Mwanamke mmoja Iran aamua kuwakera Ma-Ayatollah kwa kutembea na nguo zilizopigwa marufuku mtaani

Shida siyo hijab,we kwa utashi wako alivyovyaa unaona ndiyo maana halisi ya uhuru? Kama Uhuru ni kuvaa uchi,basi hiyo tafsiri inatumika vibaya
Alikuwa amevaa hijabu askari wa maadili wakamkata na kuanza kumsumbua kwamba hajavaa hijabu vizuri ndipo akaamua kuivua kabisa hiyo hijabu, hapo hajavaa uchi amevaa kama ukiwa na mke wako na watoto wako beach.
 
Alikuwa amevaa hijabu akakamatwa na kusumbuliwa na polisi wa maadili kwamba hajavaa hijabu vizuri ndipo akakasirika na akaamua kuitupa kabisa hiyo hijabu, hana matatizo yoyote ya akili.
Ila hajavaa kimini. Amevua nguo za juu na kubakia na chupi na sidiria (underwear). Huo sio uhuru wa kuvaa. Nchi nyingi angeonekana kichaa na kukamatwa.
 
Ila hajavaa kimini. Amevua nguo za juu na kubakia na chupi na sidiria (underwear). Huo sio uhuru wa kuvaa. Nchi nyingi angeonekana kichaa na kukamatwa.
Hapa ni Zanzibar
Your browser is not able to display this video.
 
Jinsia yako tafadhali ili tuendelee na mada
 
Alikuwa amevaa hijabu akakamatwa na kusumbuliwa na polisi wa maadili kwamba hajavaa hijabu vizuri ndipo akakasirika na akaamua kuitupa kabisa hiyo hijabu, hana matatizo yoyote ya akili.
Bosi Iran watu kibao wanatembea vichwa wazi, hiyo video yako tu kuna watu kibao wapo vichwa wazi, tatizo lenu nyie mmejaa propaganda kwenye vichwa, kuna watu kibao watalii wanachukua video za Iran, kumejaa maelfu ya video youtube watu wakionesha Iran watu wanaishi vipi, badala ya kusubiria propaganda ndo ziwe elimu yako.
 
Iran ni lazima wanawake kuvaa hijab kisheria kwenye umma, wasiovaa wanavunja sheria na inategemea siku hiyo basij militia wameamkaje.
 
Mojawapo ya mambo yanayonifanya kuendelea kusimama na Israel ni hili la uhuru, Israel ndio nchi pekee ya Mashariki ya kati unavaa vyovyote, unapata kitimoto, unakunywa chochote na unaweza kuabudu chochote bila kusumbuliwa au hofu.
Kuvaa hivyo hapa TANZANIA unaruhusiwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…