Mwanamke kupata mimba pasipo ridhaa ya mwanaume liwe kosa la jinai

Atoe nn upepo ?[emoji16][emoji1732]
Sheria ieleze atoe nini. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ardhi haipangiwi kuwa ioteshe mmea au isioteshe labda kama utaweka mbegu mbovu shambani, haitoota, ila ukiona kuwa haitaki mbegu iote shambani, basi iache ndani ya magunia.
 
Wanawake wengi wanapitiia changamoto ya mfumo wao wa hedhi ukiachana na wachache wanaoamua wenyewe kuibambika, wangeanza kupewa elimu ya mzunguko wa siku zao kwanza, unakuta dame analalamika mi siku zangu zipo tofauti mwezi ulopita nimeona tar14 mwezi huu tar21 as if anataka zijirudie tar14 hiyohiyo kila mwezi mpaka unamshangaa
 
Yaani hawaelewi kabisa maana ya mzunguko. Mtu anataka iangukie tarehe hiyo hiyo kila mwezi badala ya kuzingatia interval kati ya period moja na nyengine.
 
Serikali ya JMT hili nalo mkalitazame na mlifanyie kazi.
Hakika Ni Jambo ambalo linaweza kuleta tija katika jamii zetu.
 
si itasaidia lakini??
si itasaidia lakini??
Ni vizuri offcourse hata mm siwez pata mimba bila kuhitaji na tukubaliane na huwa Niko wazi kbisa Kwa mtuwangu Kwamba hiki sihitaji na nikitaka aseme pia nae anahitaji twendesawa nami km nitaridhia

Lkn sio sawa kunawanaume pia ni waharabifu wa mabint anajua haitaji mtoto why asiseme wapnge njia ya Uzazi wawe salam wote
 
Ni Kweli lkn kuwawazi ni muhimu Pia km hauhitaji aisee mm nasema kbisa
 
Yaani hawaelewi kabisa maana ya mzunguko. Mtu anataka iangukie tarehe hiyo hiyo kila mwezi badala ya kuzingatia interval kati ya period moja na nyengine.
Ni kweli, mabinti wengi wanapata mimba wala hawapendi, ila hawajui kabisa mizunguko yao ipoje, mtu ana mzungguko wa siku28 anahesabu kama mtu wa siku30, lazima siku moja itanasa tu
Ni Kweli lkn kuwawazi ni muhimu Pia km hauhitaji aisee mm nasema kbisa
Ishu inakuja kuwa kwa mahesabu yako wewe ulopiga unaona upo siku safe kusex lakini kumbe kimahesabu upo danger days, so unashtuka after a week unaamka umechokachoka huelewi ndo tayari hivyo
 
Mimi mwenyewe ni mwanamke lkn hoja yako ina mashiko. Hii itasaidia kupunguza ukatili dhidi ya watoto. Na kesi nyingi sana za kutekelezwa ukisikiliza unakuta mama aliamua kubeba mimba ili iwe kigezo cha kupata ndoa au fedha za kujikimu.

Wakiweka sheria hii itatutafanya tufikirie mara mbili kabla ya kufanya maamuzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…