Mwanamke akiwa mzuri sana huwa ana mringia hadi baba yake mzazi

Mademu wazuri nilikuwa nawakomesha enzi hzo npo chuo,nimesoma vyuo tofauti tofauti kama vitatu.

Demu mzuri anahisi kwenye dunia hii kila mwanaume ana mnyenyekea,maana unakuta chuo kizima kinamnyenyekea kuanzia malecture,wanachuo mpaka wafantakazi wa chuo.

Sasa nilichokuwa nawafanya hawa warembo ikitokea akawa na shida na mimi akija kimideko au kwa style yoyote ya kutumia uzuri wake lazima nimzingue,nilikuwa nawakatalia hitaji lao wanalotaka na nina msaidia demu wa kawaida.
Hata salamu nilikuwa siwapi ila demu wa kawaida ndo namsalimia

Hii tabia yangu ya kuwapotezea ilikuwa inawafanya wajigonge wenyewe kwangu
 
Huu Uzi tumeuelewa wachache Sana ambao tunajitambua ndiyo maana hawa warembo ni ngumu Sana kuolewa...
Nina mifano zaidi ya wadada kama sita hivi wameishia kuolewa na wajinga Tu na hiyo ni baada ya maji ya jioni(uzee) kuanza kuingia
Hata wale vicheche huwa wanaoa Ke wa kawaida sana kimwonekano wa mvuto wa sura na umbile ila vimada wao sasa....[emoji1787]
 
Ndiyo mbinu nzuri sana tuliyokuwa tunatumia wahenga kula ma-sister duu kwa kutoweweseka nao zaidi ya kuwachukulia wa kawaida saaaana, ingawa lazima utumie mpira maana;

Ke mzuri sana bila akili sehemu zake za siri huteseka sana [emoji13]
 
Ila Ke wana ujasiri wa kijinga sana kupita maelezo.

Sasa mfano huyu hapa kitu gani ataombwa na mganga wa kienyeji akataliwe [emoji848][emoji6]View attachment 2196682View attachment 2196683
Akatai si atakwambia afundishe kwa vitendo jinsi ya kuibana au kukatika Ili dawa iingie vizuri Ili amteke mume wa mtu vizuri.Ukosefu wa maarifa kwa wanawake upelekea kuwa wahanga wa waganga mitume na manabii feki.
Kuna yule Mtume na nabii feki wa Ghana aliwaogesha uchi kanisani kwake.
Hakika ukiwa empty kichwani ni lazima ufanywe mteja.
 
lwani mumgu hawezi kufanya kitu bila kutegemea kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…