Clepatina
JF-Expert Member
- Apr 8, 2023
- 1,266
- 2,577
I can't bff๐Utaweza tu๐๐๐ kwa hili ni guarantee 100% just have my heart please ๐ญ๐ญ๐ญ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I can't bff๐Utaweza tu๐๐๐ kwa hili ni guarantee 100% just have my heart please ๐ญ๐ญ๐ญ
Si unaanza kupewa mkiwa room hela then unaliwa.hapana,,, ntaliwaje na hela yako sijala
Nyie ndio maana mnaigiziwaga chaka ina maana kuomba hela siku ya kwanza na kupewa ndio mtu ana uwezo mkubwa, duuu aisee....huwezi kujua labda anakupima uwezo wako kiuchumi๐
Eeh tuanzie hapokwanzahivi mda sahihi wa kuombana hela ni adi miezi mingapi vile [emoji848]
[emoji28][emoji28][emoji28]Ukiingia kazini unaanza kazi kwanza au unaanza mshahara...?
[emoji28][emoji28][emoji28]Tafuta hela...masikini wewe
[emoji28][emoji28]Story ya kweli ndo uandike paragraph 2 kwelii
[emoji28][emoji28]ukishaliwa tu.
[emoji28][emoji28]ona sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], huko ni kutokuaminiana
Daah [emoji28]Baba angu mwenyewe simuamini asilimia zote sembuse Mwanamke. [emoji23][emoji23][emoji1787]
Hahahah kumbe unauza mbunye eehhapana,,, ntaliwaje na hela yako sijala
Hahahah we kweli hujiamini. Hamna mwanamke mwenye uhalali wa kula hela bila kuliwa kwanza, hata malaya analiwa ndio analipwa. Mahusiano ya mapenzi ni imani jamani. Wote tunaamini yataishia kwenye ndoa japo sio yote hufika huko.hapana,,, ukinigonga na kuniacha na hela yako sijala
Hahahahahah hio ilikuwa ridiculousmapenzi ya wiki niliambiwa nimjengee nyumba alafu nimpeleke home then anizalie ๐ ๐ ๐ kwani aliniona tenaaa
Mapenzi ya dhati yatategemea na wewe ukoje. Ukitanguliza njaa mbele tu jua unawekwa kwenye kundi la Recycle Bin ๐ฎnyie mbona mnatanguliza mzigo mbele na sio mapenzi ya dhati๐
We liwa liwa kidogo hata mara 2/3 then unapenyeza kizinga maridadi kabisa. Usiombe vitu vya kijinga kama vocha au saluni. Omba mtaji kabisa ili ule kibunda kirefu ila zingatia na mtu mwenyewe uchumi wake sio umuombe boda boda mtaji utapoteaAnatakiwa aombe lini Sasa.... Ila aendelee kujikausha mpaka lini??
Toa kitumbua kwanza, mizinga piga kwa steka sio unamuomba mchoma mahindi mtaji wa saluni.nyie ndo mnafanya hali iwe mbaya,,, mkiombwa hela mnahisi kutapeliwa wakati ndo mapenzi yenyewe sikuizi ๐
Hio biashara kabisa.kwaiyo ni biashara ( exchange ya pesa na utelezi )
๐ ๐ ๐ matapeli tu hawa, kama wa tuma kwenye namba ileHahahahahah hio ilikuwa ridiculous