TANZIA Mwanamuziki AKA wa Afrika Kusini auawa kwa kupigwa risasi jijini Durban

TANZIA Mwanamuziki AKA wa Afrika Kusini auawa kwa kupigwa risasi jijini Durban


Nimetazama tukio la kupigwa risasi kwa AKA, wasanii na watu maarufu wanapaswa kujua kuwa na mwili mkubwa sio sifa pekee ya kuwa Bodyguard. Kumlinda mtu kunaanzia kichwani, akilini.

Mtu unayemlinda anapigwa risasi wewe na limwili lako kama kitanda unakimbia kimbia hovyo.

Hawa ni walinzi wazembe kuwahi kuwaona tangu kuzaliwa kwangu. Unawezaje kusema unamlinda mtu halafu adui anapata nafasi ya kumsogelea kwa karibu vile na kumtwanga risasi?
Ukiangalia vizuri hizo video unaona kabisa kwamba wote waliomzunguka AKA siku hiyo walikuwa kwenye plan ya mauaji... Yule kijana mwenye mzula mweupe anakuja na wanamuona...wanampa space...wanamhug AKA wanamgeuza...wanaacha nafasi jamaa ashuti...

Mbaya mnoo...jamaa kauliwa na wenzake..

 
Ukiangalia vizuri hizo video unaona kabisa kwamba wote waliomzunguka AKA siku hiyo walikuwa kwenye plan ya mauaji... Yule kijana mwenye mzula mweupe anakuja na wanamuona...wanampa space...wanamhug AKA wanamgeuza...wanaacha nafasi jamaa ashuti...

Mbaya mnoo...jamaa kauliwa na wenzake..


Hawa jamaa wamemchoma mwenzao
Ila muuaji nae kiboko sio kwa mbio hizo au vid ilikua inapelekwa mbio 😂
 
Ukiangalia vizuri hizo video unaona kabisa kwamba wote waliomzunguka AKA siku hiyo walikuwa kwenye plan ya mauaji... Yule kijana mwenye mzula mweupe anakuja na wanamuona...wanampa space...wanamhug AKA wanamgeuza...wanaacha nafasi jamaa ashuti...

Mbaya mnoo...jamaa kauliwa na wenzake..


Hzo risasi sita zko wap
 
Ukiangalia vizuri hizo video unaona kabisa kwamba wote waliomzunguka AKA siku hiyo walikuwa kwenye plan ya mauaji... Yule kijana mwenye mzula mweupe anakuja na wanamuona...wanampa space...wanamhug AKA wanamgeuza...wanaacha nafasi jamaa ashuti...

Mbaya mnoo...jamaa kauliwa na wenzake..

Sahihi wenzake wamechoma
 
Yaan SA ukizingua ni chuma tu haina kuremba....hata lucky dube nae hivo hivo mambo ya visasi!

Watu wanadai yule fiancee wake hakujirusha kama jamaa alivyodai, bali alimpiga akafa, then akamrusha chini ionekane kajiua[emoji848]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Yuko pia jamaa mtanzania aliyeshambuliwa kwa risasi alikuwa anasoma PhD. Nafikiri alikuwa lecturer wa St augustine University Mwanza. Nadhani tatizo kubwa S.A ni ukosefu wa ajira, ubaguzi, magenge, biashara haramu na wahamiaji haramu kuwa wengi sana.
 
It's not a white man's finger on the trigger
Car-jacks, drive-by's, callin' each other "nigga"
I'm not here to scold but rather shape n' mold
That young black mind that won't live to grow old
Cause you're fronting smoking on the blunt and
Down with your friends cause you think you're making ends
But you're not - and that's the truth of the matter
Your brother gettin' skinny, cause you want your pockets fatter

NonChalant 5 O' Clock in the Morning
Mwamba unanikumbusha miaka ya 95
 
Ukiangalia vizuri hizo video unaona kabisa kwamba wote waliomzunguka AKA siku hiyo walikuwa kwenye plan ya mauaji... Yule kijana mwenye mzula mweupe anakuja na wanamuona...wanampa space...wanamhug AKA wanamgeuza...wanaacha nafasi jamaa ashuti...

Mbaya mnoo...jamaa kauliwa na wenzake..


Waanze na huyo bodyguard ambae alikimbilia kwenye Noah nyeupe
Screenshot_20230213-000013.png

Screenshot_20230212-235801.png

Screenshot_20230213-000124.png

Screenshot_20230212-235840.png
 
Nimeona ile video aisee yule binti alikua analia,huku anasema “I want my mom”ila jamaa alikua busy na kurecord video hata kumtuliza,afu kuna maneno alikua anasema kuhusu bint kutaka kujirusha
Anaoekana alikuwa mkorofi Kwan alikuwa anarekodi yeye au cctv kule hotel
 
Back
Top Bottom