Hiyo order iko correct kabisa. Mwanamke anaweza kumvumilia sana tu mume asiye mridhisha kwenye tendo, lakini mwanamme mwenye record nyingi za uchepukaji ni rahisi sana kusalitiwa. Tena usaliti ule wa kudharauliwa.Namba tatu ndo ilitakiwa iwe moja hapo maana ndo iliyobeba uzi
Mke kutombwer nje sio kitu cha kumaindi jamani. Wanasambaza utelezi tuu1. Mwanamke mwenye mume mchepukaji.
Kesi za uchepukaji za mume za mara kwa mara humtengua mke kwenye msimamo wake wa kulinda heshima ya ndoa yake.
2. Mwanamke asiyepata mtoto katika ndoa yake.
Miaka kadhaa kwenye ndoa hapatikani mtoto. Mwanamke huanza kutafuta namna ya kumpata mtoto nje ya ndoa. Anaweza kufanya hivo ili amridhishe mume kwa kumbambikia huyo mtoto ama kujiridhisha mwenyewe.
3. Mwanamke asiye ridhishwa na mumewe katika tendo.
Hii inajieleza.
Tena watamu hao...acha kabisa hilo uno lake usipimeMnywa pombe aliyekubuhu lazima atachepuka tu
Uo ni uongo [emoji1787] wanawake wanapenda waleviMnywa pombe aliyekubuhu lazima atachepuka tu
Mwanangu ungeenda kupokea ndege ungepata shangazi la maana 🤣Mke kutombwer nje sio kitu cha kumaindi jamani. Wanasambaza utelezi tuu
Una hoja usikilizwe na wanaume wote1. Mwanamke mwenye mume mchepukaji.
Kesi za uchepukaji za mume za mara kwa mara humtengua mke kwenye msimamo wake wa kulinda heshima ya ndoa yake.
2. Mwanamke asiyepata mtoto katika ndoa yake.
Miaka kadhaa kwenye ndoa hapatikani mtoto. Mwanamke huanza kutafuta namna ya kumpata mtoto nje ya ndoa. Anaweza kufanya hivo ili amridhishe mume kwa kumbambikia huyo mtoto ama kujiridhisha mwenyewe.
3. Mwanamke asiye ridhishwa na mumewe katika tendo.
Hii inajieleza.
Hapana mzee leo nipo hapa nasubiria usiku yanga akipindua zulia najikamatia lishangazi. Sio kwa shangwe hizo hapo saa sita usikuMwanangu ungeenda kupokea ndege ungepata shangazi la maana 🤣
Huyu nae lazima adange kutafuta hela ya marejesho.4. Mwanamke mwenye vikoba na mikopo kausha damu.
Mke mnywaji wa namna hiyo ni hatari kuliko hatari yenyeweMnywa pombe aliyekubuhu lazima atachepuka tu