Mwanamke kuvaa nguo ya mumewe/mpenzi....

Mwanamke kuvaa nguo ya mumewe/mpenzi....

Umeshawahi kukutana na hili?utajisikiaje/unajiskiaje unavyorud nyumbani unamkuta bibie amevaa shirt/t-shirt/pensi ama surual yako?
Au akaomba kuvaa saa yako wakat anatoka!
Unafikiria nini juu ya mwanamke kama huyo?

Raha saaana aisee, kuna siku ilitokea mvutano kati ya mie na bf wangu. Ye aling'ang'ania kuvaa skin tyt yangu Mwisho wa siku nilimwachia kweli akavaa na kwenda nayo job. Yaan alikuwa very comfortable!!!
 
Raha saaana aisee, kuna siku ilitokea mvutano kati ya mie na bf wangu. Ye aling'ang'ania kuvaa skin tyt yangu Mwisho wa siku nilimwachia kweli akavaa na kwenda nayo job. Yaan alikuwa very comfortable!!!

hahahaa raha sana haya mambo..
 
halafu unakuta kitenge chenyewe kina maua ya kosrosho, ama khanga yenyewe ina mji.
halafu watoto wako kwa bibiiiiiiiiii, ni mchana mmesha kula nguna yenu mkekani, mmepumzika................halafu pasina haraka unaanza uchokozi................

Diii nikuulize swali??
Uliza tu hny!

Hivi umeyaona haya maua ya korosho kwenye kanga ulovaa?? waijua maana yake??

kinafwata kibao cha uchokozi hapana bwana mi stakiiiii<<>>>>>>>>>>>>>>>>

jamani kuna mtu kaniandikia sio mimi

ahahahhahahhahahhaahaha inafatia nini ujue.......
mtu kanyanyuka anajifanya aningia ndani kuchukua gazeti
ehehehhehhehe anajicheleweshaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ukisema umfate ahahahahhahaha KAWEKA TURUBAI! watu8 unayakumbuka yake maturubai ya jkat yale ya jinja ehehhehe enzi zile ukiwa na msiba tu wanaum wanasimika miti af turubai juu!ahahahhahahhahhah
HAKI YA MAMA KUNA MTU ANAHACK id yangu!
unafikr uongo!
 
Last edited by a moderator:
hivi kwa bahati mbaya angekaa vibaya halafu kitu cha bikini kikaonekana ingekuwaje? I don't support that!

skintight haina tofauti sana na boxer na imetofautiana na bikini...
 
mie napenda kuvaa shati au tisheti ya babe wangu usiku,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
yani hapo full kumtega na michezo ya mahaba!!!!!!!!!!!!!!! tena siku hiyo kama anaangalia uefa mechi!!!!!!!!!!!!!!
 
  • Thanks
Reactions: BPM
inapendeza kama ana vaa anapofanya shughuli maalum tena iwe home,sio tuna enda out ndo anakomelea pamba zangu hapo kina nuka .

kabla sijaendelea mbele ww umenchekesha nomaa.........................mkuu umeoa??? hapa naimagine kikinuka inakueje
 
halafu unakuta kitenge chenyewe kina maua ya kosrosho, ama khanga yenyewe ina mji.
Halafu watoto wako kwa bibiiiiiiiiii, ni mchana mmesha kula nguna yenu mkekani, mmepumzika................halafu pasina haraka unaanza uchokozi................

Diii nikuulize swali??
Uliza tu hny!

Hivi umeyaona haya maua ya korosho kwenye kanga ulovaa?? Waijua maana yake??

Kinafwata kibao cha uchokozi hapana bwana mi stakiiiii<<>>>>>>>>>>>>>>>>

jamani kuna mtu kaniandikia sio mimi

huu sasa ubunifu , watu wangekuwa wabunifu hivi usingesikia magomvi
 
ahahahhahahhahahhaahaha inafatia nini ujue.......
mtu kanyanyuka anajifanya aningia ndani kuchukua gazeti
ehehehhehhehe anajicheleweshaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ukisema umfate ahahahahhahaha KAWEKA TURUBAI! watu8 unayakumbuka yake maturubai ya jkat yale ya jinja ehehhehe enzi zile ukiwa na msiba tu wanaum wanasimika miti af turubai juu!ahahahhahahhahhah
HAKI YA MAMA KUNA MTU ANAHACK id yangu!
unafikr uongo!

hahahahahhaahahhahahahahahhahahah!!!!!!!!!!!!!!!!!!! halafu unafikiri ndani ya turubai nini kinafwata??
uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii..............................eti mnajizungushia turubai ..... halafu si unakumbuka siri ya kujifunika khanga mkiwa mmesimama?? sijui Watu 8 anaijua sijui.............................sheria yake ni lazima wote mgeukiane ili asiwepo alomzidi mwenzie nje ya mstari, na mnasimama ama matumbo yagusanne ama wa nyuma atizame kisogo cha mwenzie................. sas ahapo otea nini kinafwata!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

WALLAH.........MAKEMIKALI YAME BRAINWASH AKILI YANGU
sio mimi jamaniiiiiiiii!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
mie napenda kuvaa shati au tisheti ya babe wangu usiku,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
yani hapo full kumtega na michezo ya mahaba!!!!!!!!!!!!!!! tena siku hiyo kama anaangalia uefa mechi!!!!!!!!!!!!!!

ila wakiwaga wanaangalia Uefa wakali...
 
hahahahahhaahahhahahahahahhahahah!!!!!!!!!!!!!!!!!!! halafu unafikiri ndani ya turubai nini kinafwata??
uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii..............................eti mnajizungushia turubai ..... halafu si unakumbuka siri ya kujifunika khanga mkiwa mmesimama?? sijui Watu 8 anaijua sijui.............................sheria yake ni lazima wote mgeukiane ili asiwepo alomzidi mwenzie nje ya mstari, na mnasimama ama matumbo yagusanne ama wa nyuma atizame kisogo cha mwenzie................. sas ahapo otea nini kinafwata!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

WALLAH.........MAKEMIKALI YAME BRAINWASH AKILI YANGU
sio mimi jamaniiiiiiiii!!!!!!!
mwali kwenu kushawahi kuwa na msiba?
unayakumbuka yale maturubai ya kusimikwa na miti af kwenye simo wanaweka mawe na vifuu yale (sio haya ya siku hiz yameandikwa na majina sijui number za simu wanaweka yananyoooka kule juu)
bana yale mautrubai kuna kuwa na miti minne na mmoja kati kati!
sasa pale kwa juu ya turubai panapokuwa pameegeshwa turubai?
ahahahhaaa MI SIJASEMA BANA!
ni hii laptop yangu tu ikiwa imechoka ndo huwa inatumaga maandishi kama hayo!
 
hahahahahhaahahhahahahahahhahahah!!!!!!!!!!!!!!!!!!! halafu unafikiri ndani ya turubai nini kinafwata??
uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii..............................eti mnajizungushia turubai ..... halafu si unakumbuka siri ya kujifunika khanga mkiwa mmesimama?? sijui Watu 8 anaijua sijui.............................sheria yake ni lazima wote mgeukiane ili asiwepo alomzidi mwenzie nje ya mstari, na mnasimama ama matumbo yagusanne ama wa nyuma atizame kisogo cha mwenzie................. sas ahapo otea nini kinafwata!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

WALLAH.........MAKEMIKALI YAME BRAINWASH AKILI YANGU
sio mimi jamaniiiiiiiii!!!!!!!

mbavu zangu miee...
 
Last edited by a moderator:
kuvaliana vyupi je? maana naona mnaishia ktk tshirt, vest na saa huko je kwenye vyupi?
 
Back
Top Bottom