Mwanamke akiwa mzuri sana huwa ana mringia hadi baba yake mzazi

Mwanamke akiwa mzuri sana huwa ana mringia hadi baba yake mzazi

Kuna mdada mzuri sana nilidate naye kwa muda mrefu . Ilikuwa fahari kila tunapoongozana. Ajabu nikaja kumuacha nikaoa mwingine wa kawaida kabisa. Jamaa zangu hawakuamini, majirani pia, siku moja mzee mtu mzima jirani akaniita akanihoji imekuwaje kijana?
Ni lazima tujue kutofautisha kati ya mpenzi na mke.

Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
 
Au wana kuwaga na mapepo nini ? maana mwanamke akiwa mzuri kupita kiasi hadi mapepo huwa yanawapenda ( Gen 6:1–4 )

Kama una mwanamke mzuri kupita kiasi usizae nae mpaka baada ya miaka mitano ya ndoa/mahusiano kwa sababu uzoefu unaonyesha kwamba mwanamke mzuri huwa ana settle na mwanaume baada ya miaka mitano au kama ni chini ya miaka mitano basi huwa ana settle na mwanaume wake namba tano au ndoa namba 3 ( huyu ni mwanamke mzuri ambae sio malaya wa kujiuza waziwazi ) Maana yake ni kwamba kama upo katika mahusiano au ndoa na mwanamke mzuri kupita kiasi basi jua kwamba ndani ya moyo wake bado haja settle na wewe. Yani bado ana ndoto za kuja kusettle na mwanaume mwingine ambae sio wewe.

( So kama upo tayari watoto wake walelewe na bibi yao au Uncle basi zaa na huyo dada mzuri sana )

Mwanamke mzuri huwa anamringia hadi mume wake wa ndoa

Mume wa ndoa mbona cha mtoto,Mwanamke mzuri kupita kiasi huwa anamringia hadi baba ake mzazi. Hutaka wanaume wote wa mtreat kama celebrity na yeye awatreat kama fans.

BABA MZAZI : Hallow binti yangu Barbra upo wapi sasa hivi ?

BARBRA : Siku zote wanakuwaga Sinza, Kijitonyama, Mbezi Beach, Mikocheni au Tabata.. ( Nipo Kijitonyama Dad )

BABA MZAZI : Okay sasa naomba uende Posta kuna documents zangu zimetumwa kutoka nje/mkoani, utamkuta mtu pale atakupatia kisha uzilete nyumbani kwangu (Msasani.)

BARBRA : Oooh Dad sory siwezi kwenda huko sijisikii vizuri halafu sina nauli na gari yangu haina mafuta.

BABA MZAZI :Hizo documents ni muhimu sana na lazima nizipate leo mwanangu naomba ujitahidi uende leo.

BARBRA : Kama ntapata hela ya mafuta nitaenda.

BABA MZAZI : ALRIGHT BABRA how much are u talking about ?

BARBRA: Kama 50 k hivi Dad.

BABA MZAZI : Okay nakutumia now.

BABRBA : Uweke na ya kutolea Dad..


Yani jinsi anavyp mtreat baba ake ana mtreat kama vile anavyo mtreat mwanaume mwingine ( danga )

Kama ambavyo hawezi kwenda kwa danga lake bila kutumiwa nauli, vivyo hivyo anaona hawezi kwenda posta kuchukua documents kisha ampelekee baba ake bila kwanza baba ake kumlipa pesa..

Mwanaume pekee asiye ringiwa na mwanamke mzuri sana ni Mganga wa Tunguri
Wapi ushahidi wenye utafiti? Je mwanamke mzuri ni yupi? Uzuri ni nini na vigezo gani umetumia? Je umechunguza wangapi na kupata mawazo ya wangapi? Nini vigezo vya hitimisho lako linaloonekana kuwa uganga wa kienyeji na ushirikina mbali na chuki binafsi? Je umetumia variables ngapi na toka wapi na lini? Je umesomea utafiti na kutumia nyenzo za utafiti?
 
Au wana kuwaga na mapepo nini ? maana mwanamke akiwa mzuri kupita kiasi hadi mapepo huwa yanawapenda ( Gen 6:1–4 )

Kama una mwanamke mzuri kupita kiasi usizae nae mpaka baada ya miaka mitano ya ndoa/mahusiano kwa sababu uzoefu unaonyesha kwamba mwanamke mzuri huwa ana settle na mwanaume baada ya miaka mitano au kama ni chini ya miaka mitano basi huwa ana settle na mwanaume wake namba tano au ndoa namba 3 ( huyu ni mwanamke mzuri ambae sio malaya wa kujiuza waziwazi ) Maana yake ni kwamba kama upo katika mahusiano au ndoa na mwanamke mzuri kupita kiasi basi jua kwamba ndani ya moyo wake bado haja settle na wewe. Yani bado ana ndoto za kuja kusettle na mwanaume mwingine ambae sio wewe.

( So kama upo tayari watoto wake walelewe na bibi yao au Uncle basi zaa na huyo dada mzuri sana )

Mwanamke mzuri huwa anamringia hadi mume wake wa ndoa

Mume wa ndoa mbona cha mtoto,Mwanamke mzuri kupita kiasi huwa anamringia hadi baba ake mzazi. Hutaka wanaume wote wa mtreat kama celebrity na yeye awatreat kama fans.

BABA MZAZI : Hallow binti yangu Barbra upo wapi sasa hivi ?

BARBRA : Siku zote wanakuwaga Sinza, Kijitonyama, Mbezi Beach, Mikocheni au Tabata.. ( Nipo Kijitonyama Dad )

BABA MZAZI : Okay sasa naomba uende Posta kuna documents zangu zimetumwa kutoka nje/mkoani, utamkuta mtu pale atakupatia kisha uzilete nyumbani kwangu (Msasani.)

BARBRA : Oooh Dad sory siwezi kwenda huko sijisikii vizuri halafu sina nauli na gari yangu haina mafuta.

BABA MZAZI :Hizo documents ni muhimu sana na lazima nizipate leo mwanangu naomba ujitahidi uende leo.

BARBRA : Kama ntapata hela ya mafuta nitaenda.

BABA MZAZI : ALRIGHT BABRA how much are u talking about ?

BARBRA: Kama 50 k hivi Dad.

BABA MZAZI : Okay nakutumia now.

BABRBA : Uweke na ya kutolea Dad..


Yani jinsi anavyp mtreat baba ake ana mtreat kama vile anavyo mtreat mwanaume mwingine ( danga )

Kama ambavyo hawezi kwenda kwa danga lake bila kutumiwa nauli, vivyo hivyo anaona hawezi kwenda posta kuchukua documents kisha ampelekee baba ake bila kwanza baba ake kumlipa pesa..

Mwanaume pekee asiye ringiwa na mwanamke mzuri sana ni Mganga wa Tunguri/li
Ukisoma kitabu cha "Esta" kwenhe biblia itaelewa maana ya huu uzi
 
Au wana kuwaga na mapepo nini ? maana mwanamke akiwa mzuri kupita kiasi hadi mapepo huwa yanawapenda ( Gen 6:1–4 )

Kama una mwanamke mzuri kupita kiasi usizae nae mpaka baada ya miaka mitano ya ndoa/mahusiano kwa sababu uzoefu unaonyesha kwamba mwanamke mzuri huwa ana settle na mwanaume baada ya miaka mitano au kama ni chini ya miaka mitano basi huwa ana settle na mwanaume wake namba tano au ndoa namba 3 ( huyu ni mwanamke mzuri ambae sio malaya wa kujiuza waziwazi ) Maana yake ni kwamba kama upo katika mahusiano au ndoa na mwanamke mzuri kupita kiasi basi jua kwamba ndani ya moyo wake bado haja settle na wewe. Yani bado ana ndoto za kuja kusettle na mwanaume mwingine ambae sio wewe.

( So kama upo tayari watoto wake walelewe na bibi yao au Uncle basi zaa na huyo dada mzuri sana )

Mwanamke mzuri huwa anamringia hadi mume wake wa ndoa

Mume wa ndoa mbona cha mtoto,Mwanamke mzuri kupita kiasi huwa anamringia hadi baba ake mzazi. Hutaka wanaume wote wa mtreat kama celebrity na yeye awatreat kama fans.

BABA MZAZI : Hallow binti yangu Barbra upo wapi sasa hivi ?

BARBRA : Siku zote wanakuwaga Sinza, Kijitonyama, Mbezi Beach, Mikocheni au Tabata.. ( Nipo Kijitonyama Dad )

BABA MZAZI : Okay sasa naomba uende Posta kuna documents zangu zimetumwa kutoka nje/mkoani, utamkuta mtu pale atakupatia kisha uzilete nyumbani kwangu (Msasani.)

BARBRA : Oooh Dad sory siwezi kwenda huko sijisikii vizuri halafu sina nauli na gari yangu haina mafuta.

BABA MZAZI :Hizo documents ni muhimu sana na lazima nizipate leo mwanangu naomba ujitahidi uende leo.

BARBRA : Kama ntapata hela ya mafuta nitaenda.

BABA MZAZI : ALRIGHT BABRA how much are u talking about ?

BARBRA: Kama 50 k hivi Dad.

BABA MZAZI : Okay nakutumia now.

BABRBA : Uweke na ya kutolea Dad..


Yani jinsi anavyp mtreat baba ake ana mtreat kama vile anavyo mtreat mwanaume mwingine ( danga )

Kama ambavyo hawezi kwenda kwa danga lake bila kutumiwa nauli, vivyo hivyo anaona hawezi kwenda posta kuchukua documents kisha ampelekee baba ake bila kwanza baba ake kumlipa pesa..

Mwanaume pekee asiye ringiwa na mwanamke mzuri sana ni Mganga wa Tunguri/li
Hizi ni kasumba za dini tu....mbona mie mke wangu ni mzuri kuliko demu ama avatar yeyote ya demu wa hapa JF na nimezaa naye mwaka tu baada kumuoa na sasa tuna watoto 4. Nafikiri ujinga huu unatokana na hulka tu ya mtu na mtu.
 
Ni kwel kabxa...nnapoish kuna jamaa alikuwa anaish na dem wake mkali kimouma...hadi wamba tukaanza kummezea mate....ila jamaa alimzalisha haraka haraka akifikir dem atatulia...cha ajabu waliachana kwa fedhea sanaa...jamaa alikuwa muislam saf ila akaamza kubwiya pombe...hii ni baada ya kuitwa kibamia mbele ya mass ....isitoshe mama mkwe ndo amekuja kujichukulia vitu ndani....walimwacha na sufuria mbili na kitanda kisicho na godoro......kauli ya mwsho nliiskia kwa demu ni kuwa mimi ni mzuri...huna hadhi ya kuish na mimi na nitaolewa tena
 
Au wana kuwaga na mapepo nini ? maana mwanamke akiwa mzuri kupita kiasi hadi mapepo huwa yanawapenda ( Gen 6:1–4 )

Kama una mwanamke mzuri kupita kiasi usizae nae mpaka baada ya miaka mitano ya ndoa/mahusiano kwa sababu uzoefu unaonyesha kwamba mwanamke mzuri huwa ana settle na mwanaume baada ya miaka mitano au kama ni chini ya miaka mitano basi huwa ana settle na mwanaume wake namba tano au ndoa namba 3 ( huyu ni mwanamke mzuri ambae sio malaya wa kujiuza waziwazi ) Maana yake ni kwamba kama upo katika mahusiano au ndoa na mwanamke mzuri kupita kiasi basi jua kwamba ndani ya moyo wake bado haja settle na wewe. Yani bado ana ndoto za kuja kusettle na mwanaume mwingine ambae sio wewe.

( So kama upo tayari watoto wake walelewe na bibi yao au Uncle basi zaa na huyo dada mzuri sana )

Mwanamke mzuri huwa anamringia hadi mume wake wa ndoa

Mume wa ndoa mbona cha mtoto,Mwanamke mzuri kupita kiasi huwa anamringia hadi baba ake mzazi. Hutaka wanaume wote wa mtreat kama celebrity na yeye awatreat kama fans.

BABA MZAZI : Hallow binti yangu Barbra upo wapi sasa hivi ?

BARBRA : Siku zote wanakuwaga Sinza, Kijitonyama, Mbezi Beach, Mikocheni au Tabata.. ( Nipo Kijitonyama Dad )

BABA MZAZI : Okay sasa naomba uende Posta kuna documents zangu zimetumwa kutoka nje/mkoani, utamkuta mtu pale atakupatia kisha uzilete nyumbani kwangu (Msasani.)

BARBRA : Oooh Dad sory siwezi kwenda huko sijisikii vizuri halafu sina nauli na gari yangu haina mafuta.

BABA MZAZI :Hizo documents ni muhimu sana na lazima nizipate leo mwanangu naomba ujitahidi uende leo.

BARBRA : Kama ntapata hela ya mafuta nitaenda.

BABA MZAZI : ALRIGHT BABRA how much are u talking about ?

BARBRA: Kama 50 k hivi Dad.

BABA MZAZI : Okay nakutumia now.

BABRBA : Uweke na ya kutolea Dad..


Yani jinsi anavyp mtreat baba ake ana mtreat kama vile anavyo mtreat mwanaume mwingine ( danga )

Kama ambavyo hawezi kwenda kwa danga lake bila kutumiwa nauli, vivyo hivyo anaona hawezi kwenda posta kuchukua documents kisha ampelekee baba ake bila kwanza baba ake kumlipa pesa..

Mwanaume pekee asiye ringiwa na mwanamke mzuri sana ni Mganga wa Tunguri/li
Ninachoshangaa atamringiaje baba yake wakati hiyo sura inatoka kwa baba yake.
 
Tatizo wakisha kuwa wakubwa wanakutana na watu wanawabadilisha. Unajua wanawake wengi hawanaga tabia ( they are characterless ), tabia zake zitategemea yupo wapi na watu gani wenye tabia gani.. ukiishi nae kinondoni anakuwa malaya mkihamia Kimara anakuwa na duka la viatu
🤣🤣🤣
 
Ninachoshangaa atamringiaje baba yake wakati hiyo sura inatoka kwa baba yake.
ni upumbavu mtupu mimi nina kibinti changu (15yrs) kipo form 3 wanakisifia wenzake kipo hot na kimekuwa maarufu shule nzima kwa uzuri but kina nivimbia hadi mimi eti. Kinataka kunitreat kama fan na mimi nikitreat kama celebrity. Basi mi nabaki kukiangalia tu
 
Ni kwel kabxa...nnapoish kuna jamaa alikuwa anaish na dem wake mkali kimouma...hadi wamba tukaanza kummezea mate....ila jamaa alimzalisha haraka haraka akifikir dem atatulia...cha ajabu waliachana kwa fedhea sanaa...jamaa alikuwa muislam saf ila akaamza kubwiya pombe...hii ni baada ya kuitwa kibamia mbele ya mass ....isitoshe mama mkwe ndo amekuja kujichukulia vitu ndani....walimwacha na sufuria mbili na kitanda kisicho na godoro......kauli ya mwsho nliiskia kwa demu ni kuwa mimi ni mzuri...huna hadhi ya kuish na mimi na nitaolewa tena
dah aisee ndio maana baba zetu zamani walikuwaga hawaoa wanawake wazuri sana. Yani mwanamke mzuri hata akiwa kwenye ndoa bado anakuwaga na dream ya kuolewa tena ndoa nyingine bora zaidi.. wewe unaona umeoa kumbe mwenzako bado ana dream ya kuolewa tena
 
Hizi ni kasumba za dini tu....mbona mie mke wangu ni mzuri kuliko demu ama avatar yeyote ya demu wa hapa JF na nimezaa naye mwaka tu baada kumuoa na sasa tuna watoto 4. Nafikiri ujinga huu unatokana na hulka tu ya mtu na mtu.

Mshukuru Mungu
 
Wapi ushahidi wenye utafiti? Je mwanamke mzuri ni yupi? Uzuri ni nini na vigezo gani umetumia? Je umechunguza wangapi na kupata mawazo ya wangapi? Nini vigezo vya hitimisho lako linaloonekana kuwa uganga wa kienyeji na ushirikina mbali na chuki binafsi? Je umetumia variables ngapi na toka wapi na lini? Je umesomea utafiti na kutumia nyenzo za utafiti?
dah inaonekana wewe ni muumini wa filosofi feki ya " The beautiful woman is in the eyes of a BEHOLDER" ni hivi mtu aliemsikia jamaa alie toa sentensi hiyo kwa mara ya kwanza hakumsikia vizuri, jamaa alimaanisha " THE BEAUTY OF A WOMAN IS IN THE EYES OF A BEER HOLDER"
 
Back
Top Bottom