Mwanamke unaomba pesa after few date kosa kubwa

Mwanamke unaomba pesa after few date kosa kubwa

Unaombwaa helaa mpakaa Unahisi kizunguzunguu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mwanamke unaweza pata msibaa mzito tu hata haujapoaaa hapo hajakupa hata sh 10 ya rambi rambi baada ya week anakuomba helaa aiseee[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
Hawnaa huruma hawa. Yaani very selfish, mbususu hawatoi, hela yao nayo tabu kuiona
 
Sasa apply hiyo akili ya discipline ya peza zako kwenye pesa za mwanaume yaani ukiona omwanaume wako ana laki usiitolee macho wala kuwa na tamaa nayo bali kuwa na subira. Uone kama hautaonekana mwanamke smart.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Sijawahi kuwa tamaa na kitu Cha mtu ninavyonvyngu hata km ni vidogo lakin ninajivunia bado natafuta sijapata Bado na huwa silazimishi mtu akisema Hana naelewa sababu na mm sikuwa nayo nikaomba sasa mwenzangu anatoawapi Hela muda wote tunachangamsha jukwaa tu usikasirike hivo
 
Sio wanafaidi tumechoka utumwa aisee mm binafsi siwez Tena mvumilia mtu kijinga Yani mwanaume anihudumie na Huwa nasema wazi atimize majukumu yake japo sio too much sabbu najitafutia pia na huwa anasolve mamboyangu ya maana sio wigs au kucha

Unamvumilia mtu weee mwisho wa siku ankuona mpumbavu anakuletea ujinga Kuna wanaume akili hawana aisee Hela Tunaomba na mtoe kiroho safi
Kwann useme unavumilia it means wewe huyo mtu unamtegemea kwa asilimia 95.99% sababu tafsiri ya kuvumilia maana yake unaumia.

Then unapoingia katika mahusiano make it your responsibility kujitafutia vyanzo vya mapato ili usije ukamchukia mtoto wa mwanamke mwenzio kwasababu ya umasikini uliotoka nao nyumbani kwenu.

Kama sivyo basi usiseme unavumilia sema unayakubali maisha kulingana na hatua uliyopo huku mkijitafuta kupandisha kipato chenu kiwe kizuri zaidi.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Kwann useme unavumilia it means wewe huyo mtu unamtegemea kwa asilimia 95.99% sababu tafsiri ya kuvumilia maana yake unaumia.

Then unapoingia katika mahusiano make it your responsibility kujitafutia vyanzo vya mapato ili usije ukamchukia mtoto wa mwanamke mwenzio kwasababu ya umasikini uliotoka nao nyumbani kwenu.

Kama sivyo basi usiseme unavumilia sema unayakubali maisha kulingana na hatua uliyopo huku mkijitafuta kupandisha kipato chenu kiwe kizuri zaidi.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Nimemaanisha km ulivoeleza lakin huenda nimekosa neno zuri la kutumia sijaeleweka
 
Kweli na ukute mwanaume hajawahi hata kukuuliza unaishu gani nae akushauri sms ya kwanza ya pili njoo ghetto lazima mtu aombe Hela [emoji23]
Sasa unataka akupe ushauri kwa njia ya simu? Nenda geto pika mle mtombane then mkiamka mnaanza kupeana ushauri then life goes on.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom