Mwanamke unaomba pesa after few date kosa kubwa

Mwanamke unaomba pesa after few date kosa kubwa

hapana,,, ntaliwaje na hela yako sijala
Si unaanza kupewa mkiwa room hela then unaliwa.

Hapo ndipo unaona ugumu kukutofautisha na wale wanao jipanga barabarani.

NB
Siku hizi kupata wife material kwa kizazi hiki inabidi usali na kufunga sana tena sana la sivyo utakutana na aneye jiuza indirect.
 
hapana,,, ukinigonga na kuniacha na hela yako sijala
Hahahah we kweli hujiamini. Hamna mwanamke mwenye uhalali wa kula hela bila kuliwa kwanza, hata malaya analiwa ndio analipwa. Mahusiano ya mapenzi ni imani jamani. Wote tunaamini yataishia kwenye ndoa japo sio yote hufika huko.
 
Anatakiwa aombe lini Sasa.... Ila aendelee kujikausha mpaka lini??
We liwa liwa kidogo hata mara 2/3 then unapenyeza kizinga maridadi kabisa. Usiombe vitu vya kijinga kama vocha au saluni. Omba mtaji kabisa ili ule kibunda kirefu ila zingatia na mtu mwenyewe uchumi wake sio umuombe boda boda mtaji utapotea
 
nyie ndo mnafanya hali iwe mbaya,,, mkiombwa hela mnahisi kutapeliwa wakati ndo mapenzi yenyewe sikuizi ๐Ÿ˜Š
Toa kitumbua kwanza, mizinga piga kwa steka sio unamuomba mchoma mahindi mtaji wa saluni.
 
Back
Top Bottom