Mwanamke unaomba pesa after few date kosa kubwa

Mwanamke unaomba pesa after few date kosa kubwa

Ngoja nikwambie, hawa watoto wa kike, wengine ni wema Kabisa, ila hawana namna.

Anavyokuona unaweza kuwa na uelewa anaweza kukuomba nauli, inawezekana hakuwa na namna kabisa.

Unaweza msaidia mtu yeyote muitaji, alichokuomba ni very basic need ya muitaji, wewe tu umewaza vibaya.

Wakati mwingine tuwachukulie na kuwaangalia kwa jicho la Dada na Kaka, na sio macho ya ngono na mapenzi.
Akaombe ndugu zake. Siwezi kumkupa mtu tu say 30k wakati kuna madogo wapo home wana uhitaji. Hiyo 30 nikimpa binti wa kazi si atakesha akiniombea?
 
😅😅 3Some mbona sio kitu cha kiogopa .. kwanza wote mta enjoy maisha .. mnaanda ka part kwanza mnahakikisha makila kitu yapo mezani
Mwambie huyo aje ale raha za maisha hapa magetoni asihofu kuhusu nyama choma barbeque grill ipo na vinywaji vya aina zote vipo tukimaliza kuuwamwagilia moyo hapo ni afterparty tunakiwasha 3some
 
Back
Top Bottom