Ur the true son of ur fatherKuna mdada mzuri sana nilidate naye kwa muda mrefu . Ilikuwa fahari kila tunapoongozana. Ajabu nikaja kumuacha nikaoa mwingine wa kawaida kabisa. Jamaa zangu hawakuamini, majirani pia, siku moja mzee mtu mzima jirani akaniita akanihoji imekuwaje kijana?
Ni lazima tujue kutofautisha kati ya mpenzi na mke.
Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
Utakuta walikuwa hawatambui hata uwepo wako, ukawa unaishia kujikasirisha mwenyewe tuMademu wazuri nilikuwa nawakomesha enzi hzo npo chuo,nimesoma vyuo tofauti tofauti kama vitatu.
Demu mzuri anahisi kwenye dunia hii kila mwanaume ana mnyenyekea,maana unakuta chuo kizima kinamnyenyekea kuanzia malecture,wanachuo mpaka wafantakazi wa chuo.
Sasa nilichokuwa nawafanya hawa warembo ikitokea akawa na shida na mimi akija kimideko au kwa style yoyote ya kutumia uzuri wake lazima nimzingue,nilikuwa nawakatalia hitaji lao wanalotaka na nina msaidia demu wa kawaida.
Hata salamu nilikuwa siwapi ila demu wa kawaida ndo namsalimia
Hii tabia yangu ya kuwapotezea ilikuwa inawafanya wajigonge wenyewe kwangu
Huyo ni mwanamke mzuri kibonge! Nyosheni maelezo acheni fujoHuyu sio mwanamke mzuri huyu ni mwanamke kibonge
Ulipoteza sana hii dunia tumekuja kuenjoy unatakiwa uoe kitu kizuri mambo ya kuoa mapoligon sio kabisa!Kuna mdada mzuri sana nilidate naye kwa muda mrefu . Ilikuwa fahari kila tunapoongozana. Ajabu nikaja kumuacha nikaoa mwingine wa kawaida kabisa. Jamaa zangu hawakuamini, majirani pia, siku moja mzee mtu mzima jirani akaniita akanihoji imekuwaje kijana?
Ni lazima tujue kutofautisha kati ya mpenzi na mke.
Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
Oya mzee nipe basi huyo pisi kali mie hao ndio nataka kuoaKuna mdada mzuri sana nilidate naye kwa muda mrefu . Ilikuwa fahari kila tunapoongozana. Ajabu nikaja kumuacha nikaoa mwingine wa kawaida kabisa. Jamaa zangu hawakuamini, majirani pia, siku moja mzee mtu mzima jirani akaniita akanihoji imekuwaje kijana?
Ni lazima tujue kutofautisha kati ya mpenzi na mke.
Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
Na mchungaji wake pia hawezi kumringia.Yani jinsi anavyp mtreat baba ake ana mtreat kama vile anavyo mtreat mwanaume mwingine ( danga )
Kama ambavyo hawezi kwenda kwa danga lake bila kutumiwa nauli, vivyo hivyo anaona hawezi kwenda posta kuchukua documents kisha ampelekee baba ake bila kwanza baba ake kumlipa pesa..
Mwanaume pekee asiye ringiwa na mwanamke mzuri sana ni Mganga wa Tunguri/li
Hii ya tabia kulingana na mahali alipo ,upo sahihi kabisaTatizo wakisha kuwa wakubwa wanakutana na watu wanawabadilisha. Unajua wanawake wengi hawanaga tabia ( they are characterless ), tabia zake zitategemea yupo wapi na watu gani wenye tabia gani.. ukiishi nae kinondoni anakuwa malaya mkihamia Kimara anakuwa na duka la viatu
Uzuri unatokana na macho ya mtazamaji, kila mtu anaona uzuri kivyake. Mwanamke anaejiona mzuri, HAYUKO SAWA KICHWANI. Mwanamke wa kawaida ,hajioni mzuri, anatamani kuwa vingine, ndio mana tunahangaika kila siku. Nywele feki, kope, kujichubua, push up bhs, mkanda kubana tumbo, viatu virefu kuongeza urefu nk.Au wana kuwaga na mapepo nini ? maana mwanamke akiwa mzuri kupita kiasi hadi mapepo huwa yanawapenda ( Gen 6:1β4 )
Kama una mwanamke mzuri kupita kiasi usizae nae mpaka baada ya miaka mitano ya ndoa/mahusiano kwa sababu uzoefu unaonyesha kwamba mwanamke mzuri huwa ana settle na mwanaume baada ya miaka mitano au kama ni chini ya miaka mitano basi huwa ana settle na mwanaume wake namba tano au ndoa namba 3 ( huyu ni mwanamke mzuri ambae sio malaya wa kujiuza waziwazi ) Maana yake ni kwamba kama upo katika mahusiano au ndoa na mwanamke mzuri kupita kiasi basi jua kwamba ndani ya moyo wake bado haja settle na wewe. Yani bado ana ndoto za kuja kusettle na mwanaume mwingine ambae sio wewe.
( So kama upo tayari watoto wake walelewe na bibi yao au Uncle basi zaa na huyo dada mzuri sana )
Mwanamke mzuri huwa anamringia hadi mume wake wa ndoa
Mume wa ndoa mbona cha mtoto,Mwanamke mzuri kupita kiasi huwa anamringia hadi baba ake mzazi. Hutaka wanaume wote wa mtreat kama celebrity na yeye awatreat kama fans.
BABA MZAZI : Hallow binti yangu Barbra upo wapi sasa hivi ?
BARBRA : Siku zote wanakuwaga Sinza, Kijitonyama, Mbezi Beach, Mikocheni au Tabata.. ( Nipo Kijitonyama Dad )
BABA MZAZI : Okay sasa naomba uende Posta kuna documents zangu zimetumwa kutoka nje/mkoani, utamkuta mtu pale atakupatia kisha uzilete nyumbani kwangu (Msasani.)
BARBRA : Oooh Dad sory siwezi kwenda huko sijisikii vizuri halafu sina nauli na gari yangu haina mafuta.
BABA MZAZI :Hizo documents ni muhimu sana na lazima nizipate leo mwanangu naomba ujitahidi uende leo.
BARBRA : Kama ntapata hela ya mafuta nitaenda.
BABA MZAZI : ALRIGHT BABRA how much are u talking about ?
BARBRA: Kama 50 k hivi Dad.
BABA MZAZI : Okay nakutumia now.
BABRBA : Uweke na ya kutolea Dad..
Yani jinsi anavyp mtreat baba ake ana mtreat kama vile anavyo mtreat mwanaume mwingine ( danga )
Kama ambavyo hawezi kwenda kwa danga lake bila kutumiwa nauli, vivyo hivyo anaona hawezi kwenda posta kuchukua documents kisha ampelekee baba ake bila kwanza baba ake kumlipa pesa..
Mwanaume pekee asiye ringiwa na mwanamke mzuri sana ni Mganga wa Tunguri/li
Haya ni malezi hayaendani na uzuri wa binti kwa π― percentAu wana kuwaga na mapepo nini ? maana mwanamke akiwa mzuri kupita kiasi hadi mapepo huwa yanawapenda ( Gen 6:1β4 )
Kama una mwanamke mzuri kupita kiasi usizae nae mpaka baada ya miaka mitano ya ndoa/mahusiano kwa sababu uzoefu unaonyesha kwamba mwanamke mzuri huwa ana settle na mwanaume baada ya miaka mitano au kama ni chini ya miaka mitano basi huwa ana settle na mwanaume wake namba tano au ndoa namba 3 ( huyu ni mwanamke mzuri ambae sio malaya wa kujiuza waziwazi ) Maana yake ni kwamba kama upo katika mahusiano au ndoa na mwanamke mzuri kupita kiasi basi jua kwamba ndani ya moyo wake bado haja settle na wewe. Yani bado ana ndoto za kuja kusettle na mwanaume mwingine ambae sio wewe.
( So kama upo tayari watoto wake walelewe na bibi yao au Uncle basi zaa na huyo dada mzuri sana )
Mwanamke mzuri huwa anamringia hadi mume wake wa ndoa
Mume wa ndoa mbona cha mtoto,Mwanamke mzuri kupita kiasi huwa anamringia hadi baba ake mzazi. Hutaka wanaume wote wa mtreat kama celebrity na yeye awatreat kama fans.
BABA MZAZI : Hallow binti yangu Barbra upo wapi sasa hivi ?
BARBRA : Siku zote wanakuwaga Sinza, Kijitonyama, Mbezi Beach, Mikocheni au Tabata.. ( Nipo Kijitonyama Dad )
BABA MZAZI : Okay sasa naomba uende Posta kuna documents zangu zimetumwa kutoka nje/mkoani, utamkuta mtu pale atakupatia kisha uzilete nyumbani kwangu (Msasani.)
BARBRA : Oooh Dad sory siwezi kwenda huko sijisikii vizuri halafu sina nauli na gari yangu haina mafuta.
BABA MZAZI :Hizo documents ni muhimu sana na lazima nizipate leo mwanangu naomba ujitahidi uende leo.
BARBRA : Kama ntapata hela ya mafuta nitaenda.
BABA MZAZI : ALRIGHT BABRA how much are u talking about ?
BARBRA: Kama 50 k hivi Dad.
BABA MZAZI : Okay nakutumia now.
BABRBA : Uweke na ya kutolea Dad..
Yani jinsi anavyp mtreat baba ake ana mtreat kama vile anavyo mtreat mwanaume mwingine ( danga )
Kama ambavyo hawezi kwenda kwa danga lake bila kutumiwa nauli, vivyo hivyo anaona hawezi kwenda posta kuchukua documents kisha ampelekee baba ake bila kwanza baba ake kumlipa pesa..
Mwanaume pekee asiye ringiwa na mwanamke mzuri sana ni Mganga wa Tunguri/li
Mtu unatumia KILA kitu feki akili zitoke wapi sasa.Uzuri unatokana na macho ya mtazamaji, kila mtu anaona uzuri kivyake. Mwanamke anaejiona mzuri, HAYUKO SAWA KICHWANI. Mwanamke wa kawaida ,hajioni mzuri, anatamani kuwa vingine, ndio mana tunahangaika kila siku. Nywele feki, kope, kujichubua, push up bhs, mkanda kubana tumbo, viatu virefu kuongeza urefu nk.
...Ilikuwaje, Mkuu?...Kuna mmoja nilipata hasara, najutia sana ndoa yangu ile
Au wana kuwaga na mapepo nini ? maana mwanamke akiwa mzuri kupita kiasi hadi mapepo huwa yanawapenda ( Gen 6:1β4 )
Kama una mwanamke mzuri kupita kiasi usizae nae mpaka baada ya miaka mitano ya ndoa/mahusiano kwa sababu uzoefu unaonyesha kwamba mwanamke mzuri huwa ana settle na mwanaume baada ya miaka mitano au kama ni chini ya miaka mitano basi huwa ana settle na mwanaume wake namba tano au ndoa namba 3 ( huyu ni mwanamke mzuri ambae sio malaya wa kujiuza waziwazi ) Maana yake ni kwamba kama upo katika mahusiano au ndoa na mwanamke mzuri kupita kiasi basi jua kwamba ndani ya moyo wake bado haja settle na wewe. Yani bado ana ndoto za kuja kusettle na mwanaume mwingine ambae sio wewe.
( So kama upo tayari watoto wake walelewe na bibi yao au Uncle basi zaa na huyo dada mzuri sana )
Mwanamke mzuri huwa anamringia hadi mume wake wa ndoa
Mume wa ndoa mbona cha mtoto,Mwanamke mzuri kupita kiasi huwa anamringia hadi baba ake mzazi. Hutaka wanaume wote wa mtreat kama celebrity na yeye awatreat kama fans.
BABA MZAZI : Hallow binti yangu Barbra upo wapi sasa hivi ?
BARBRA : Siku zote wanakuwaga Sinza, Kijitonyama, Mbezi Beach, Mikocheni au Tabata.. ( Nipo Kijitonyama Dad )
BABA MZAZI : Okay sasa naomba uende Posta kuna documents zangu zimetumwa kutoka nje/mkoani, utamkuta mtu pale atakupatia kisha uzilete nyumbani kwangu (Msasani.)
BARBRA : Oooh Dad sory siwezi kwenda huko sijisikii vizuri halafu sina nauli na gari yangu haina mafuta.
BABA MZAZI :Hizo documents ni muhimu sana na lazima nizipate leo mwanangu naomba ujitahidi uende leo.
BARBRA : Kama ntapata hela ya mafuta nitaenda.
BABA MZAZI : ALRIGHT BABRA how much are u talking about ?
BARBRA: Kama 50 k hivi Dad.
BABA MZAZI : Okay nakutumia now.
BABRBA : Uweke na ya kutolea Dad..
Yani jinsi anavyp mtreat baba ake ana mtreat kama vile anavyo mtreat mwanaume mwingine ( danga )
Kama ambavyo hawezi kwenda kwa danga lake bila kutumiwa nauli, vivyo hivyo anaona hawezi kwenda posta kuchukua documents kisha ampelekee baba ake bila kwanza baba ake kumlipa pesa..
Mwanaume pekee asiye ringiwa na mwanamke mzuri sana ni Mganga wa Tunguri/li
Uko sahihi π―, wanawake ukiwaelewa hawakupi shida. Ukiona mtu anajisikia ni kumpunguzia attention tu.Au wana kuwaga na mapepo nini ? maana mwanamke akiwa mzuri kupita kiasi hadi mapepo huwa yanawapenda ( Gen 6:1β4 )
Kama una mwanamke mzuri kupita kiasi usizae nae mpaka baada ya miaka mitano ya ndoa/mahusiano kwa sababu uzoefu unaonyesha kwamba mwanamke mzuri huwa ana settle na mwanaume baada ya miaka mitano au kama ni chini ya miaka mitano basi huwa ana settle na mwanaume wake namba tano au ndoa namba 3 ( huyu ni mwanamke mzuri ambae sio malaya wa kujiuza waziwazi ) Maana yake ni kwamba kama upo katika mahusiano au ndoa na mwanamke mzuri kupita kiasi basi jua kwamba ndani ya moyo wake bado haja settle na wewe. Yani bado ana ndoto za kuja kusettle na mwanaume mwingine ambae sio wewe.
( So kama upo tayari watoto wake walelewe na bibi yao au Uncle basi zaa na huyo dada mzuri sana )
Mwanamke mzuri huwa anamringia hadi mume wake wa ndoa
Mume wa ndoa mbona cha mtoto,Mwanamke mzuri kupita kiasi huwa anamringia hadi baba ake mzazi. Hutaka wanaume wote wa mtreat kama celebrity na yeye awatreat kama fans.
BABA MZAZI : Hallow binti yangu Barbra upo wapi sasa hivi ?
BARBRA : Siku zote wanakuwaga Sinza, Kijitonyama, Mbezi Beach, Mikocheni au Tabata.. ( Nipo Kijitonyama Dad )
BABA MZAZI : Okay sasa naomba uende Posta kuna documents zangu zimetumwa kutoka nje/mkoani, utamkuta mtu pale atakupatia kisha uzilete nyumbani kwangu (Msasani.)
BARBRA : Oooh Dad sory siwezi kwenda huko sijisikii vizuri halafu sina nauli na gari yangu haina mafuta.
BABA MZAZI :Hizo documents ni muhimu sana na lazima nizipate leo mwanangu naomba ujitahidi uende leo.
BARBRA : Kama ntapata hela ya mafuta nitaenda.
BABA MZAZI : ALRIGHT BABRA how much are u talking about ?
BARBRA: Kama 50 k hivi Dad.
BABA MZAZI : Okay nakutumia now.
BABRBA : Uweke na ya kutolea Dad..
Yani jinsi anavyp mtreat baba ake ana mtreat kama vile anavyo mtreat mwanaume mwingine ( danga )
Kama ambavyo hawezi kwenda kwa danga lake bila kutumiwa nauli, vivyo hivyo anaona hawezi kwenda posta kuchukua documents kisha ampelekee baba ake bila kwanza baba ake kumlipa pesa..
Mwanaume pekee asiye ringiwa na mwanamke mzuri sana ni Mganga w u
Na ndivyo inavyokuwaga aisee, Ndege mjanja huishia kwenye chaka bovu. Huwa wanaishia kuwa single maisha yoteHuu Uzi tumeuelewa wachache Sana ambao tunajitambua ndiyo maana hawa warembo ni ngumu Sana kuolewa...
Nina mifano zaidi ya wadada kama sita hivi wameishia kuolewa na wajinga Tu na hiyo ni baada ya maji ya jioni(uzee) kuanza kuingia