TANZIA Mwanamuziki AKA wa Afrika Kusini auawa kwa kupigwa risasi jijini Durban

TANZIA Mwanamuziki AKA wa Afrika Kusini auawa kwa kupigwa risasi jijini Durban

Pay back time, AKA alikua ni main suspect kuhusu kufa kwa ex girlfriend wake kwa 'kujirusha'gorofani pale mother city, ni revenge ambayo binafsi its ok,hii ni push back kutoka kwenye familia ya ex wake, Nami ningefanya hivi hivi, huwezi akanipotezea mtoto wangu then kwako life akawa normal, it's a NO
Halafu akawa anawajibu mbofu mbofu hasa babaake nelli

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Nimeona watu wanasema ni kisasi kutoka kwa familia ya girlfriend wake yule aliekufa mwaka jana baada ya kujirusha gorofani,jamaa alidai yule dada alicommit suicide baada ya wao kuwa na ugomvi humo chumbani!

Baada ya ugomvi yule dada alijirusha through balcony,lakini familia ya yule dada nasikia hawakuamini kama angeweza kujirusha bali waliamini jamaa alimsukuma ili afe sasa wapopo ndo wanadai ile familia imeamua kulipa kisasi kwa kumuua jamaa!
South Africa watu wengi wanamiliki chuma ,kuna yule mwanamichezo wa South Africa anaitwa Oscar Pistoreas , alimuua girlfriend wake Kwa bahati mbaya akimpiga risasi kwa kudhania ni jambazi kavamia nyumbani kwake alipokuwa bafuni nyumbani kwake ,sijui ile kesi ilifikia wapi
 
R.I,P..

Kwa heshima yake wacha nichukue dakika chache kuweka na kuyatafsiri mashairi yake kwenye kazi waliyofanya na Joh Makini - Dont Bother
View attachment 2513197

woosaaa!! I tell ’em niggas don′t bother
wosaa!! Nawaambia wafanye yao waache yangu

I be in that east coast getting more zaga
Ntakuwepo east coast nimechill Napata zaga

I be in the land of my forefathers
Nipo ardhi ya mababu zangu (Afrika kusini)

In the club spending rands on a gold bottle
Club nakata mkwanja kwenye chupa ya dhahabu

I’m with Joey on this track
Nipo na Joh Makini kwenye hii track

Tz mega star I be going hard
Star wa bongo pamoja tunakiwasha humu

Ain′t it funny how these niggas used to hate?
Nabaki nacheka masela walivyoni disi enzi hizo

Now I’m triple 7 got ugali in my plate
Sasa nipo juu, vyakula vigeni ugali kwenye sahani

Bosi si kelelem, Mungu nibariki, Siku hizi kusaka hela
Bosi si kelele Mungu nibariki, Siku hizi kusaka hela

Keep it super mega
Long way if I drop off the top
Nafanya kweli maana nilipo ni mbali nikianguka

J.H.P that’s my strong hold (my strong hold)
J.H.P ndiko iliko ngome yangu (ngome yangu)
R.I.P AKA

Kaka umetisha kwa namna ulivyotafasiri, kama una muda wa ziada, aise jiunge Fiverr na Upwork ufanye kazi za ku-translate lugha (English - Swahili & vice versa) utapiga mkwanja maana upo gudi 👍
 
Police wanamkamata suspect baada ya kumlink na crime scene, kule sio hapa Tanzania, Police wetu bado wana mbinu za miaka ya 47,
Hao polisi unaowasifia unafkr watafanya nn sasa , huyo ashakufa , watakamata kamata watu , miezi miwili wapo uraiani , jitahdini kuwa na Aman na watu wote .. sio ujuaji , ubabe na ukatili , mwisho wake ndo huo , jamaa yenu alikuwa na sifa hzo
 
Huwezi kuepuka kutofanyiwa ubaya ni part and parcel ya maisha duniani. Watu wanafanyiwa ubaya bila wao kufanya BUT ukifanya ubaya utakurudia tuu in one way or another. Hata kama sio leo sio wewe but the cycle will turn back to its starting point one day.
Huwa mnajidanganya tuu
 
South Africa watu wengi wanamiliki chuma ,kuna yule mwanamichezo wa South Africa anaitwa Oscar Pistoreas , alimuua girlfriend wake Kwa bahati mbaya akimpiga risasi kwa kudhania ni jambazi kavamia nyumbani kwake alipokuwa bafuni nyumbani kwake ,sijui ile kesi ilifikia wapi
Yule si alihukumiwa kifungo ila miaka ilikua michache nadhani alishaserve his time akatoka kama sijakosea,
 
Back
Top Bottom