Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
South sio Africa. Huko kuchapana shaba ni kama upo States tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! Tulio na mabinti warembo tumekuelewa mzee kutoka kwa Fidel Castrol
Shukraani mkuu,date my daughter ila uki cross red line,will push back, AKA was arrogant, huwezi uka move on so quickly baada ya girlfrienwd
Duh! Tulio na mabinti warembo tumekuelewa mzee kutoka kwa Fidel Castrol
Yes mkuu ,Nami ningemmimia aka risasi nyingi sana
Kwa mchangiaji?Police waanzie uchunguzi wao hapo.
😁😁😁R.I.P classmate
Sauzi kitu kidogo sana unakula shaba.. Mzulu akishakwambia Ingooozi kimbiaShida Nini , madawa amezulumu au wameamua tu
Sauzi kitu kidogo sana unakula shaba.. Mzulu akishakwambia Ingooozi kimbia
Wadada huwa Hawa commit suicide au Ni dada ako yuleNami ndo nimeona wengi wanasema hivi
Mana kiukweli kifo cha yule dada hata uwe chizi huwezi amini eti alijirusha
Kwenye forums za wa South nimeona watu wanafurahia kifo chake kabisa,sikujua sababuPay back time, AKA alikua ni main suspect kuhusu kufa kwa ex girlfriend wake kwa 'kujirusha'gorofani pale mother city, ni revenge ambayo binafsi its ok,hii ni push back kutoka kwenye familia ya ex wake, Nami ningefanya hivi hivi, huwezi akanipotezea mtoto wangu then kwako life akawa normal, it's a NO
Nilikuwa natamani siku moja niende South Africa kutalii lakini kwa matukio ya uhalifu ninayojua kupitia social media na tvs, nimehairisha, Ile nchi imelaaniwaRapa kutoka nchini Afrika Kusini, Kiernan Forbes maarufu 'AKA' amefariki dunia baada ya kupigwa risasi katika barabara ya Florida jijini Durban nchini humo.
Rapa AKA alitimiza miaka 35 Januari 28 mwaka huu.View attachment 2513218
Pay back time, AKA alikua ni main suspect kuhusu kufa kwa ex girlfriend wake kwa 'kujirusha'gorofani pale mother city, ni revenge ambayo binafsi its ok,hii ni push back kutoka kwenye familia ya ex wake, Nami ningefanya hivi hivi, huwezi akanipotezea mtoto wangu then kwako life akawa normal, it's a NO
AKA amefariki, rafiki ndiye amekufa. Ndio maana taarifa kwa kiasi kikubwa zinamtaja AKA wengine hao ni vidampa hawana thamani.AKA,Rafiki yake wamekufa..baunsa wao ndo anatibiwa