Ah na nyie wanawake ebu mjiheshimu bwana unaombaje buku na wewe ni mrembo umebarikiwa mbususu na tako🤣🤣🤣🤣🤣Dau gani mtu buku tu unaandika Uzi wa kulalamika 😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ah na nyie wanawake ebu mjiheshimu bwana unaombaje buku na wewe ni mrembo umebarikiwa mbususu na tako🤣🤣🤣🤣🤣Dau gani mtu buku tu unaandika Uzi wa kulalamika 😂😂😂
😂😂😂🙌Mwanamke umwambie sina hela utajuta. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wewe unadhani ule msemo wa kuna ishu naisikilizia tuliutunga kwasababu gani.
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Sasa wewe mbona haieleweki unatetea kambi gani?Una hasira sana mm sio level hizo za kufuniliwa kisa laki ninamaisha magumu ndio ila ninafanya kazi Kwa bidii sana na mwanaume wangu sio lialia ananispoil hasa hatujaja kuchambana hapa tunazungumza tu
There are people who give to dogsKama sio kitu Cha maana mbona kutwa kulalamika nyuzi km zote leteni nyuzi za kilimo Sasa
😂😂Ila wanaume sijui mnataka nn tukitafuta Hela tuwe na Hela zetu mnalalamika tukiwaomba mnalalamika 😂😂Ah na nyie wanawake ebu mjiheshimu bwana unaombaje buku na wewe ni mrembo umebarikiwa mbususu na tako🤣🤣🤣🤣🤣
Ushaanza kujibu dry umeanza kuona makosa yako.Faida tunayoipata ni nyie kuja kulialia humu kila siku
Huku Kuna uzi mke wa mtu alifuata computer geto kwa mfanyakazi mwenzie mida ya saa Tisa na nusu mchana ........ Adi saa tatu usiku ndo akaruhusiwa enda home kufika ome mke kachezea vitasaaaaHela unaijia geto na mzigo unatoa umo umo
KwendaThere are people who give to dogs
Sasa hali halisi kwa sasa ndio hiyo katika wanawake 10 utakutana nao kwa mwaka, 9 ndio hizi sampuli za tamaa , 1 ndio anakuwa vema na unakuta ni demu wa mtu.Mwambie ukweli pia solve mambo ya msingi sio kutoa toa Hela kijinga mwambie malengo yaliyopo hataki achana nae sio lazima mnatongoza slay queen mnategemea watazwaza kufuga kuku zaidi ya kubadilisha wigs mvune mlichopanda
Ah wee nani alilalamika kuhusu nyie kutafuta hela zenu...mbona mkipata hela zenu mapenzi yanakuwa matamu.😂😂Ila wanaume sijui mnataka nn tukitafuta Hela tuwe na Hela zetu mnalalamika tukiwaomba mnalalamika 😂😂
Hawaridhiki. Mtu mwenye tamaa kila unachojitoa yeye anaona ana haki ya kupata zaidi ya jana na ukisitisha huduma anaweza hata kukununia.Wew ndo unachukia ukweli tafuta Hela mwanaume pambana fanya maisha mtunze mwanamke wako uone kama utakuja kuandika waraka mrefu hapa
Kunawatu hawajui kubishana Yani ukicomment kitu anakuchukulia kama vile ndo umeomba Hela Kwa mtoa mada hasira kama zoteSasa wewe mbona haieleweki unatetea kambi gani?
Hapa ukisoma utaona komenti nyingi zimelenga kuponda aina ya mabinti wa chuma ulete. Yaani yeye anakupigia simu kila siku au kila baada ya muda mfupi akuombe pesa tu hana story zingine nje ya kukuletea shida zake.
Sasa wewe hapa unajidescribe kama binti mchakalikaji ambaye anajua kujitafutia mapato na kuishi kwa discipline eneo la pesa. Na hawa ni wanawake ambao sisi wanaume tunaojitambua ndio tunawataka na tupo tayari kuwagharamikia sababu wanamchango.
Unakaa na demu hajitumi hata kuleta sufuria ndani wala seti ya vikombe au sahani ambazo kariakoo ukienda zinuzwa kati ya 12,000 hadi 45,000 hapo mwanamke anayejitambua atanunua vitu vya ndani na mwanaume hautakuwa na shida kutumia pesa zako kwake.
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Nilishaapa cwezi toa pesa bila mzagamuowana kichaka chao cha kujifichia.
Ety kwahiyo mimi nimepata shida huwezi nisaidia hadi uwe umelala na mm 😆😂😂😂
Uyo atakuwa na tatizo la akiliHawaridhiki. Mtu mwenye tamaa kila unachojitoa yeye anaona ana haki ya kupata zaidi ya jana na ukisitisha huduma anaweza hata kukununia.
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Inawafaa wajawazito zaidi sio?Hii mada inakaradha Ka uchachu balaa
Mimi nikikupa pesa yangu ukaja kuniruka na kuanza mahusiano na mtu mwingine itaniathiri sana kiuchumi maana nilikuwa najitoa kwa mtu asiyenipenda ya dhati.Hivi Kwa mnavojisifu ujinga na kupenda ngono kuna mwanamke asie na akili atakuja kutoa uchiwake Kwa wanaume dizaini yenu labda awe amelogwa ishini Kwa staha mtapata wanawake wenye staha na hayo mnayoyaona yanasadikika yapo na wanawake wema wapo pia nasema mtaombwa Hela na mwakaujao mtaanza kuombwa na Figo
Bila kulalamika nyie hamtajifunza na hii laana ya udangaji mtaipeleka kwa watoto na wajukuu wetu wa kike sisi hatutaki hali ifike huko.Sijakataa ila.mpunguze kulalamika Sasa tumewachoka [emoji23][emoji23][emoji23]wanaume hamna vifua kabisa
😂😂Bila kulalamika nyie hamtajifunza na hii laana ya udangaji mtaipeleka kwa watoto na wajukuu wetu wa kike sisi hatutaki hali ifike huko.
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Wala hata,ukweli ndo huo tafuteni hela,mtu wa kuvumilia shida zako ni