Mwanamke mnyenyekevu ndiye chaguo bora kwa mwanaume yoyote

Mwanamke mnyenyekevu ndiye chaguo bora kwa mwanaume yoyote

Jemima Mrembo

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2021
Posts
2,864
Reaction score
8,328
Wanawake tuna nguvu kubwa ambayo hatuithamini na tunaipuuza na kuidharau ndio maana sisi tunaongoza kushinda kwa waganga na kwenye makanisa ya kinabii.

Nguvu hiyo kubwa tuliyonayo ni unyenyekevu. Tukiweza kuwa wanyenyekevu kwa wanaume wetu, na kuwaombea, migogoro inapungua na kutoweka kabisa.

Unyenyekevu wa mama ni faida kwake binafsi, faida kwa baba na faida kwa watoto na familia nzima.

Mwanamke mnyenyekevu ndiye mwanamke mwenye hekima ya kuishi na mume.

Ni mwanaume gani ambaye ndoto yake ni kuwa na mwanamke, jeuri, kiburi na mkaidi? Mwanamke mwenye dharau, mdomo mchafu na asiye na heshima kwa mume?

Bila kuwa mnyenyekevu hamna hofu ya Mungu moyoni mwako
 
Wanawake tuna nguvu kubwa ambayo hatuithamini na tunaipuuza na kuidharau ndio maana sisi tunaongoza kushinda kwa waganga na kwenye makanisa ya kinabii.

Nguvu hiyo kubwa tuliyonayo ni unyenyekevu. Tukiweza kuwa wanyenyekevu kwa wanaume wetu, na kuwaombea, migogoro inapungua na kutoweka kabisa.

Unyenyekevu wa mama ni faida kwake binafsi, faida kwa baba na faida kwa watoto na familia nzima.

Mwanamke mnyenyekevu ndiye mwanamke mwenye hekima ya kuishi na mume.

Ni mwanaume gani ambaye ndoto yake ni kuwa na mwanamke, jeuri, kiburi na mkaidi? Mwanamke mwenye dharau, mdomo mchafu na asiye na heshima kwa mume?

Bila kuwa mnyenyekevu hamna hofu ya Mungu moyoni mwako
Sawa, watapita kusoma
 
Labda kwa mwanaume anaejielewa anachotaka, utakua na unyenyekevu mwenzio kumbe anadiscussion na halmashauri yake ya kichwa kwamba kweli mnyenyekevu ila huna tako, mara hipsi, sijui ushenzi gani mwingine huko.

Kuna wengine hata unyenyekee vipi bado atakuona ndezi tu na utaachwa ataenda hata asikonyenyekewa.
 
Wanawake tuna nguvu kubwa ambayo hatuithamini na tunaipuuza na kuidharau ndio maana sisi tunaongoza kushinda kwa waganga na kwenye makanisa ya kinabii.

Nguvu hiyo kubwa tuliyonayo ni unyenyekevu. Tukiweza kuwa wanyenyekevu kwa wanaume wetu, na kuwaombea, migogoro inapungua na kutoweka kabisa.

Unyenyekevu wa mama ni faida kwake binafsi, faida kwa baba na faida kwa watoto na familia nzima.

Mwanamke mnyenyekevu ndiye mwanamke mwenye hekima ya kuishi na mume.

Ni mwanaume gani ambaye ndoto yake ni kuwa na mwanamke, jeuri, kiburi na mkaidi? Mwanamke mwenye dharau, mdomo mchafu na asiye na heshima kwa mume?

Bila kuwa mnyenyekevu hamna hofu ya Mungu moyoni mwako
Hii comment ijengewe jengo refu sana hapo ikulu, ina ujumbe kwa huyo mwanamama hapo
 
Labda kwa mwanaume anaejielewa anachotaka, utakua na unyenyekevu mwenzio kumbe anadiscussion na halmashauri yake ya kichwa kwamba kweli mnyenyekevu ila huna tako, mara hipsi, sijui ushenzi gani mwingine huko.

Kuna wengine hata unyenyekee vipi bado atakuona ndezi tu na utaachwa ataenda hata asikonyenyekewa.
[emoji419][emoji419][emoji419]
 
 
Wanawake tuna nguvu kubwa ambayo hatuithamini na tunaipuuza na kuidharau ndio maana sisi tunaongoza kushinda kwa waganga na kwenye makanisa ya kinabii.

Nguvu hiyo kubwa tuliyonayo ni unyenyekevu. Tukiweza kuwa wanyenyekevu kwa wanaume wetu, na kuwaombea, migogoro inapungua na kutoweka kabisa.

Unyenyekevu wa mama ni faida kwake binafsi, faida kwa baba na faida kwa watoto na familia nzima.

Mwanamke mnyenyekevu ndiye mwanamke mwenye hekima ya kuishi na mume.

Ni mwanaume gani ambaye ndoto yake ni kuwa na mwanamke, jeuri, kiburi na mkaidi? Mwanamke mwenye dharau, mdomo mchafu na asiye na heshima kwa mume?

Bila kuwa mnyenyekevu hamna hofu ya Mungu moyoni mwako
Ngoja wenyewe wanywe chai kwanza,uone watakavyokushukia kama Mwewe...
 
Labda kwa mwanaume anaejielewa anachotaka, utakua na unyenyekevu mwenzio kumbe anadiscussion na halmashauri yake ya kichwa kwamba kweli mnyenyekevu ila huna tako, mara hipsi, sijui ushenzi gani mwingine huko.

Kuna wengine hata unyenyekee vipi bado atakuona ndezi tu na utaachwa ataenda hata asikonyenyekewa.
Sahihi sana
 
Labda kwa mwanaume anaejielewa anachotaka, utakua na unyenyekevu mwenzio kumbe anadiscussion na halmashauri yake ya kichwa kwamba kweli mnyenyekevu ila huna tako, mara hipsi, sijui ushenzi gani mwingine huko.

Kuna wengine hata unyenyekee vipi bado atakuona ndezi tu na utaachwa ataenda hata asikonyenyekewa.
Umenena ukweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom