Mwanamke, utakubali tubadilishane unipe MUMEO nani nikupe UTAJIRI WANGU?

Mwanamke, utakubali tubadilishane unipe MUMEO nani nikupe UTAJIRI WANGU?

Sbb ya kuniacha kanipa mkuu ila ni sawa kweli hata kama.nimeachwa kwa kunuka K kila mtu ajue ili msiniite Feminist?
Basi osha huo uchi.

Kutumia muda mwingi kutafuta pesa huku unakosa kujiswafi nao ni ujuha na utumwa kupitiliza.

Osha hilo papa. Sugua makwapa na jipulizie marashi yenye kunukia.

Enda saloon, ng'arisha ngozi na safisha huo mdomo.

Vijana watakufata wakukule wewe na hizo hela zako. Atatokea atakayekuoa.
 
Kuna dada angu alishawah kutaman ndoa mpaka akawa anawapatia hela wanaume,mara anahangaika na wazeee,mara matapeli anayaleta mpaka nyumban kuyatambulisha

bAadae ilibid nimshauri aachane na hayo mambo atafute hela tu,pesa ndo kila kitu,mungu saidia baadae alifanikiwa ila sahv tena anataman kutoka kwenye ndoa
🤣🤣🤣
 
Basi osha huo uchi.

Kutumia muda mwingi kutafuta pesa huku unakosa kujiswafi nao ni ujuha na utumwa kupitiliza.

Osha hilo papa. Sugua makwapa na jipulizie marashi yenye kunukia.

Enda saloon, ng'arisha ngozi na safisha huo mdomo.

Vijana watakufata wakukule wewe na hizo hela zako. Atatokea atakayekuoa.
Sa itakuaje mkuu ni masharti ya mganga kuwa lazima ninuke K kama mzoga wa Fisi ulooza😊
 
Huenda nae kachelewa sana,na anaumia mno ila kujikaza....shosti mwanaume asipokupenda ukilazimisha umeisha
Amesema alipoambiwa tuachane akaunga mkono hoja...maana yake hakuchukua hatua yoyote kunusuru penzi lake ...japo hata Mimi nafikiri mpk mtu anakuambia muachane Ina maana kaamua hata ukitaka maridhiano inaweza kuwa bure tu
 
Muda mwingine mwanamme huwa tunamkataa mwanamke kumpima kama ataondoka ama atabaki.

Kuondoka kwako kunaonesha wewe ni mjeuri na una backup. Angekuoa ungemtesa na ungemkimbia tuu. Hufai kuwa mke.
Jeep rubicon
Chukua hii and fanyia evaluation coz most men ndivo tulivyo hopefully my Swahili is ok

Thanks me later.
 
Back
Top Bottom