Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama watu wengine wanaonesha effort ya kukuhitaji huwataki huwa wanakulaani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hupati amanj kwenye mapenzi
Imekutokea mara 1 ukinikataa mimi subiri zingine 5 za maanaπππ[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
A wapi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Iliwahi nitokea kabla watu wengine hawajaonyesha effort.
Sisi wengine tuko emotional sana,hatuwezi ficha hisia aisee...kumbe mtu akishaona hivyo basi anapata pa kukutesea.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Imekutokea mara 1 ukinikataa mimi subiri zingine 5 za maana[emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo nishakuambia piga hesabu zako vizuri.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ikinitokea tena si napiga tu chini kwani shi ngapi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usinitishe[emoji1787]Ndo nishakuambia piga hesabu zako vizuri.
Me sikutishi lakini ndo ivo usicheze na mangiππππUsinitishe[emoji1787]
Kawaida ya waswahili ila sie smart niggaz huwa tuna show appreciation kwa more love πTatizo lenu mkishajuwa hapa napendwa mnaanza kuharibu,..
Mangi[emoji2960]Me sikutishi lakini ndo ivo usicheze na mangi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
π π π π Utapitwa na gari la mshahara oho wekeza kwa mangi hapa mambo ya ningejuaπππMangi[emoji2960]
Sitishiki [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo unakuwa umempenda mshamba wa mapenziπ!!! Nilichojifunza tu mwanamke akikupenda anakufanyia vitu vizuri vizuri tu na hakuombi hela ila pia mwanamume akikupenda hutomuomba hela anakupatia tuπ[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukishaonyesha tu kuwa unampenda sana mtu anaanza kukuona mjinga.
Kama yupo kama Hamisa jua umeliwa πππππππππππwala sio shuga mami ni mtoto haswa mkuu, sema nina wasiwasi asije akawa ana invest.
HahahahahahAcha mbwembwe kijana... Kwanza embu yueleze Mahusiano yenu yana mda gani?
Eti wala hatokuwa na shida na pesa zako. [emoji16][emoji16][emoji16] Ni suala la mda tu. Anakuvutia kasi, siku akianza kukutandika spana za kichwa ndo akili itakujia otherwise iwe umekutana na shugamami huko. [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Utapitwa na gari la mshahara oho wekeza kwa mangi hapa mambo ya ningejua[emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi siamini katika kuomba omba.Hapo unakuwa umempenda mshamba wa mapenzi[emoji16]!!! Nilichojifunza tu mwanamke akikupenda anakufanyia vitu vizuri vizuri tu na hakuombi hela ila pia mwanamume akikupenda hutomuomba hela anakupatia tu[emoji16]
Nakataaa,wapo kaka tena wengiAcha mbwembwe kijana... Kwanza embu yueleze Mahusiano yenu yana mda gani?
Eti wala hatokuwa na shida na pesa zako. [emoji16][emoji16][emoji16] Ni suala la mda tu. Anakuvutia kasi, siku akianza kukutandika spana za kichwa ndo akili itakujia otherwise iwe umekutana na shugamami huko. [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Tatizo me nakupenda afu unajidai huelewi au hii Coronyaππππ[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Leo unaniandama Sana[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo me nakupenda afu unajidai huelewi au hii Coronya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aya ngoja nikuache.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi si unajua nina mchumba eeh.??
Mambo ya koronya hebu yaache bwana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mchumba bongo ππππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi si unajua nina mchumba eeh.??
Mambo ya koronya hebu yaache bwana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]