Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoto mwenyewe wakishua na anatokea Durban ..Kiufupi AKA kaingiq kweny 18 za Wana .Pay back time, AKA alikua ni main suspect kuhusu kufa kwa ex girlfriend wake kwa 'kujirusha'gorofani pale mother city, ni revenge ambayo binafsi its ok,hii ni push back kutoka kwenye familia ya ex wake, Nami ningefanya hivi hivi, huwezi akanipotezea mtoto wangu then kwako life akawa normal, it's a NO
Classmate tena🤣🤣🤣🤣 hii Cuba itakuwaR.I.P classmate
Kivip mkuu ?South Africa kama USA
Uoga wako utakugharimuHaya mambo ndiyo yalifanyaga nikaahirisha kwenda Marekani, zero security, muda wowote unakula shaba...
Ni bora utulie bongo na ki take home chako cha 700k, kuliko kwenda kuishi kwa stress nchi za watu.
All eyes on me bonge la ngomaNoma Sana ntamkumbuka kwa banger yake moja na Burna boy
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] iingozi, DANGER, hatari hiyoooSauzi kitu kidogo sana unakula shaba.. Mzulu akishakwambia Ingooozi kimbia
Kuna watu walikuwa wanafurahia mateso aliyokuwa Jiwe anawapa wapinzani wake wa kisiasa. Huu ubaguzi upo kila sehemu. Inawezekana hata wewe huupendi kama inavyowezekana hata yeye AKA hakuupenda, ila ndio hivyo huwezi kujua.
Mie hata Kiev kukionekana Kuna lupia natia mguu. Wana wapo Mogadishu wanapiga Hela halafu wewe upo Dar unaogopaUoga wako utakugharimu
Na huku ajali zinakusubiri barabarani zikule kichwa.Haya mambo ndiyo yalifanyaga nikaahirisha kwenda Marekani, zero security, muda wowote unakula shaba...
Ni bora utulie bongo na ki take home chako cha 700k, kuliko kwenda kuishi kwa stress nchi za watu.
Karma ni kitu cha kufikirika tu.KARMA HAS NO MENU
Una ushahidi akiwa anamuua demu wake au baada ya kusoma comments za wadwanzi ushahitimisha kwamba kaua ?Kadandia mtumbwi wa vibwengo…kaua demu wake wazee wa kazi wakasema ipo siku…what goes around……..
Kwani alikua anadili na issue zetu zile kwenye black market?????Afu vipi kuhusu Ricky ricku ni kweli alijinyonga au walimuua???Mtoto mwenyewe wakishua na anatokea Durban ..Kiufupi AKA kaingiq kweny 18 za Wana .
Halafu kesi ilizimwa kirahisi sana
Hakuna kitu kama hiki, KARMA ni habari za kufikirika tu.KARMA HAS NO MENU
Ricky ni stress naona za mapenzi alijiua na nalisikia kabla ya hapo alishatoa kama ujumbe Kuna ishu na mpenzi wako hazikuwa sawa.Kwani alikua anadili na issue zetu zile kwenye black market?????Afu vipi kuhusu Ricky ricku ni kweli alijinyonga au walimuua???
Karma is real mkuu, believe it.Hakuna kitu kama hiki, KARMA ni habari za kufikirika tu.
Hii hapa ugomvu na yule manziRicky ni stress naona za mapenzi alijiua na nalisikia kabla ya hapo alishatoa kama ujumbe Kuna ishu na mpenzi wako hazikuwa sawa.
Coverage ya assault ya AkA inasemekana jamaa ile ishu ya demu wake kujirusha kwamba Kuna kitu kilisababishwa..Sasa baadhi ya wahudumu wa ile hotel wanadai kabla ya tukio walikuwa wanasikia wakigombana chumbani then ndo demu akasemekan kajirusha .
Baada ya hapo coverage ya kesi imepotea bila kueleweka yaani kirahisi ,ukizingatia yule mtoto father wake ni don hapo hapo south na biashara chafu kibao anafanya yaani ni mafia na Tangu kifo ya yule demu waliingia kweny hali ya kutoelewana kati ya mkwe na AkA.
Watu wa south wanajua ilikuwa ni swala la mda na alikuwa watu wanamlia timing tu
Ni myth tu.Karma is real mkuu, believe it.