Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
Hapo alisema'Nkhosi Sikelela'Pumzika kwa amani
Kwa heshima yake wacha nichukue dakika chache kuweka na kutafsiri mashairi yake kwenye kazi waliyofanya na Joh Makini - Dont Bother
View attachment 2513197
Bosi si kelelem, Mungu nibariki, Siku hizi kusaka hela
Bosi si kelele Mungu nibariki, Siku hizi kusaka hela
Ni kizulu ikimaanisha 'Mungu nibariki au Mungu Ibariki' ni reference kwa wimbo wao wa Taifa na wetu