Mwanamke mmoja Iran aamua kuwakera Ma-Ayatollah kwa kutembea na nguo zilizopigwa marufuku mtaani

Kuna watu hawajielewi humu
 
Sijui ni Kukosa akili Kwa watu ama ni unafiki uliopitiliza Mimi sinaga upande wowote wa kiimani Kwa kuwa huwa Nina amini dini ni scam, lakini hebu Tuachane na masuala ya dini twende ktika upande wa maadili Je ikitokea Raia yeyote wa Tanzania akavaa chupi na sidiria pale kariakoo posta mwenge au sehemu yoyote Ile ya wazi iliyopo hapa nchini tutamuelewaje jamii itamtizamaje , hebu Tuachage unafiki basi Mimi nisingekuwa na Shida na Huyo binti kama ingekuwa amevaa nguo za kawaida ila hajajifunga ushungi halafu mamlaka zimuhukumu Kwa uvaaji huo lakini Kwa Hicho alicho kifanya ni ushenzi anapaswa kushughulikiwa
 
Wakristo inawanogea saana wanawake wakitembea uchi!!! Ni kwanini eti? Vita yenu kwa wenzenu waislam ni juu ya kupiga marufuku kina mama kutembea uchi na ushoga,ila nyie mnapambana wanawake watembee uchi
Hivi kuna race inayowafikia Waarabu kwenye mambo ya kuzibua mtaro?
 
Dini yako au dini ya mwarabu?
 

Hapo sasa amepitiliza.Atakipata anachotafuta.bora hata angevaa mavazi mengine.Angepeleka ujumbe kwa njia nyingine.Kama hilo katazo liko kwenye "sharia" atanyakulia chap.
 
Madaktari wamesema anatatizo la afya akili amechukuliwa kwa ajili ya tiba
 
anaonekana ana matatizo ya akili tu.
Jamii ambayo haina utamaduni huo lazima ikuone kituko tu.

Muislamu yeyote Mwanamke aliyesoma dini vizuri na mcha Mungu hawezi kufanya huo upumbuzi.

Kila jamii ina utaratibu na ustaarabu wake, hatuwezi kuilazimisha jamii fulani iache utaratibu wake na iishi tupendavyo, zipo jamii ambazo zina flexibility ya kuadapt na zipo jamii hazina hiyo flexibility.

Tuweke dini pembeni sasa, tulijadili kiuhalisia, NI SAWA MWANAMKE AU MWANAUME KUTEMBEA NA CHUPI BARABARANI?
 
Kwa namna alivyovaa na huo mtaa aliopo wenye ubusy hivyo hata ingekuwa Dar watu wangemuona chizi. Hayo mavazi hata kwa Bongo huwezi kutembea nayo mtaani.
 
Dini ni UONGO mtupo

Lakini kwa uvaaji huo hata huku kwetu kwa mtogole na viunga vyake vya Tandale na Vingunguti huwezi kukuta bidada kavaa hivyo

Mivao hiyo utaikuta yale maeneo yote kuanzia saa 2 usiku kwa akina dada poa
Huku kwetu bado tuko na legacy kubwa ya dini za majahazi na meli.
 
hebu fikiria hakuna uhuru halafu ina uchumi mzuri, je kungekuwepo uhuru nchi hiyo ingekuwa na uchumi gani? India na south afrika wangeenda kusoma huko. Hiyo nchi ingekuwa sawa na ulaya tu kama ilivyo uturuki ni ya kiislam ila haina udini
 
hebu fikiria hakuna uhuru halafu ina uchumi mzuri, je kungekuwepo uhuru nchi hiyo ingekuwa na uchumi gani? India na south afrika wangeenda kusoma huko. Hiyo nchi ingekuwa sawa na ulaya tu kama ilivyo uturuki ni ya kiislam ila haina udini
 
hebu fikiria hakuna uhuru halafu ina uchumi mzuri, je kungekuwepo uhuru nchi hiyo ingekuwa na uchumi gani? India na south afrika wangeenda kusoma huko. Hiyo nchi ingekuwa sawa na ulaya tu kama ilivyo uturuki ni ya kiislam ila haina udini
 
Tuweke dini pembeni sasa, tulijadili kiuhalisia, NI SAWA MWANAMKE AU MWANAUME KUTEMBEA NA CHUPI BARABARANI?
Ni sawa mwanaume kutoboa masikio au pua?
 
Waarabu ni wanafki

Je ukiambiwa Waafrika ni wanafiki utaipenda?
Aja ujinga wa kutukana watu taifa lote bure. Kuwa mstaarabu kidogo toka kwenye ushenzi.
Bebe ure mbuuri gete nhoro. Linomo lyako gete nyo ya ng’ombe. Linomo lyako lilsngage litiizo funya maashii. Pwaaa sambusa, lilo lyameliiwa😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…