Wasouth wapimwe akili.
R.I.P AKA
R.I.P Lucky Dube.
Yes ,Lucky Dube(rip),but AKA hajawahi Kuja clean kuhusu kifo cha girlfriend wake,eti amejirusha kutoka g,orofani!,sweet revenge
Nami ndo nimeona wengi wanasema hiviPay back time, AKA alikua ni main suspect kuhusu kufa kwa ex girlfriend wake kwa 'kujirusha'gorofani pale mother city, ni revenge ambayo binafsi its ok,hii ni push back kutoka kwenye familia ya ex wake, Nami ningefanya hivi hivi, huwezi akanipotezea mtoto wangu then kwako life akawa normal, it's a NO
Nimeona watu wanasema ni kisasi kutoka kwa familia ya girlfriend wake yule aliekufa mwaka jana baada ya kujirusha gorofani,jamaa alidai yule dada alicommit suicide baada ya wao kuwa na ugomvi humo chumbani!
Baada ya ugomvi yule dada alijirusha through balcony,lakini familia ya yule dada nasikia hawakuamini kama angeweza kujirusha bali waliamini jamaa alimsukuma ili afe sasa wapopo ndo wanadai ile familia imeamua kulipa
Nimeona watu wanasema ni kisasi kutoka kwa familia ya girlfriend wake yule aliekufa mwaka jana baada ya kujirusha gorofani,jamaa alidai yule dada alicommit suicide baada ya wao kuwa na ugomvi humo chumbani!
Baada ya ugomvi yule dada alijirusha through balcony,lakini familia ya yule dada nasikia hawakuamini kama angeweza kujirusha bali waliamini jamaa alimsukuma ili afe sasa wapopo ndo wanadai ile familia imeamua kulipa kisasi kwa kumuua jamaa!
Yes,AKA FAMILY NAO,wajue simanzi ya kufiwa,kwangu alikua arrogance, angesubiri family ya wafiwa waomboleze kabla ya ku move one!
Police waanzie uchunguzi wao hapo.Nimeona watu wanasema ni kisasi kutoka kwa familia ya girlfriend wake yule aliekufa mwaka jana baada ya kujirusha gorofani,jamaa alidai yule dada alicommit suicide baada ya wao kuwa na ugomvi humo chumbani!
Baada ya ugomvi yule dada alijirusha through balcony,lakini familia ya yule dada nasikia hawakuamini kama angeweza kujirusha bali waliamini jamaa alimsukuma ili afe sasa wapopo ndo wanadai ile familia imeamua kulipa kisasi kwa kumuua jamaa!
Nami ndo nimeona wengi wanasema hivi
Mana kiukweli kifo cha yule dada hata uwe chizi huwezi amini eti alijirusha
Yes mkuu hii ni push back kutoka family ya girlfriend wake eti alijirusha, welldone kwa push back hii, ningemimina hata 20 bullets ningekuwa ni mimi
Uchunguzi wa police uanzie kifo cha girl friend wake eti ame suicide!,then ndio wachunguze hii drive by shooting ya AKAPolice waanzie uchunguzi wao hapo.
Yule mhindi hakuwa msouth yule Diwan aliyemuua mkewe Ani Dewani. Ila kilichonistaajabisha ni jinsi alivyowalipa pesa ya kawaida wakina tongo kutekeleza mauaji hayo.Shida ya wasouth ni kwenye akili yao..kwanza ni ndogo pili hawajishughulishi na tatu wanaona kila mtu ana akili kama yao...
Angalia jinsi wanavyofanya mauaji halafu wanatafuta sababu za kitoto..mwangalie pistorius...then aka walivyoua magirlfriend zao plus yule muhindi mjinga aliua mke south akakimbilia uingereza..angalia wauaji wa lucky dube...
Hiyo nchi nilienda once na sidhani kama nataka kwenda tena...
Duh! Tulio na mabinti warembo tumekuelewa mzee kutoka kwa Fidel CastrolPay back time, AKA alikua ni main suspect kuhusu kufa kwa ex girlfriend wake kwa 'kujirusha'gorofani pale mother city, ni revenge ambayo binafsi its ok,hii ni push back kutoka kwenye familia ya ex wake, Nami ningefanya hivi hivi, huwezi akanipotezea mtoto wangu then kwako life akawa normal, it's a NO
Tuko msibani acha kuchekesha raia tuna majonzi 🤣🤣🤣🤣🤣South Africa usalama ni mdogo bora hawa panya road wa huku kwetu.
Rest easy mwamba
Modern society'sHali ya usalama Afrika ya Kusini inatisha sana.
RIP msanii mwenzangu