Hapo alisema'Nkhosi Sikelela'Pumzika kwa amani
Kwa heshima yake wacha nichukue dakika chache kuweka na kutafsiri mashairi yake kwenye kazi waliyofanya na Joh Makini - Dont Bother
View attachment 2513197
Bosi si kelelem, Mungu nibariki, Siku hizi kusaka hela
Bosi si kelele Mungu nibariki, Siku hizi kusaka hela
Kule sio kabisa, nilienda kule mara 3, mkifika kitu cha kwanza mnaambiwa msibebe vitu vyenye thamani. Pia hawapendi waafrica wenzaoNilikuwa natamani siku moja niende South Africa kutalii lakini kwa matukio ya uhalifu ninayojua kupitia social media na tvs, nimehairisha, Ile nchi imelaaniwa
Sasa hii risasi moja tu halafu ishu iliendelea au?Risasi moja tu.View attachment 2514123
Sasa hii risasi moja tu halafu ishu iliendelea au?
Maana ripoti inasema kuna mtu kafa na mwingine kajeruhiwa
Haya mauaji na ripoti ni vtu viwili tofaut kabisa , kuna kitu hakipo Sawa , CCTV inaonyesha tofaut na maelezo ya awali , wanadai kapigwa risasi 6 , na jamaa yake aliyenyoa upaa naye kauawa na mwingine kajeruhiwa , Video ya CCTV inaonyesha jamaa alimpiga risasi moja Tu ya kichwa na muuaji akapotea eneo la tukio ..... !!! Hzo risasi sita ziko wapi na Ile shooting ya wengine Iko wap, Maluwe luwe tayar yameanzaNimeona video, jamaa hakutaka apone kapiga kichwa moja kwa moja, hakutaka kusikia mtu yuko hospital.
Affirmative actionsNiqqas don't understand the four devils; lust, envy, hate, jealousy!!
M.A.P AKA
Time to take Affirmative Action son,They just don't understand, you kna'mean!Affirmative actions
Nikapigwe risasi na mimi 😂It was a matter of time kabla na yeye hajamfata girlfriend wake, kama kuna kukutana huko akamuombe msamaha kwa kuyakatisha maisha yake,
Poleni wafiwa.
Culture Me i hope utaenda msibani[emoji849]🥲
Haya mauaji na ripoti ni vtu viwili tofaut kabisa , kuna kitu hakipo Sawa , CCTV inaonyesha tofaut na maelezo ya awali , wanadai kapigwa risasi 6 , na jamaa yake aliyenyoa upaa naye kauawa na mwingine kajeruhiwa , Video ya CCTV inaonyesha jamaa alimpiga risasi moja Tu ya kichwa na muuaji akapotea eneo la tukio ..... !!! Hzo risasi sita ziko wapi na Ile shooting ya wengine Iko wap, Maluwe luwe tayar yameanza
You tube zipo zimejaa Tele , au angalia post no 186 ya huu uziVideo ipo wapi?
Risasi moja tu.View attachment 2514123
NishaonaYou tube zipo zimejaa Tele , au angalia post no 186 ya huu uzi
Very terrible. SA is a murder capital of the world. There is no regard for human life and the police (if you can even call them that) are just legitimised criminals.Risasi moja tu.View attachment 2514123
Mkuu huyo anawaza tu CCM huenda wameshatoa remix yao...Don't bother ... Ft Joh Makini.