Mwanamke wa Miaka ile sio Mwanamke wa leo

Kamwe mabadiliko ya sayansi na utandawazi hayawezi kubadili nafasi na majukumu ya wanaume na wanawake.

Habari mbaya ni kua wanaume wa kileo wanataka kua kama wanawake (wasaidiwe) na wanawake wanataka kua kama wanaume (watafute kwa jasho na wawe na mamlaka)
 
Sema huo ni msimamo wako.

Kwani hao watoto wanaozaliwa na Mungu anawachukua mama zao hawakui ?

Iweje you're wife material kushinda even bila kuzalisha mia akungoje mpaka kununua chumvi.

La kuangalia ni maelewano kwenye familia, baba apewe heshima yake no matter what.
 
Waambie hao eti mwanaume anataka apelekewe maji bafuni ya kuoga yeye kujiepelekea hawezi 😂😂

Kwanini upelekewe maji bafuni? Siuweke maji bafuni..hata sio milioni 1.

Wanaume wengi wakioa wanakua walemavu ghafla. Mtu hawezi hata kujisogezea glass anataka afanyiwe kila kitu wanadhani wake zao ni maroboti hawachoki.

Kuna familia moja naiona yani ety mkewe akiondoka atakusanya nguoo chafu mpka mkewe arud......akitoka kazni kila kitu anfnyiwa na mkewe had maji ya kunywa anatengewaa...mpaka nahis kuolewa utumwa
Kuna wanawake wanapenda kumhudumia mume.

Kama ilivyo kwa baadhi ya wanaume kujihisi fahari na raha kuhonga.

Tusiwashangae wala kuwaona watumwa au watu wa ajabu baadhi yao ndivyo walivyofunzwa na wanapenda kufanya hivyo na sio utumwa ni upendo.
 
Habari mbaya ni kua wanaume wa kileo wanataka kua kama wanawake (wasaidiwe) na wanawake wanataka kua kama wanaume (watafute kwa jasho na wawe na mamlaka)
Hapa huwa nawashangaa sana, yaani Mwanaume unaanzaje kuwaza kusaidiwa na Mwanamke yaani msaidiane kuendesha familia, hilo ni jukumu letu sisi Wanaume peke yetu.
 
Hapa huwa nawashangaa sana, yaani Mwanaume unaanzaje kuwaza kusaidiwa na Mwanamke yaani msaidiane kuendesha familia, hilo ni jukumu letu sisi Wanaume peke yetu.
Mkuu ukistaajabu ya Kitonga utayaona ya Uchebe. Mwanaume kamili wazo la kusaidiwa tu linamkera, tena mbaya zaidi kusaidiwa na mwanamke.
 
Ubaya wa mwanamke msomi hata uishi nae vizuri kwa muda gani atakuja kubadilika tu akikutana na wanaharakati wenzake wakianza kumjaza ujinga hapo ndo utakuwa mwisho wako wakati huo mna watoto na mmeshajenga hapo ndo ujiandae kuhudhuria mahakamani.
 
Umenena vyema...

Nasisi tunachoka...maana tunafanya kazi kama wanaume...

Pia kusaidiana majukumu ni muhimu, hivyo ndio maana tunafanya kazi...

Kuna kufa, ajali...

Hapa mwanamke anaendeleza familia..bila kuwa na woga...

Uje PM upate zawadi Daby
 
Tangu nilovyo owa make wa kwanza Hadi uyu wanne nimekuwa kiwete ghafla
 
Sio rahisi kihivyo na ukimpa uhuru wa hvyo atakuja tu kukudharau. Mwanaume lazma awe juu tu ndo tumeumbwa hvo japo tuishi nao kidemokrasia zaid ila kwa akili pia wanawake hawaeleweki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…