Mwanamke anaamini njia ya kurudisha fadhila kwa mwanaume aliyemsaidia ni kumpa penzi

Mbona kama nimemjua?
 
Mbona Mimi huwa siamini hivo, ukiona unapewa uchi mwenzako tu alikuwa na hamu na wewe. Pia wanaume wengi huwa hawasaidii wanawake bure wengi hutaka ngono. Mimi mtu anayenipa tafu ndo ngumu kufanya naye uchafu aisee.
Sisi tutaaminije ....
 
Mbona Mimi huwa siamini hivo, ukiona unapewa uchi mwenzako tu alikuwa na hamu na wewe. Pia wanaume wengi huwa hawasaidii wanawake bure wengi hutaka ngono. Mimi mtu anayenipa tafu ndo ngumu kufanya naye uchafu aisee.
Acha longolongo.


Wanawake wengi wanaposaidiwa, huishia kutoa papuchi.

Nmeshayaona hayo kwa wanawake tofauti tofauti.
 
sasa mbona anakuvuta miguu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…