Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumbe unajua kutofautisha kati ya shida na tamaa, umetumia nguvu kubwa sana kubwabwaja pumba huko juu ukidhani am such kind of girls unaokutana nao...by the way hilo tusi ulilenga kwa hao watu wako pia nahisi,, cause I may not be among those girls or women you met and you don't know even my life status na hujui nafananaje so try to hold your temper my big brother...Jf for enjoyment na kujifunza pia😜😉Kuna shida halafu kuna tamaa. Sasa kwa akili ya mtu asiyejitambua kama most of you,
Sio unakuja kunifuja mapato yangu hafifu unanirudisha nyuma nguruwe wewe .
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Usikute naishi jirani na mtaani kwenuKama unanisema vile😂😂
Niliwahi kukutana na hivyo..
Within no time kila wiki nguo mpya..
Shida kibao..
Hapo hata hujamtongoza jst mmekuwa na ukaribu tu
Huu ujinga hatufanyi siku hizi mkuuinabidi utume kabisa na ya kutolea halafu ndo nije[emoji4]
Kuna mambo kwa mwanamke kuweka kipaumbele anapoingia mahusiano mapya ambayo yatampa. Thamani kubwa mbele ya mwanaume na mwanaume atakuwa comfortable kuspend kwake.hahaahha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], hao wanakua wanazingua kwakweli..lakini kwenye upendo hivyo vyote sio kitu kama ni ndani ya uwezo wako[emoji4]
I do like such kind of men😉😍Naam mimi ni mtu mzima, kuna viujinga nimevivuka.
Ukiniletea drama naelewa na shida genuine pia naelewa.
Sina tatizo kumsaidia mtu ikiwa muda huo zipo.
I hate dramaz.....nikihisi kinds of drama sitajali uzuri wako...ninakufuta papo hapo.
But ikiwa umenyooka sina tatizo kukusapo regardless tumeonana leo au jana
sawaKuna mambo kwa mwanamke kuweka kipaumbele anapoingia mahusiano mapya ambayo yatampa. Thamani kubwa mbele ya mwanaume na mwanaume atakuwa comfortable kuspend kwake.
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Hivi kwa nini kuna tabia hapa jf watu kusisitiza jmbo wanatumia english?? Why is that? 🤣🤣🤣🤣kumbe unajua kutofautisha kati ya shida na tamaa, umetumia nguvu kubwa sana kubwabwaja pumba huko juu ukidhani am such kind of girls unaokutana nao...by the way hilo tusi ulilenga kwa hao watu wako pia nahisi,, cause I may not be among those girls or women you met and you don't know even my life status na hujui nafananaje so try hold your temper my big brother...Jf for enjoyment na kujifunza pia😜😉
Sasa we kosa kujuana na mm usingepata shida?wana kichaka chao cha kujifichia.
Ety kwahiyo mimi nimepata shida huwezi nisaidia hadi uwe umelala na mm [emoji38][emoji23][emoji23][emoji23]
sawaMatumizi mbaya ya neno msaada. Wengi wenu sio shida ni tamaa. Sababu vitu mnataka kutumia hizi pesa kulipia si vya muhumu wala basic ni vitu vya kufurahisha nafsi tu.
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
My point ni kuwa.Usikute naishi jirani na mtaani kwenu
Kiukweli Hela inauma sana asikwambie mtu ukitaka kujua uwe umejaribu kutfuta pesayako mwenyew ndo utajionea kutumia laki ovyo unaona anasa mm Nina notebook kabisa naandika 😂😂
🤣🤣🤣🤣🤭hivi mda sahihi wa kuombana hela ni adi miezi mingapi vile 🤔
hahaha😂😂😂, inatokea tu mkuu😊🙌🙌Hivi kwa nini kuna tabia hapa jf watu kusisitiza jmbo wanatumia english?? Why is that? 🤣🤣🤣🤣
Ilo haliepukiki sabbu mapenz ndo yanaamua tunallamika sabbu inatuuma kiukweli 😂😂😂Mbona ata nyie mnalalamika kuwa tuna wagegeda na kuwaacha....kila upande una lawama zake
Huu ni uongo bwana. Wewe unawachanganya wanaume decent na wahuni?![emoji23][emoji23][emoji119]
Mambo yamebadilika sana vijana mmekuwa wa ovyo kujisifu umalaya kutongoza Ovyo kudate na wanawake wa Kila namna ndipo hapo mabint nao hawawazingatii wanawapiga vizinga vya kijinga Ili either mpate penz Kwa gharama au lah muondoke
Tunapiga nyeto maisha yanaenda wanawake wakipita unasonya tuuCHAPUTA tupo tunawaangalia tu na mabishano yenu ya kijinga
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Basi na sie mjue inatuuma kama vile inavyowauma nyie pale wanaume wanatomber na kusepa. Sie hela kuipata tunapitua mengi kiupataIlo haliepukiki sabbu mapenz ndo yanaamua tunallamika sabbu inatuuma kiukweli 😂😂😂
Kabisa na sisi tuwe tunaomba Kwa kiasi isizid ni kero lakini hii ni Kwa wanaume sio Hawa wavulanaa lialia wao waombww tu hata vocha za 500 poa tu😂😂My point ni kuwa.
Mimi kama mpenzi wako ni jukumu langu kukusapoti.
Lakini tusikomoane
Sasa hapo shida sio 500 shida ni mwanamke kutaka free boat na hataki mahusiano. Si akaombe anakopeleka penzi au?yani kumbe vizinga vyenyewe mnavyolialia ndo kama hivyo[emoji2],, mwambie jamaa yako atafute hela kama anazo basi aache ubahiri [emoji23][emoji23]