National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
wapewe leseni, na zitofautishwe madaraja π πHio biashara kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wapewe leseni, na zitofautishwe madaraja π πHio biashara kabisa.
Hahahahah demu anakuwa na akili kabisa ukimtongoza amejiokotea ATM inayotembea ππ π π matapeli tu hawa, kama wa tuma kwenye namba ile
Eeh wapewe leseni za biashara wawe wanalipa kodi na mashine za EFD πwapewe leseni, na zitofautishwe madaraja π π
Ila hali ikoje kama wewe ndio umekwama kwa kijana shababi kama National Anthem wewe utatoa hela ya kupaua nyumba bila shaka? πWakati mwingine huwa tunaomba hela Tena nyingii tuu ili ushindwe na uondoke uache usumbufu kwa sababu pia hata kukupenda mwanamke hajakupenda.... Yaani wewe kumtongoza tuu anakuona mzigo fulani hivi.... Sasa ndio mwanamke anajipanga kabisa.... Naomba hela ya kupaua, au kuongeza mtaji wa biashara, kumalizia madirisha ya nyumba yake ahamie au ... Something bigggg ambacho definitely utaondoka.
Siku akiishiwa hatakuwa anakupenda sio?
π π π anaonekana kaotoa gold ndani ya mwendokasiHahahahah demu anakuwa na akili kabisa ukimtongoza amejiokotea ATM inayotembea π
Hakuna bahati mbaya kama kuwa na mpenzi wa aina hio yako eti ukiwepa hela ndio mapenzi yanakuwepo. Siku hela zikikata mnabadilikaga vibaya mno. Best way ni kuwa na mwanamke ambaye anajiweza tu.basi tunatofautiana mimi mtu akiwa ananipanipa hela ndo najua ananipenda ππ
Leseni ziwe na class A, B, C etcEeh wapewe leseni za biashara wawe wanalipa kodi na mashine za EFD π
Hahahah hapo hapo anaanza kuikwangua yaniππ π π anaonekana kaotoa gold ndani ya mwendokasi
π π π π hawajui uchungu hela haoIla hali ikoje kama wewe ndio umekwama kwa kijana shababi kama National Anthem wewe utatoa hela ya kupaua nyumba bila shaka? π
Leseni ziwe na class A, B, C etc
Wanaiongeleaga hela kirahisi kama vile wanajua kuitafuta vileπ π π π hawajui uchungu hela hao
π π Jana kijiwe kimeanza onesha njia.. leo narudi tena..π
Wanaiongeleaga hela kirahisi kama vile wanajua kuitafuta vile
Hahahah hio C ndio naona wengi inawafit maana wanakusanya sana abiria π€£π€£π€£Leseni ziwe na class A, B, C etc
Toa mbunye wewe uinjoy π unaibania ili iwejeHivi nani atatoa mbususu yake ovyo tu ππ sikuhizi Kwa wanaume wenyew Hawa matapeli
Hahahah leo nikiwahi toka ntasogea hapo tupige kapusinyoh kadhaa. Habari njema hizoπ π Jana kijiwe kimeanza onesha njia.. leo narudi tena..
Uje na Lenie π πHahahah leo nikiwahi toka ntasogea hapo tupige kapusinyoh kadhaa. Habari njema hizo
anaogopa wahuni hawachelewi π πMtoto Lenie si anajificha fichaga ataki wahuni tumuone.
Mapenzi naturally yanaanza na urafiki, courtship, marriage, sex and family.nyie ndo mnafanya mapenzi yaonekane biashara πππ
Mtu gogo halafu anataka apewe hela kijinga tu π€£kabla hajakuja ulikuwa unajitunza vipi ? mpe kwanza mtu mfurahishe akielewa show atakupa tu hela