Mwanamke wa ajabu ameniijia maishani mwangu!


Mtu wa design hii bilashaka hajui anachokifanya.

Atakuja kujuta maana anamkabidhi mwanaume silaha kali sana dhidi yake.
 
Hakuna mwanamke anaweza vumilia njaa au shida karne hii, hapo nyege ndio zinamsukuma pindi nyege zikiisha ndio utajua maamuzi yake original ni yapi
[emoji15][emoji15][emoji15]
Kumbe na wanawake huwa wanashikwa na nyege kama hizi kiasi cha kujitumisha sms mfuatano pasipo kujibiwa? Sasa mbona tukiwaomba waje gheto wanatulia 67k zetu ndani ya siku mbili tokea kuanza mahusiano! [emoji24][emoji24]
 
Nakubaliana na wewe, lakini hii ID ya @Ghet Rich ina kauzito kake humu JF, kwa hiyo tuishushe vyeo!!
[emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…