Mwanamke akikupenda atakupatia zawadi na wala hatakua na shida na fedha zako

Kama watu wengine wanaonesha effort ya kukuhitaji huwataki huwa wanakulaani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hupati amanj kwenye mapenzi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
A wapi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Iliwahi nitokea kabla watu wengine hawajaonyesha effort.

Sisi wengine tuko emotional sana,hatuwezi ficha hisia aisee...kumbe mtu akishaona hivyo basi anapata pa kukutesea.
 
Imekutokea mara 1 ukinikataa mimi subiri zingine 5 za maanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Imekutokea mara 1 ukinikataa mimi subiri zingine 5 za maana[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ikinitokea tena si napiga tu chini kwani shi ngapi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukishaonyesha tu kuwa unampenda sana mtu anaanza kukuona mjinga.
Hapo unakuwa umempenda mshamba wa mapenzi😁!!! Nilichojifunza tu mwanamke akikupenda anakufanyia vitu vizuri vizuri tu na hakuombi hela ila pia mwanamume akikupenda hutomuomba hela anakupatia tu😁
 
Hahahahahah
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Utapitwa na gari la mshahara oho wekeza kwa mangi hapa mambo ya ningejua[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Leo unaniandama Sana[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapo unakuwa umempenda mshamba wa mapenzi[emoji16]!!! Nilichojifunza tu mwanamke akikupenda anakufanyia vitu vizuri vizuri tu na hakuombi hela ila pia mwanamume akikupenda hutomuomba hela anakupatia tu[emoji16]
Mimi siamini katika kuomba omba.
Mtu akiona umuhimu wa kukupa atakupa,na mtu asije kaa akisubiri mimi nitamuomba...never.

Sema hii dunia kuna watu sijui wapoje,akishajua tu kuwa unampenda basi atakunyanyasa hadi ukome.
 
Nakataaa,wapo kaka tena wengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…