Mnatutonesha madonda ya moyo nyie hamjui tu kizazi hiki cha wanaume namna kimejawa na hasira kifuani inapokuja maswala ya mahusiano maana wanawake mshazingua sana.Sijawahi kuwa tamaa na kitu Cha mtu ninavyonvyngu hata km ni vidogo lakin ninajivunia bado natafuta sijapata Bado na huwa silazimishi mtu akisema Hana naelewa sababu na mm sikuwa nayo nikaomba sasa mwenzangu anatoawapi Hela muda wote tunachangamsha jukwaa tu usikasirike hivo
Njoo uchukue Pepsi basi, nayo hutaki?!situmiagi [emoji41]
Sio kwamba wewe ndio imeanza kumwambia Leejay49 kuwa Surya ni mwanamke?Yeye ni dada! Huyu halafu amenitusi mimi kwanza akaniita shangazi hivi kweli! How responsible man I am aniite hivyo, thatโs totally harassment
Sio Malalamiko FC ni Wanaume wa kimkakati.Sawa tumewaelewa [emoji23][emoji23]enyi malalamiko fc
Convo yao ni ndefu mkuu, wameanzia mbaliAmemfanyaje?
Shida sana ndugu yangu hawa viumbe...!!Hii ilinikuta nimemeza Metakelfin yangu napambana nayo kitandani hii kuna pofu m'moja wa enzi hizo ananipigia straight ananiomba hela akijifanya ana emergency. Namwambia hali yangu akajifanya kustuka kidogo na kuuliza maswali mawili matatu ya kimbea then mwishoni akanambia kwahiyo naweza pata.
Nikamwambia subiri nimtume mtu maana siwezi hata toka ndani. Ananiuliza nisubirie dakika ngapi. Nikaona hapa hakuna mtu hapa, huyu ni mwehu.
Nilimchana kwenye sms nikamwambia yaani mimi naumwa hapa hata kusema uje kujua naendeleaje unaona dharula zako ni muhimu kuliko afya ya mtu unayetaka akupe pesa ya matumizi.
Akajitetea na kusema basi kama nimemuelewa vibaya nisimtumie na hiyo hela
Nikaona mwehu huyu.
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Tayari ushachukia. Maneno kidogo una mind na kutake personal.nonsense [emoji706][emoji706]
Done deal atabaki kuwa dada, Jina limemwangusha๐๐๐Sio kwamba wewe ndio imeanza kumwambia Leejay49 kuwa Surya ni mwanamke?
All in all, huyo ni mwanaume na anafahamika kitambo humu jukwaani. Hakuna haja ya kulumbana
Tumebadili mkakati. Tumegundua akili zetu mnazichezea sasa kila mtu aje na akili zake Kwenye mahusiano then tutatumia zote.Jamani si mlisema akili tutazikuta hukohuko?imekuwa Tena tuje nazo?
Yaani wewe shangazi๐๐๐?Yeye ni dada! Huyu halafu amenitusi mimi kwanza akaniita shangazi hivi kweli! How responsible man I am aniite hivyo, thatโs totally harassment
If ndoa sio big deal then mbona hampo single as in muishi kama watawa?!Kwani mnaona km ndoa ndio big deal Kwa kilamwanamke?Sasa mwanaume anaedate na rafiki nae ni WA kulalamika kwawatu kuwa kakuacha duh
Jamani akili zenu ni nyingi na nzuri zinatosha hizohizo tafadhalini msitufanyie hivyoTumebadili mkakati. Tumegundua akili zetu mnazichezea sasa kila mtu aje na akili zake Kwenye mahusiano then tutatumia zote.
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Hana adabu kabisa huyo dada argh! Kweli hata wewe inakuingia akili that your big papa/baba now naitwa shangazi ๐๐๐Yaani wewe shangazi๐๐๐?
Aaah hamna kitu kama hicho. Story zipo nyingi sana huku mtaani na watu wanahesabu mtoto wa nne saa hii.Yaani ndoa imekuwa Kama ndio ticket ya kuingia paradiso Kwa baba! mwanaume anayenyakuliwa na rafiki huyo muolewaji atajuta huyo ni jasiri anakula Hadi madada,wadogo na mabinamu haachi kitu
Jina halija muangusha, bali tafsiri yako mkuu.Done deal atabaki kuwa dada, Jina limemwangusha๐๐๐
Hapana, mje na zenu.Jamani akili zenu ni nyingi na nzuri zinatosha hizohizo tafadhalini msitufanyie hivyo
Na Mimi lazma nitoe pesa ndo nilale na wwwana kichaka chao cha kujifichia.
Ety kwahiyo mimi nimepata shida huwezi nisaidia hadi uwe umelala na mm ๐๐๐๐
Ni dada huyo angalia hata mwandiko wake! Ni kama wale mademu shombeshombe halafu ni lesbian ๐ค๐คJina halija muangusha, bali tafsiri yako mkuu.