Mwanamke akikupenda atakupatia zawadi na wala hatakua na shida na fedha zako

Mwanamke akikupenda atakupatia zawadi na wala hatakua na shida na fedha zako

Afu hawapendeki hawa watu,wanatumia upendo huo kama fimbo kwa aliyependa sana
Mnaanza vizuri ,,baadaye mwanamke unaongeza upendo basi anakuona boya[emoji23][emoji23]anakutesa akijua kabisa huwezi kumuacha.
Kumbe unamvutia tu siku!Kuna muda uvumilivu ukifikia tamati basi unajichomoa anabaki haamini.

Mimi sitakuja fanya tena hayo makosa ya kumuonyesha mtu kuwa namjali sana...hawajui wanachotaka hawa
 
Ngoja nikasome kitabu changu cha Rules of marriage usiku mwema [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usinitishe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...

Mbona tunatishana jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tupeane mioyo
 
Mnaanza vizuri ,,baadaye mwanamke unaongeza upendo basi anakuona boya[emoji23][emoji23]anakutesa akijua kabisa huwezi kumuacha.
Kumbe unamvutia tu siku!Kuna muda uvumilivu ukifikia tamati basi unajichomoa anabaki haamini.

Mimi sitakuja fanya tena hayo makosa ya kumuonyesha mtu kuwa namjali sana...hawajui wanachotaka hawa
Usiapize,utampata tu na usijutie kuwa na upendo wa namna hiyo una raha yake mom na ndo upendo halisi ....ukiona humjali mpenzio ingawa yeye anajali yaan hapo umejiforce kupenda
 
Nina mambi mengu sitaki kutaja nini iyo wanawake kwa kumbukumbu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kabila[emoji2960]
Leo kiulaini umetaja mwenyewe...

Ila nasikiaga mna roho mbaya,wabaguzi...
Ila nachowapendea ni zile sherehe za December..aki ya nani nazitamani Sana,i wish siku moja nihudhurie kula nyama choma zile.
 
Usiapize,utampata tu na usijutie kuwa na upendo wa namna hiyo una raha yake mom na ndo upendo halisi ....ukiona humjali mpenzio ingawa yeye anajali yaan hapo umejiforce kupenda
Kuonyesha tena huo upendo labda kwa mtu anayejitambua.

Ilinicost Sana aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]siji rudia..nilihangaika mno kutoka.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usinitishe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...

Mbona tunatishana jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tupeane mioyo
Moyo wangu mbona nimekupa unataka moyo gani tena wewe wako hujanipa😂😂😂😂
 
Kabila[emoji2960]
Leo kiulaini umetaja mwenyewe...

Ila nasikiaga mna roho mbaya,wabaguzi...
Ila nachowapendea ni zile sherehe za December..aki ya nani nazitamani Sana,i wish siku moja nihudhurie kula nyama choma zile.
Saaa ukisema unaskia tu na roho mbaya😂😂😂😂 na mimi nikisema nayoyaskia kuhusu mbeya e.g. Wanyakyusa wanavoingiliana wao kwa wao😂😂😂😂😂 hizi ni stori tu za wazee au na weww unawaskiliza?
 
Moyo wangu mbona nimekupa unataka moyo gani tena wewe wako hujanipa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]aiseee
Basi niseme hivi;
Tutiane mioyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Saaa ukisema unaskia tu na roho mbaya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na mimi nikisema nayoyaskia kuhusu mbeya e.g. Wanyakyusa wanavoingiliana wao kwa wao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hizi ni stori tu za wazee au na weww unawaskiliza?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ila za huko kwenu zitakuwa na ukweli bwana [emoji2960]

Huku sisi ni majeshi ya Kristo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]aiseee
Basi niseme hivi;
Tutiane mioyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mioyo yetu itiane jaman si itapasuka puuuu😂😂😂😂
 
Leo ndio nimeamini mwanamke akikupenda atakupatia zawadi na wala hatokua na shida na fedha zako.

Mwanamke mmoja mkali sana ameniletea zawadi Leo, nimefurahi sana hata usingizi hauji yaani. Tena akaniambia unastahiri zaidi ya hivyo, nimebaki mdomo wazi.

Bado nawaza aise.
Nilicho jifunza wanaume wengi hatukutani na wanaotupenda kwasababu hatujichanganyi katika mazingira yenye hao wanaotupenda.

Ni hayo tu.
Had been my girlfriend from2001 .. Of which she is my wife by now .ndoa takakatifu katoliki 2015, jan 10th ... I did her so wrongs ..yet never cheat on me(i believe so namjua) .. I brought two lil girls .. She accepted them and still under my roof ... By then ... I never did her wrong ..... I knew she my my queen .. My savior ... My repent
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ila za huko kwenu zitakuwa na ukweli bwana [emoji2960]

Huku sisi ni majeshi ya Kristo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa amini unavyo amini kile unachosikia ndo kimejaza moyo wako, lakini umeishi na watu wangapi kutoka kaskazini?
 
Sawa amini unavyo amini kile unachosikia ndo kimejaza moyo wako, lakini umeishi na watu wangapi kutoka kaskazini?
Binafsi siamini hivyo.
Nimeishi na wapendwa wangu wadada wa kichaga,hayo yasemwayo Wala sikuyaona kwao.
Hata wao wakawa wanasema kuwa watu wa Mbeya huwa mnasemwa hivi,kumbe ni uongo.
 
Back
Top Bottom