Mwanamke wa ajabu ameniijia maishani mwangu!

Mwanamke wa ajabu ameniijia maishani mwangu!

Get Rich Ushauri wangu kwako ni kwamba usisikilize maneno ya humu Sana yanaweza kukupoteza wabongo ni mabingwa wakukatishana tamaa na majungu huyo manzi inaonesha anakupenda haswa sio kwamba anafanya maigizo usimjaji kwa muandiko kabisa hayo mengine ni kwasababu tu umri wake kwahiyo anavyozidi kukuwa hata akili itakuwa Cha msingi na muhimu muoe, hakuna jambo zuri kama ukiingia kwenye ndoa na mwanamke anayekupenda vitu vingine huyo dada atajifunza taratibu taratibu na uwe Mwalimu mzuri kwake mpende na muelimishe baadhi ya mambo muepushe na marafiki ambao sio wazuri wanawake wa aina hii ni rahisi kubadilishwa tabia so kuwa Makini kwenye Hili.Mwanamke kama huyu Unaweza kummudu tofauti na ukutane na wanawake walioshindikana
Mkuu nashukuru sana kwa ushauri. Ninaufanyia kazi nina imani nitamuoa tu huyu huyu
Screenshot_20220626-082624.png
 
Get Rich Ushauri wangu kwako ni kwamba usisikilize maneno ya humu Sana yanaweza kukupoteza wabongo ni mabingwa wakukatishana tamaa na majungu huyo manzi inaonesha anakupenda haswa sio kwamba anafanya maigizo usimjaji kwa muandiko kabisa hayo mengine ni kwasababu tu umri wake kwahiyo anavyozidi kukuwa hata akili itakuwa Cha msingi na muhimu muoe, hakuna jambo zuri kama ukiingia kwenye ndoa na mwanamke anayekupenda vitu vingine huyo dada atajifunza taratibu taratibu na uwe Mwalimu mzuri kwake mpende na muelimishe baadhi ya mambo muepushe na marafiki ambao sio wazuri wanawake wa aina hii ni rahisi kubadilishwa tabia so kuwa Makini kwenye Hili.Mwanamke kama huyu Unaweza kummudu tofauti na ukutane na wanawake walioshindikana
Mwambie pia gharama ya kulea ujauzito mpaka kujifungua siyo chini ya laki 5,kama hana uhakika wa kuikusanya asioe
 
Huyo anahitaji hifadhi amna ndoa apo shtuka nawew jaribu kuwa Kama mwanaume achana na uvulana
 
Wewe mbona wakati unasoma hukuingiliwa kwenye mapenzi yako na ulimpenda jamaa sio poa
Hahaa ningekuambia mahusiano nilianza lini ila fresh tuishie hapo, angekua ndugu yako au mtoto wako ndiyo ungeelewa maana ya kumwacha asome. Tena hako katoto inaonesha ndiyo kanamforce jamaa akaoe, akili za kitoto hizo.
 
na usikute hata ana mimba anataka awahi geto amkabidhi jamaa mimba [emoji16][emoji16]

kweli muishi nao kwa akili.....kwa maana akili zao zipo less [emoji23][emoji23]( hiki kipande kilisahaulika kuandikwa nimekimalizia)
Una vituko wewe xaxa tufanyaje
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu nashukuru sana kwa ushauri. Ninaufanyia kazi nina imani nitamuoa tu huyu huyu
View attachment 2272407

Hahaa ningekuambia mahusiano nilianza lini ila fresh tuishie hapo, angekua ndugu yako au mtoto wako ndiyo ungeelewa maana ya kumwacha asome. Tena hako katoto inaonesha ndiyo kanamforce jamaa akaoe, akili za kitoto hizo.
Watu wengi wanafikiri wote tumeanzia mapenzi tukiwa O'level wanakosea Sana binafsi nilivyokuwa O'level niliokuwa sina time na mademu na pia niliokuwa ni muoga wa wadada ile mbaya kiasi ambacho siwezi kukaa karibu na siti na demu yoyote watu wengi walikuwa wanajua hii Tabia yangu so ataikitokea nimemuomba classmate wangu labda kitabu na ataki kunipa ana niambie niende kuchukua kwa mdada fulani nimempa anafanya makusudi kwa kujua sitaenda kwasababu naogopa wadada na ni kweli ninakuwa siendi na niliokuwa mpole Sana ila angalau sasa hiv kidogo nina uhafadhari na mademu siwaogopi Tena.Mimi nimeanza kudate rasmi 2019
 
Hili penzi bado jipya sana yani

Hapa linaenda kufa jitu[emoji38][emoji38]

Alafu jamaa anaandika dizaini ya kinyonge sana
[emoji23][emoji23][emoji23]jamaa hayupo tayari sema tu kanajitutumua[emoji23]
 
This are fake idiots

Mapenzi mapy ndo yalivyo na wewe upuuzi huo ndo umekuchanganya

[emoji23]

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Mkuu jitahidi kuongea lugha za watu kwa ufasaha.

This are..❓❓❓

by the way, hongera kwako wewe unayeanza na mapenzi ya zamani🙏🙏
 
Hakuna mapenzi ya kweli hapo kaka huyo kutakuwa na sababu tofauti na mapenzi... Inawezekana amechoka kukaa kwao na anataka awe free. So kuwa makini huyo anachotaka ni kutoka tu kwao na sio kuolewa
 
SIKUJIPANGA KUOA ILA ITANIBIDI..
... This is ONE VERY BIG MISTAKE....

Umedanganywa na maneno ya tamthilia basi unajiona unapendwaaaaaaaa..... Kumbe unajazwa kwenye 18 za Bidada...

Relax,,, acha kuwaza KUOA,,, hakuna faida yoyote utapata huko zaidi ya stress tu..

Sikulazimishi,,, Ila Jipe Muda Mazingira yatakuelewesha..
 
Back
Top Bottom