Aisee umeongea na emotions hatarihahaha😂😂😂, inatokea tu mkuu😊🙌🙌
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee umeongea na emotions hatarihahaha😂😂😂, inatokea tu mkuu😊🙌🙌
Yec tukimaliza , tunaenda kupiga Gambe , mwanzo mwisho na kutafuta pesa tu ,,Tunapiga nyeto maisha yanaenda wanawake wakipita unasonya tuu
Mimi mbona sijakataa kabisa lakini mwanaume lazima awajibike ila sio Kwa mambo yabkijinga ilo ni lazima hutaki kuwa mwanamke uhudumiwe 😂😂Basi na sie mjue inatuuma kama vile inavyowauma nyie pale wanaume wanatomber na kusepa. Sie hela kuipata tunapitua mengi kiupata
That is too much, vocha??Kabisa na sisi tuwe tunaomba Kwa kiasi isizid ni kero lakini hii ni Kwa wanaume sio Hawa wavulanaa lialia wao waombww tu hata vocha za 500 poa tu😂😂
Aaah we acha usanii. Mwanamke ukimpa hela ukija sikia kakupa sijui iwaje. Yaani hapa unaongea tu kufurahisha jukwaa ila hakuna kitu umemaanisha.Inaumaje 20K Kwa mtu naempenda na always ananisupport nitakuwa sinaakili backup zimetengenezwa na nyinyi
huwa sipendagi kujibu mashambulizi harshly that's why nimetumia kingereza kupunguza ukali wa maneno,,hope amenielewa vizuriAisee umeongea na emotions hatari
Mwanmke ahudumiwe na mie mwanaume nihudumiwe hapo freshMimi mbona sijakataa kabisa lakini mwanaume lazima awajibike ila sio Kwa mambo yabkijinga ilo ni lazima hutaki kuwa mwanamke uhudumiwe 😂😂
Poa tulia mrembo hapa jf usichukulie mmbo serious sana. Ni kujadili mambo na kutambua kila mtu na mtazamo wakehuwa sipendagi kujibu mashambulizi harshly that's why nimetumia kingereza kupunguza ukali wa maneno,,hope amenielewa vizuri
Tafuta na wewe za kwako ili usiwe unasumbua watoto wa watu kwa shida ambazo baba yako, kaka zako, wajomba, baba wadogo na wakubwa kwapamoja wameshindwa zitatua.Tafuta hela usisubiri mpaka uombwe hela,
Sio wanafaidi tumechoka utumwa aisee mm binafsi siwez Tena mvumilia mtu kijinga Yani mwanaume anihudumie na Huwa nasema wazi atimize majukumu yake japo sio too much sabbu najitafutia pia na huwa anasolve mamboyangu ya maana sio wigs au kuchaHuu ni uongo bwana. Wewe unawachanganya wanaume decent na wahuni?!
Unaona kabisa kijana muhuni unaruka nae halafu anakupiga tukio unasema wanaume this that huyo sio mwanaume wa kaliba nzuri.
Ni kama sisi wanawake wapo hawa wadangaji na kuna wale decent. Sasa shida ya sasa hata wale decent nao saa hii wameingia tamaa wanaona wadangaji sijui wanafaidi.
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Wewe unaweza kulima sasa kama hela umeshindwa kutafuta utaweza kutafuta mazao shambani? [emoji23][emoji23]Kama sio kitu Cha maana mbona kutwa kulalamika nyuzi km zote leteni nyuzi za kilimo Sasa
Mimi nalima.mbona 😂Wewe unaweza kulima sasa kama hela umeshindwa kutafuta utaweza kutafuta mazao shambani? [emoji23][emoji23]
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
😂😂😂😂Tafuta na wewe za kwako ili usiwe unasumbua watoto wa watu kwa shida ambazo baba yako, kaka zako, wajomba, baba wadogo na wakubwa kwapamoja wameshindwa zitatua.
Kama wewe ni mwanamke unayejitambua anza kwanza kupelekea shida zako familia yako ili usiwadhalilishe. Kama unashida ya 50,000 mwambie baba akupe 20,000 kaka akupe 10,000 mpigie bamdogo akupe 10,000 mjomba akupe 5000 na bamkubwa akupe 5000 the uone kama utakuwa na haja ya kuomba watoto wa watu huku nje.
Ila kama hilo unajua haliwezekani kwenu then why sasa unasumbua watoto wa watu na kuwalaumu kuwa wanaroho mbaya au wabinafsi kwa shida ambayo wewe ukoo wako wote hawana uwezo wa kukutatulia.
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Sasa kama hauna feelings nenda kwa baba yako akupatie hela. Huku nje ni mwendo wa kutombwa tu hakuna mswalie mtume huku.hadi niwe nakufeel, na feelings zenyewe sikuizi bila hela hazipo sasa ndo tatizo lenyewe[emoji23]
Hata sisi wanaume tunapenda hela ndio maana tunapambana tungekuwa hatuzipendi usingeona tunahangaika kuzitafuta.Acha kujidanganya hamna mwanamke hapendi hela,huna hela hamu zinatoka wapi?
😂😂😂hadi niwe nakufeel, na feelings zenyewe sikuizi bila hela hazipo sasa ndo tatizo lenyewe😂
Ishu sio muda gani...tengenezeni bond, mfahamiane na muone malengo yenu yanafanana.hivi mda sahihi wa kuombana hela ni adi miezi mingapi vile 🤔
Mmmmmmhmn sasa unaanza kubadilika.na ndomana nimesema kuombana hela,,ningekua sina za kwangu ningesema kuomba hela[emoji41]
hivi mda sahihi wa kuombana hela ni adi miezi mingapi vile 🤔
Haitakiwi kuomba hela. Inatakiwa kuomba ushauri, kampani n.k. Hela ni only where necessary, ile kubinaadam na kwa kuwa anakua nacho.hivi mda sahihi wa kuombana hela ni adi miezi mingapi vile 🤔