Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni hivyo kwanini umuoe akiwa hana bikra?Hakuna mwanaume mwenye kiburi mbele ya mwanamke Bikira, ukiona hvy ujue huna jipya
Pole sanaSo tukusubiri uje ubadilike eti ee??
Mwisho ulete magonjwa ndani ya familia kwa starehe zako, I can't accept it, bt ni mawazo yangu sorry
Ndo maana ya neno kusitiriwa linapokuja.Kama ni hivyo kwanini umuoe akiwa hana bikra?
Kha! So wewe unaoa kwasababu unataka kumsitiri huyo mwanamke? Wewe baba huruma?Ndo maana ya neno kusitiriwa linapokuja.
Pia n kwa sababu bikra zimekuwa adimu, msichana ht bado hajavunja ungo unakuta tayari ameshapasuliwaKha! So wewe unaoa kwasababu unataka kumsitiri huyo mwanamke? Wewe baba huruma?
Kwahiyo kujibebesha majukumu ya kulea mke kwasababu unamuonea huruma?Pia n kwa sababu bikra zimekuwa adimu, msichana ht bado hajavunja ungo unakuta tayari ameshapasuliwa
Sio wote ambao hawana bikra n wabayaKwahiyo kujibebesha majukumu ya kulea mke kwasababu unamuonea huruma?
Kisa we single mother unataka na wenzako wawe hivyo. Acha wenzako wawabadilishe wapendwa wao, ndiyo maana walikubaliana kwenye shida na raha.Itakuwa ni ajabu sana mwanamke kushinda tukilia na kufanya maombi kwakusubiri eti mwanaume muovu aje abadilike😂😂, NEVER
Hawa watu wakiamua kufanya vituko ndio wanazamia hukohuko itakauka koo kutwa kulia, me najionea hapa kwa watu wanaonizunguka ni kasheshe, jamani huu ni ujinga wa kukandamiza maendeleo yetu tuamke ama sivyo tutaendelea kuwa Down.
We love you Guys ila mkiota mikia tunaikata😂 Shwaa.
Japo umeweka emoj za kucheka, maumivu unayopitia yanaonekana wazi,Itakuwa ni ajabu sana mwanamke kushinda tukilia na kufanya maombi kwakusubiri eti mwanaume muovu aje abadilike😂😂, NEVER
Hawa watu wakiamua kufanya vituko ndio wanazamia hukohuko itakauka koo kutwa kulia, me najionea hapa kwa watu wanaonizunguka ni kasheshe, jamani huu ni ujinga wa kukandamiza maendeleo yetu tuamke ama sivyo tutaendelea kuwa Down.
We love you Guys ila mkiota mikia tunaikata😂 Shwaa.
Wansaikolojia wameshaprove wanawake wengi wao wanawapenda bad boys/playboys.So tatizo mara nyingi linaanzia kwenye machaguo yenu maana wengi wenu hamuwapendi nice/good guy, huku mkijipa moyo mtambadilisha bad boys.Itakuwa ni ajabu sana mwanamke kushinda tukilia na kufanya maombi kwakusubiri eti mwanaume muovu aje abadilike😂😂, NEVER
Hawa watu wakiamua kufanya vituko ndio wanazamia hukohuko itakauka koo kutwa kulia, me najionea hapa kwa watu wanaonizunguka ni kasheshe, jamani huu ni ujinga wa kukandamiza maendeleo yetu tuamke ama sivyo tutaendelea kuwa Down.
We love you Guys ila mkiota mikia tunaikata😂 Shwaa.
WadanganyeLadies, Uchumba mwisho miaka 2
Ukitaka uwe mtumwa zaidi olewa na maskini...Mnakimbilia waliozipata kinachowakuta ni kuwa mtumwa
Mwaka jana nilifanya maamuzi magumu ya kuachana na demu mmoja alikua ana tamaa sana, afu ni mchungu wa kutumia hela yake hata kwa vitu vyake binafsi Afu ana asili uchoyoUkitaka uwe mtumwa zaidi olewa na maskini...
Wanaotukimbia tusionazo wako fair sana...yaan sana.
Usimlaumu mtu kwa maamuzi yoyote anayoyafanya anajua nini anafanya
Yeah,ukishaona haiwezekaniki ujue haiwezekaniki...fanya maamuziMwaka jana nilifanya maamuzi magumu ya kuachana na demu mmoja alikua ana tamaa sana, afu ni mchungu wa kutumia hela yake hata kwa vitu vyake binafsi Afu ana asili uchoyo
Nkapiga hesabu huyu mtu nkiendelea naye ntakuja kuwa na familia ya hovyo sana,
Nkapiga chini