Dadakidoti
JF-Expert Member
- Jul 26, 2024
- 399
- 1,409
haha basi jambazi jitu unalipenda ambiliki lkn mwisho anauacha solemba yakiwashinda ndo mnakumbuka vipolo sio kweliUsimuite tapeli boyfriend wako wa kwanza kwa sababu tu hakukuuoa.
Mapenzi ya karne hii yamebadilika sana, kuwa na ma Ex ni kitu cha kawaida.
mwanaume kama weweUnamtunuku nani sasaivi
kamwe.Usijal cha kwanza ujue hakuna mtu anaeweza kukupotezea mda kama ni utamu mliupata wote, kama bado unayafurahia mateso yake ujue bado unampenda ,hata mwingine akikuchukua jua tu ipo siku mwamba atachapiwa for sure 🤣🤣
Ndo maana tunashauriwa kuoa bikra, nyinyi wake za watu wenyewe watawatafuta tuu na hamna nàmna ya kukataa. Ulimpa bikra sasa shimo unamnyimaje?kwenye mataa ndugu yangu. alafu baadae ndoa yake ilivyovunjika linanitafuta tena paka lile
Achana nae fanya maisha yako hata mimi kuna wadada wananichezea halafu wananiacha tu hayo ndio maisha na huna budi kusonga mbele.kamwe.
ni kweli. sasa hivi niko bize na maisha. ndo maisha yalivyo mwanamke alotulia anakutana na wanaume vicheche na mwanaume alotulia anakutana na malaya hivo tu. full mvurugano.Achana nae fanya maisha yako hata mimi kuna wadada wananichezea halafu wananiacha tu hayo ndio maisha na huna budi kusonga mbele.
hapana simkumbuki hujaanzia mwanzo wa comment yangu ya kwanza si kwamba nambumkumbuka hapana.Km wa kumtunuku unae na unamkumbuka ex, kuna chembe chembe za kumpenda zipo
Haya mambo mnayakuza tu, wewe umepasha viporo na ex wako wangapi ambao ni girlfriends au wake za wanaume wengine??Ndo maana tunashauriwa kuoa bikra, nyinyi wake za watu wenyewe watawatafuta tuu na hamna nàmna ya kukataa. Ulimpa bikra sasa shimo unamnyimaje?
Sasa hivi umeshathibitisha mimi na wewe wote tumetulia 😉ni kweli. sasa hivi niko bize na maisha. ndo maisha yalivyo mwanamke alotulia anakutana na wanaume vicheche na mwanaume alotulia anakutana na malaya hivo tu. full mvurugano.
Ingekua wewe una25 na ukamwambia demu wako wewe hujawahi then akaja kujiuliza, hapo ningekubali.Ni mwanamke mkuu
Tulia mkuuWadada wakuchezee vp😀
Kwahiyo ukaachana nae? 👀👀Nilikutanaga na mdada wa miaka 20 nikawa najaribu kupitisha mnemba unagoma Yan analia akanidanganya yeye ni bikra kumbe mimi ndo nilikuwa mwanaume wake wa pili aliwah kusex mara moja tu akiwa 18 akakaa miaka miwili kwo ngoma sjui iljfumba??
Bikira ni myth na ideas za kisaikolojia tu za jamii za kale, kibaolojia hakuna kitu kama bikira.Nilikutanaga na mdada wa miaka 20 nikawa najaribu kupitisha mnemba unagoma Yan analia akanidanganya yeye ni bikra kumbe mimi ndo nilikuwa mwanaume wake wa pili aliwah kusex mara moja tu akiwa 18 akakaa miaka miwili kwo ngoma sjui iljfumba??
Hii inawezekana.Inawezekana kabisa. Mbona mie ni 42 na nina watoto wanne na bado ni bikira.