Mgosi Mbena
JF-Expert Member
- Nov 28, 2023
- 499
- 604
- Thread starter
-
- #41
sasa mamaa huu umekaa kiuwazi zaidiSio rahisi kuishi kwenye Ndoa na Mwanaume ambaye hakupi haki ya Ndoa unless una Kidumu Chako pembeni kinachokitimizia hilo hitaji.
Ama vinginevyo umri wako uwe umesogea.
Ukiwa bado una nguvu, na unalishwa na kutunzwa vizuri na Mumeo, huwezi ukavumilia kukosa tendo unless uwe na alternative
🤣🤣🤣itakuwa ivo mkuuAu ndo ww
Sababu hasa ni nini?Mimi mwaka wa pili hatuja duu 😟na sijaondoka
we utavumilia siku ngap🤣🤣🤣itakuwa ivo mkuu
kwan naumwa au kuna hospitali ya mambo ya psychologiaNenda hospitali madaktari wapo kwa ajili ya nini sasa?
Hali ikizidi nenda hospitali
Siku nikiwa periodwe utavumilia siku ngap
Hudindishi na unajiona upo sawa?kwan naumwa au kuna hospitali ya mambo ya psychologia
Vizuri kama umeelewasawa
Anakudanganya. Kwa akili zako ulitaka akwambie huwa kuna njemba inaenda kumkaza? Ishini nao kwa akiliKuna mmoja hapa nilimuuliza unawezaje kukaa muda mrefu bila kupewa tendo la ndoa na mume wako na we bado unachemka? Akanijibu ameacha kufikiria habari za kufanya tendo la ndoa na mwili wake umezoea hali hiyo ya ukame wa kukosa tendo la ndoa. Nusura nimuombe nikamzimue ila namheshimu ni mke wa rafiki yangu, wametengana na hana wa kumzimua mwili wake uchangamke ung'are
utakaa kufanya nini na dudu hupati?Kwa upande wangu siwezi kuondoka kisa kukosa dudu
Ulitaka kumaanisha nini hapo Mkuu?sasa mamaa huu umekaa kiuwazi zaidi
Nakuogopa mkuuSiku nikiwa period
Anayenitumia kazoea mkuuNakuogopa mkuu
Ndoa ndoano .....😔Sababu hasa ni nini?
Huyo inaonekana ukiwa na Afya Mgogoro anaweza kufanya Ukufe kifuani kwake 😜Nakuogopa mkuu