo wazi.
Bado nawaza aise.
Nilichojifunza wanaume wengi hatukutani na wanaotupenda kwasababu hatujichanganyi katika mazingira yenye hao wanaotupenda.
Ni hayo tu.
Yuko nliempenda,ss cjui kaniona boya,kanitamkia mwenyew kuwa kanicheat,baada ya kuona nmeamua mpotezea kabadili gear angan ns kumtumia rafik yake kwa kuja na utetez kwamba hajacheat ila alikuwa ananipma tu,c yy wala demu, wote nliwatukana tena matus yaliyojificha ndani ya nguo....kiujumla wanawake hawajui wanataka nn