Mwanamke, utakubali tubadilishane unipe MUMEO nani nikupe UTAJIRI WANGU?

Ameshachoka kufua majinzi tayari 🤣 anaona walio single wanafaidi sana
 
You were ready. You..not God. Huwa Kuna wakati tunasahau sisi tumekuja kufungua kitabu kilichokwisha andikwa. Turudi kwa mwandishi tumuulize njia ni ipi? Tumwambie tumepotea njia mbele ni Giza. Tunahitaji mwanga.
Hakika mkuu
 
Hata juhudi za kufanya reconciliation hakuna yet unasema ulimpenda sana? Ukimpenda mtu humuachii kirahisi namna hio unless njia zote za kutaka kuwekana sawa ziwe zimegonga mwamba.

Unaonesha dhahiri ulikuwa mpenzi kiburi ambaye hubabaishwi na mwanaume na kauli za aina hio.

You cant be cold hearted kiasi hicho halafu useme eti ulimpenda sana.
 
Pole sana i feel what you went through .
Relax good time is there
Usiforce mapenzi tulia muda ni mwalimu mzuri.
 
Eti ili wapate za kujitoa kwenye ndoano...oops my bad..Ndoa
😀😀😀
Imagine niko zangu hapa najiuguza kidonda anakurupuka mtu eti nina dharau,wewe feminist😀

Hakuna mwanamke mwenye adabu mbele ya suruali kama mim hiyo bas tu mwanaume hata uwe vp kama hakupend haisaidii
 
Imagine niko zangu hapa najiuguza kidonda anakurupuka mtu eti nina dharau,wewe feminist😀

Hakuna mwanamke mwenye adabu mbele ya suruali kama mim hiyo bas tu mwanaume hata uwe vp kama hakupend haisaidii
Simamia hapohapo
 
Wewe unaonekana una hela za ku backup jeuri yako hio. Ungekuwa huns hela ungekuwa una adabu kwa wanaume.
Uzur Tolu anajua nilikua namuheshimu.

Kwa hiyo kinyume cha Jeuri ni kulazimisha mahusiano na mtu ambae ameomba tuachane?
 


Wanawake wengi wameingia kwenye ndoa kwa sababu ambazo sio sababu

Jamani ndoa ni taasisi na ndoa ni jukumu tena jukumu linalobeba heshma na utu wa mtu.
Lakini hapohapo ndoa sio shurti useme ati kila mtu lazima aoe a kuolewa.

Kumiliki ndoa ni kama kumiliki shamba au nyumba au mifugo au biashra au gari.... sio kila mtu anaweza kumiliki nyumba au gari na kukosa kumiliki hivyo sio dhambi wala sio ujinga au ujanja ila ni uwezo

Ukisema ati ndoa ni heshma au bila ndoa hujakamilika huku unachepuka daily kwa kukosa upendo wa ndoa wewe mpuuzi na mpumbavu wa mwisho ambaye hufundishiki, hujielewi wala hueleweki

Team kataa ndoa ni wanaume ambao bado wanakua na wakiwa wakubwa watabadili mawazo

Ndoa iheshimiwe na watu wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…