Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Sema soon anaweza akawa free huyo kakaYule wa BOT ana mwenyewe anamchunga kaa mbuzi.
Juzi nimemtafuta nimpe pole kwenye msiba hata simuoni, halafu sosho media zote hayupo kama bado analindwa na usalama wa taifa.
Nyie nanyi mkishaumizwa mnakujaga na conclusion za ajabu ajabu!😏Mwanamke anachokifuata kwenye mahusiano ni pesa (uchumi) na si mapenzi.
kama uamini, poteza kipato uje utoe ushuhuda hapa jukwaani.
Kama huna kipato au ramani zako hazisomeki, atakuvumilia kwa muda tu, baadaye anakutelekeza.
Kwa kifupi, hakuna mwanaume anayependwa bila kuwa na kipato.
Dah! 😂😁Nyie nanyi mkishaumizwa mnakujaga na conclusion za ajabu ajabu!😏
Embu tuliza akili kidogo kwanza.
Ebu tupe ukweli 😀Nyie nanyi mkishaumizwa mnakujaga na conclusion za ajabu ajabu!😏
Embu tuliza akili kidogo kwanza.
Tunahudumia kwa kujihamiWanawake wengi miaka hii ni malaya
Malaya anachoangalia ni pesa tu
Ndio maana huwa nashangaa kuona mwanamume eti anamhudumia mwanamke
Kweli malaya ni wa kumhudumia?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nyie nanyi mkishaumizwa mnakujaga na conclusion za ajabu ajabu![emoji57]
Embu tuliza akili kidogo kwanza.
We kwa hali uliyonayo sasa hivi hamna utakachoelewa zaidi ya hicho ulichoamua kuamini. Kunywa maji yakutosha, kama una nguvu ya kula basi kula kidogo alafu ulie mpaka usingizi ukuchukue.Ebu tupe ukweli 😀
Kujihami kivipi?Tunahudumia kwa kujihami
Ndo naingia holy trinity third floor mwezi huu mkuu ila nna miaka 6 chamani nalisongesha sio mgeni saana. Pia ni Old soul (50+ years If u know waramean).Ukitaka uwajue hawa viumbe vizuri, uzoefu ni muhimu; kama utakuwa na umri kuanzia 45+ utaunga mkono hoja.
Nimecheka had mbavu zinaumaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We kwa hali uliyonayo sasa hivi hamna utakachoelewa zaidi ya hicho ulichoamua kuamini. Kunywa maji yakutosha, kama una nguvu ya kula basi kula kidogo alafu ulie mpaka usingizi ukuchukue.
Kesho, kesho kutwa hivi ndio turudi kwenye huu mjadala.
on your mark, Get ready and Goo🤣🤣Muhimu kwenye mahusiano uliyopo, uishi kwa kujihami.
Kuishi na Mwanamke kwa Akili…huwezi kubishana na vitabu vya dini.Kujihami kivipi?
😂🤣😂🤣uitwe KobokooooMtoto, pesa inatosha ya kuambiwa "I love you more" au unataka uendelee kuitwa ng'ombe?
Intelligent businessman
Kuna mistake fulani ndogo nilifanya kumuachia mpaka leo najuta.Sema soon anaweza akawa free huyo kaka
Radi gonna hit you up and i won't be around to lend a hand rafiki 😅😂🤣😂🤣uitwe Kobokoooo