TANZIA Mwanamuziki AKA wa Afrika Kusini auawa kwa kupigwa risasi jijini Durban

TANZIA Mwanamuziki AKA wa Afrika Kusini auawa kwa kupigwa risasi jijini Durban

Pay back time, AKA alikua ni main suspect kuhusu kufa kwa ex girlfriend wake kwa 'kujirusha'gorofani pale mother city, ni revenge ambayo binafsi its ok,hii ni push back kutoka kwenye familia ya ex wake, Nami ningefanya hivi hivi, huwezi akanipotezea mtoto wangu then kwako life akawa normal, it's a NO

Tena ilivunja video anamuabuse binti akvunja hadi mlango binti alikuwa anaogopa mnoo
 
Alivyo fala, ameenda kufanyia birthday mji ambao ana maadui lukuki... Tena akawa anayoa live location kabisa..

Screenshot_2023-02-11-08-31-53-315-edit_com.instagram.android.jpg


 
Rapa AKA wa Afrika Kusini amefariki dunia kwa kupigwa risasi muda mfupi kabla ya kutumbuiza jijini Durban.

AKA ambaye jina lake halisi ni Kiernan Forbes ameuawa kwa kufyatuliwa risasi kutoka kwenye gari akiwa amesimama nje ya mgahawa.

Polisi nchini humo wamethibitisha kuwa nyota huyo mwenye miaka 35 pamoja na mlinzi wake wameuawa.

Hajafahamika sababu ya mauaji hayo, na sasa jeshi la polisi linaendelea na uchunguzi.



Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Haya mambo ndiyo yalifanyaga nikaahirisha kwenda Marekani, zero security, muda wowote unakula shaba...

Ni bora utulie bongo na ki take home chako cha 700k, kuliko kwenda kuishi kwa stress nchi za watu.
Marekani salama sana inategemea unajihusisha na watu gani, Kama weee ni mzee wa GANG, OG, NIGGER, MA NIGGA MA NIGGA lazima urajutana na bullets iwe Marekani au SA
 
Kuna tetesi mwanamuziki A.K.A kutoka South Africa amepigwa risasi huko Durban, South Africa

A.K.A aliwahi kushirikiana na mwanamuziki Diamond miaka ya nyuma wakachia kibao kinaitwa 'Make Me Sing' na Don't Bother alioimba na Joh Makini

======

Polisi jijini Durban, Afrika Kusini, wamethibitisha kuwa mwanamuziki Kiernan Forbes maarufu kama AKA ameuawa kwa kupigwa risasi akiwa ndani ya gari kwenye barabara ya Florida usiku wa Ijumaa, Februari 10, 2023.

Mtu mwingine anayeaminika kuwa mlinzi wa AKA pia alijeruhiwa, huku mwingine ambaye inafahamika kuwa rafiki wa karibu wa AKA, naye ameuawa.

Bado haijafahamika nini chanzo cha mauaji hayo, ila Polisi walifika kwenye eneo la tukio ambapo walifunga barabara na kuanza shughuli za uchunguzi.

AKA ambaye alikuwa na umri wa miaka 35 ni miongoni mwa wanamuziki bora zaidi wa Afrika Kusini na ametayarisha na kuandika nyimbo nyingi zilizofanya vizuri zikiwemo Fela In Versace, Baddest na nyinginezo tangu aingie kwenye tasnia hiyo miaka kumi iliyopita.

AKA pia amewahi kushirikiana na msanii wa Tanzania Diamond Platnumz katika kibao kinachoitwa Make Me Sing, na pia ameshirikishwa kwenye wimbo wa Joh Makini uitwao Don’t Bother.

----------

RAPPER AKA SHOT DEAD IN DRIVE-BY SHOOTING ON DURBAN’S FLORIDA ROAD

View attachment 2513190
Kiernan ‘AKA’ Forbes

Durban - Police sources in Durban have confirmed rapper Kiernan ‘AKA’ Forbes was shot dead in a drive-by shooting on Florida Road on Friday night.

Another person believed to be AKA’s bodyguard, was also wounded, while another unidentified person, who is understood to be a close friend of AKA, has been shot dead.

Police in the province were yet to officially comment on the murders, but IOL has independently confirmed from well-placed police sources, who cannot be named as they are not permitted to speak to the media.

It is understood that AKA was standing outside the Wish Restaurant when he was gunned down in a drive-by shooting.

Two unknown cars are believed to have opened fire just before 10pm.

Police had cordoned off the area when an IOL team arrived at the scene on Friday night.

Speaking to IOL, stunned patrons at a nearby restaurant said AKA had been standing outside Wish when he was gunned down.

Garrith Jamieson, a spokesperson for ALS Paramedics said Florida Road has been closed off after the shooting incident Florida Road where two people have been confirmed deceased

Jamieson said amongst the deceased was a “famous rapper”.

The identity of the second person shot dead is unknown at this stage, but he is understood to be a close friend of AKA.

According to social media posts, AKA was due to perform at a Durban night club, YUGO, where he was expected to perform as part of his birthday celebrations.

His close friend Da Les, took to social media to express shock.

Source: IOL
Hivi huyu AKA dem wake na yeye si alifariki badae maneno yakawa mengi mengi.
 
Tena ilivunja video anamuabuse binti akvunja hadi mlango binti alikuwa anaogopa mnoo



Exactly halafu kwake maisha yakaendela as nothing happens, yes hata mimi ningemfanyia hivyo hivyo,ningemmimia risasi nyingi sana,he was a piece of shit
 
Kwani kuna cctv inayoonyesha AKA alihusika kumrusha ex girlfriend wake? Je kama hasira zake tu akaamua kujirusha who knows? CCTV footage ndiyo ingemaliza mchezo.

Uliona wapi kuna cctv ndani ya vyumba vya hotel?again wewe pia nakuona ni katili towards GBV, yaani unatamka hivyo kuwa alikua na hasira akajirusha, pumbavu mkubwa wewe, sasa family ya aka nayo ionje uchungu wa kufiwa kwenye mazingira tatanishi, welldone kwa hitmen
 
Back
Top Bottom