LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Au wana kuwaga na mapepo nini ? maana mwanamke akiwa mzuri kupita kiasi hadi mapepo huwa yanawapenda ( Gen 6:1–4 )
Kama una mwanamke mzuri kupita kiasi usizae nae mpaka baada ya miaka mitano ya ndoa/mahusiano kwa sababu uzoefu unaonyesha kwamba mwanamke mzuri huwa ana settle na mwanaume baada ya miaka mitano au kama ni chini ya miaka mitano basi huwa ana settle na mwanaume wake namba tano au ndoa namba 3 ( huyu ni mwanamke mzuri ambae sio malaya wa kujiuza waziwazi ) Maana yake ni kwamba kama upo katika mahusiano au ndoa na mwanamke mzuri kupita kiasi basi jua kwamba ndani ya moyo wake bado haja settle na wewe. Yani bado ana ndoto za kuja kusettle na mwanaume mwingine ambae sio wewe.
( So kama upo tayari watoto wake walelewe na bibi yao au Uncle basi zaa na huyo dada mzuri sana )
Mwanamke mzuri huwa anamringia hadi mume wake wa ndoa
Mume wa ndoa mbona cha mtoto,Mwanamke mzuri kupita kiasi huwa anamringia hadi baba ake mzazi. Hutaka wanaume wote wa mtreat kama celebrity na yeye awatreat kama fans.
BABA MZAZI : Hallow binti yangu Barbra upo wapi sasa hivi ?
BARBRA : Siku zote wanakuwaga Sinza, Kijitonyama, Mbezi Beach, Mikocheni au Tabata.. ( Nipo Kijitonyama Dad )
BABA MZAZI : Okay sasa naomba uende Posta kuna documents zangu zimetumwa kutoka nje/mkoani, utamkuta mtu pale atakupatia kisha uzilete nyumbani kwangu (Msasani.)
BARBRA : Oooh Dad sory siwezi kwenda huko sijisikii vizuri halafu sina nauli na gari yangu haina mafuta.
BABA MZAZI :Hizo documents ni muhimu sana na lazima nizipate leo mwanangu naomba ujitahidi uende leo.
BARBRA : Kama ntapata hela ya mafuta nitaenda.
BABA MZAZI : ALRIGHT BABRA how much are u talking about ?
BARBRA: Kama 50 k hivi Dad.
BABA MZAZI : Okay nakutumia now.
BABRBA : Uweke na ya kutolea Dad..
Yani jinsi anavyp mtreat baba ake ana mtreat kama vile anavyo mtreat mwanaume mwingine ( danga )
Kama ambavyo hawezi kwenda kwa danga lake bila kutumiwa nauli, vivyo hivyo anaona hawezi kwenda posta kuchukua documents kisha ampelekee baba ake bila kwanza baba ake kumlipa pesa..
Mwanaume pekee asiye ringiwa na mwanamke mzuri sana ni Mganga wa Tunguri/li
Kama una mwanamke mzuri kupita kiasi usizae nae mpaka baada ya miaka mitano ya ndoa/mahusiano kwa sababu uzoefu unaonyesha kwamba mwanamke mzuri huwa ana settle na mwanaume baada ya miaka mitano au kama ni chini ya miaka mitano basi huwa ana settle na mwanaume wake namba tano au ndoa namba 3 ( huyu ni mwanamke mzuri ambae sio malaya wa kujiuza waziwazi ) Maana yake ni kwamba kama upo katika mahusiano au ndoa na mwanamke mzuri kupita kiasi basi jua kwamba ndani ya moyo wake bado haja settle na wewe. Yani bado ana ndoto za kuja kusettle na mwanaume mwingine ambae sio wewe.
( So kama upo tayari watoto wake walelewe na bibi yao au Uncle basi zaa na huyo dada mzuri sana )
Mwanamke mzuri huwa anamringia hadi mume wake wa ndoa
Mume wa ndoa mbona cha mtoto,Mwanamke mzuri kupita kiasi huwa anamringia hadi baba ake mzazi. Hutaka wanaume wote wa mtreat kama celebrity na yeye awatreat kama fans.
BABA MZAZI : Hallow binti yangu Barbra upo wapi sasa hivi ?
BARBRA : Siku zote wanakuwaga Sinza, Kijitonyama, Mbezi Beach, Mikocheni au Tabata.. ( Nipo Kijitonyama Dad )
BABA MZAZI : Okay sasa naomba uende Posta kuna documents zangu zimetumwa kutoka nje/mkoani, utamkuta mtu pale atakupatia kisha uzilete nyumbani kwangu (Msasani.)
BARBRA : Oooh Dad sory siwezi kwenda huko sijisikii vizuri halafu sina nauli na gari yangu haina mafuta.
BABA MZAZI :Hizo documents ni muhimu sana na lazima nizipate leo mwanangu naomba ujitahidi uende leo.
BARBRA : Kama ntapata hela ya mafuta nitaenda.
BABA MZAZI : ALRIGHT BABRA how much are u talking about ?
BARBRA: Kama 50 k hivi Dad.
BABA MZAZI : Okay nakutumia now.
BABRBA : Uweke na ya kutolea Dad..
Yani jinsi anavyp mtreat baba ake ana mtreat kama vile anavyo mtreat mwanaume mwingine ( danga )
Kama ambavyo hawezi kwenda kwa danga lake bila kutumiwa nauli, vivyo hivyo anaona hawezi kwenda posta kuchukua documents kisha ampelekee baba ake bila kwanza baba ake kumlipa pesa..
Mwanaume pekee asiye ringiwa na mwanamke mzuri sana ni Mganga wa Tunguri/li