permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Hiki Kiingereza kama kile cha Ndalichako.Yeap !! Life is uncertain coz we don't know what tomorrow will brings while still alive
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiki Kiingereza kama kile cha Ndalichako.Yeap !! Life is uncertain coz we don't know what tomorrow will brings while still alive
Hii hapa ugomvu na yule manzi
Nimesoma st.kayumba
Nitamkumbuka sana na hiyo hit ya Run Jozi. DahO my G I can't believe Run Jozi is no more.
Naona Nnandi Mngoma, Khuli chana, K.O na rafiki yake wa damu DaLes wamepost😢😢😢
RIP Sir.
Wasalimu Magesh, Ricky Ricky na Bojo Mujo huko uendako.
View attachment 2513188
Huwezi kuepuka kutofanyiwa ubaya ni part and parcel ya maisha duniani. Watu wanafanyiwa ubaya bila wao kufanya BUT ukifanya ubaya utakurudia tuu in one way or another. Hata kama sio leo sio wewe but the cycle will turn back to its starting point one day.Ni myth tu.
Haimaanishi kwamba usipomfanyia mtu ubaya leo basi umejihakikisha kutofanyiwa ubaya na yoyote, maisha hayako hivyo.
Magumu na Raha ni sehemu ya maisha ya binadamu bila kujali historia yake.
Halafu kuna watu wanabisha humu acha akafie mbeleAlimuua naona
All eyes on meNoma Sana ntamkumbuka kwa banger yake moja na Burna boy
Wamempiga jamaa teke la p#@£b* dah
Kichwani mwako Ni empty usipende onesha ujinga wako mbele za watuNaomba nisijibu kitu
Uwe na siku njema
High risk high reward. Acha uoga wewe mwanaumeHaya mambo ndiyo yalifanyaga nikaahirisha kwenda Marekani, zero security, muda wowote unakula shaba...
Ni bora utulie bongo na ki take home chako cha 700k, kuliko kwenda kuishi kwa stress nchi za watu.
Mwamba anazingua watu tunataka kwenda kivu Congo kutafuta dhahabu, yeye anaogopa kwenda USMie hata Kiev kukionekana Kuna lupia natia mguu. Wana wapo Mogadishu wanapiga Hela halafu wewe upo Dar unaogopa
Sawa geniusKichwani mwako Ni empty usipende onesha ujinga wako mbele za watu
Mtoto mwenyewe wakishua na anatokea Durban ..Kiufupi AKA kaingiq kweny 18 za Wana .
Halafu kesi ilizimwa kirahisi sana
f
Pay back time, fiancee wako anakufa kwenye mazingira tatanishi, then within , 90days wewe unaanza maisha as if nothing kimekutokea,kwangu pia ningempiga risasi nyingi sana za hasira ,
Mtoto mwenyewe wakishua na anatokea Durban ..Kiufupi AKA kaingiq kweny 18 za Wana .
Halafu kesi ilizimwa kirahisi sana
Karma is real mkuu, believe it.
Fiancee wake 'eti anajirusha'na kufa gorofani tarehe 11 April na AKA anamiminiwa risasi usiku wa kuamkia 11Fep na pia Fiancee huyu anafia cape Town (home ground ya AKA),na mwili kurudishwa Kwa Zulu Natal, AKA anakufa Kwa Zulu na sasa familia yake itabidi waurudishe mwili wake cape Town, pay back time..karma
Why!?Ah mi naona sawa tu.