Stress nitoe wapi Broo? Tatizo unawaza kila atakae kuwa upande wa kusema kitu positive kuhusu wanawake ni mwanamke, wengine tupo kuandika uhalisia.Wewe utakuwa ulidate na wahuni wakakufanya vibaya. Anyways, kama una stress zako hebu nenda kaonane na wataalamu wa Therapy wakutoe katika hayo maumivu na sonona ya mahusiano ili uweze kufikiria sawa sawa.
Kwamba hata wewe mwenye hiyo miguu ni Dume? Kweli dunia imevaa bukta.Kuna member mmoja wa kiume kaeka picha ya makalio[emoji23]itabidi tu uzoee
Kwamba hata wewe mwenye hiyo miguu ni Dume? Kweli dunia imevaa bukta.
Aiseee kupata mwanamke mwenye akili na upendo kwa sasa hivi ni kazi sanaWanawake ni wabinafsi sana. Ngoja niendelee kusoma comments za kwenye huu Uzi ili niwazoom π π .
Hela ya mwanamke ni ya kwake peke yake, hela ya mwanaume, ni ya familia nzima. Alaf unashangaa mwanaume kwenda mbali na familia kutafuta fursa
Tafadhali usilie ππWanaume kwenu mmetufanya fursa?
Badala ya wenza wa kutufariji kwenye shida na Raha??
Siku hizi Sisi ni fursa??
Haha! Mkuu pls ππwanawake msikilizeni depal atawasaidia pakubwa
eeh haujiamini au? ππHaha! Mkuu pls ππ
Hapo kwenye kazi na utafutaji tuachane napo tushughulike na ugomvi Huu ugomvi unaouongelea utaendelea hadi uzeeni ?utatengana na mke Hadi uzeeni ukiogopa ugomvi?Wakati mwingine watu ulazimishwa kuwa mbali bila kutaka,mfano Kazi, utafutaji,au kukimbia ugomvi
Pana wanawake Wana tabia ngumu kuishi nae tegemea maradhi ya moyoHapo kwenye kazi na utafutaji tuachane napo tushughulike na ugomvi Huu ugomvi unaouongelea utaendelea hadi uzeeni ?utatengana na mke Hadi uzeeni ukiogopa ugomvi?
AiseeIla mwanamke!! Wanaume ni wachache, choose well btn fursa na mume.
Kabisaeeh haujiamini au? ππ
pls tupe sifa zetu wanaume, wewe pekee ndo unayajua mema yetu.
π€£π€£π€£π€£π€£Kuna member mmoja wa kiume kaeka picha ya makalio[emoji23]itabidi tu uzoee
π―π€Aiseee kupata mwanamke mwenye akili na upendo kwa sasa hivi ni kazi sana
Ngoja niwatag kadhaa[emoji1]Nasubir comment za single mother na waliovurugwa na mahusiano
Huyu yupo kipindi cha mwisho kuingia menaopause kama siyo mwisho wa mwaka huu basi mwakani hatoboi so anakuja kuwatia ujinga wale wanaochipukia.Una mume dada?Je umeolewa? Tafuta maishaaa ukimaliza tafuta mume ili ukubali kuwa chini yake.
π―π€In most cases, mmoja Kati ya wapendanao akithubutu kuenda mbali na mwenzake inakuwa ndo imetoka hiyo,Yaani mahusiano yatayumba yumba mpaka yavunjike.