Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Wanaume tumepigwa na vitu vizito msitutoneshe jmnWanaume Wana hasira sana alafu wanawake inabid tuwe wapole somtym ngoja nimalize ligi kibingwa ashinde yeye 😀😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaume tumepigwa na vitu vizito msitutoneshe jmnWanaume Wana hasira sana alafu wanawake inabid tuwe wapole somtym ngoja nimalize ligi kibingwa ashinde yeye 😀😀😀
Usinimaind nimejisemea ru mkuuMbona mapema hivyo jamani maana siku hizi namba inatoka day one
Wewe mwenyewe umesisitiza hapo kwa lugha ya Malkia. Why is that so? [emoji23]Hivi kwa nini kuna tabia hapa jf watu kusisitiza jmbo wanatumia english?? Why is that? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hawnaa huruma hawa. Yaani very selfish, mbususu hawatoi, hela yao nayo tabu kuionaUnaombwaa helaa mpakaa Unahisi kizunguzunguu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mwanamke unaweza pata msibaa mzito tu hata haujapoaaa hapo hajakupa hata sh 10 ya rambi rambi baada ya week anakuomba helaa aiseee[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
Mtoe na mbususu first dayUsinimaind nimwjisemea ru mkuu
Sijawahi kuwa tamaa na kitu Cha mtu ninavyonvyngu hata km ni vidogo lakin ninajivunia bado natafuta sijapata Bado na huwa silazimishi mtu akisema Hana naelewa sababu na mm sikuwa nayo nikaomba sasa mwenzangu anatoawapi Hela muda wote tunachangamsha jukwaa tu usikasirike hivoSasa apply hiyo akili ya discipline ya peza zako kwenye pesa za mwanaume yaani ukiona omwanaume wako ana laki usiitolee macho wala kuwa na tamaa nayo bali kuwa na subira. Uone kama hautaonekana mwanamke smart.
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Selfish sanaa..Hawnaa huruma hawa. Yaani very selfish, mbususu hawatoi, hela yao nayo tabu kuiona
😀😀Kiukweli tuwaonea huruma sana sema mnatupiga vichwa somtym lazima tuwachallenge 😂😂🙌Wanaume tumepigwa na vitu vizito msitutoneshe jmn
Hayo nayo yapo, wapo wanaupe pia wapenda kuwapiga😀😀Kiukweli tuwaonea huruma sana sema mnatupiga vichwa somtym lazima tuwachallenge 😂😂🙌
situmiagi 😎Karibu Fenesi na sharubati ya tende halafu tuendelee kugombana. [emoji39]
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Kwann useme unavumilia it means wewe huyo mtu unamtegemea kwa asilimia 95.99% sababu tafsiri ya kuvumilia maana yake unaumia.Sio wanafaidi tumechoka utumwa aisee mm binafsi siwez Tena mvumilia mtu kijinga Yani mwanaume anihudumie na Huwa nasema wazi atimize majukumu yake japo sio too much sabbu najitafutia pia na huwa anasolve mamboyangu ya maana sio wigs au kucha
Unamvumilia mtu weee mwisho wa siku ankuona mpumbavu anakuletea ujinga Kuna wanaume akili hawana aisee Hela Tunaomba na mtoe kiroho safi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hakuna mkulima hapa kabisa.Mimi nalima.mbona [emoji23]
Lazima tuwape makavu ili muelewe sisi hatuwachukii bali tunawajenga enyi kizazi cha mademu wapenda ganda la ndizi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimemaanisha km ulivoeleza lakin huenda nimekosa neno zuri la kutumia sijaelewekaKwann useme unavumilia it means wewe huyo mtu unamtegemea kwa asilimia 95.99% sababu tafsiri ya kuvumilia maana yake unaumia.
Then unapoingia katika mahusiano make it your responsibility kujitafutia vyanzo vya mapato ili usije ukamchukia mtoto wa mwanamke mwenzio kwasababu ya umasikini uliotoka nao nyumbani kwenu.
Kama sivyo basi usiseme unavumilia sema unayakubali maisha kulingana na hatua uliyopo huku mkijitafuta kupandisha kipato chenu kiwe kizuri zaidi.
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Sawa tumewaelewa 😂😂enyi malalamiko fcLazima tuwape makavu ili muelewe sisi hatuwachukii bali tunawajenga enyi kizazi cha mademu wapenda ganda la ndizi.
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Sasa mbona unakasirika tena? [emoji23][emoji23][emoji23]kuna watu mna makasiriko sio siri,,, it was just kidding aaagh[emoji2961][emoji2961][emoji1784], leave me and mind your own businesses [emoji41]
amekusikia atakuja mwenyewe 😂😂
Umeanza kuwa mswahili sasa😁Sawa tumewaelewa 😂😂enyi malalamiko fc
Sasa unataka akupe ushauri kwa njia ya simu? Nenda geto pika mle mtombane then mkiamka mnaanza kupeana ushauri then life goes on.Kweli na ukute mwanaume hajawahi hata kukuuliza unaishu gani nae akushauri sms ya kwanza ya pili njoo ghetto lazima mtu aombe Hela [emoji23]