TANZIA Mwanamuziki AKA wa Afrika Kusini auawa kwa kupigwa risasi jijini Durban

TANZIA Mwanamuziki AKA wa Afrika Kusini auawa kwa kupigwa risasi jijini Durban

Hawakuonesha kama hii aka alivyouawa half wanasema wamekufa wawili kiaje wakati tunaona alopigwa risasi ni aka tu
Iko hivi....muuaji no 1 alikuwa upande wa pili wa barabara, halafu muuaji no2 alikuwa parking palepale pembeni.
Kwahiyo wauwaji walikuwa wawili.

Sasa don aliwahi kutoka kabla ya wenzake kina AKA ili kuweka mazingira sawa.
Akazugazuga akampa ishara yule wa upande wa pili wa barabara aje "songea mida ndio hii"

Wakati muuuaji no1 anasogea kuvuka baarabara don akazuga hadi alipojibanza muuaji no2 amevaa full black.akawa kama wanaongea kitu .

Wakati huo AKA na wenzake wakawa wameshatoka nje wanaagana parking pembeni ya barabara.

Don wakati anarudi baada ya " kuchonga na muuaji no 2 aliyepo pembeni kajibana kwenye nguzo ...huyu muuaji no 1 akawa ameshazunguka na kumfikia AkA na kupiga risasi ya shingo.

Na muuaji no 2 nae akafyatua risasi iliyomuua yule jamaa mwingine.

Kisha muuaji no1 akatoka nduki akifatiwa na muuaji no2 nyuma yake.

Mimi naamini 100% don amehusika pia.100%
 
Kuna watu ukiwatazama tu usoni wanaonekana hulka yao kwa kuwatizama kwenye macho tu, huyu AKA alionekana km muhuni, tozi, bandidu, kiburi na mwenye majivuno, kuuawa kwa kupigwa risasi ilikuwa inajionyesha kabisa usoni mwake kwa watu wenye kipaji cha kuona hicho walikiona ndo maana imekuwa kama utabiri kutimia

Mwingine ni yule mama wa kinigeria aliyeimba ekwueme, ule wimbo na sauti yake ukisikia ni km ina majonzi kwa aliyokuwa akipitia wakati ule, mara ya kwanza mi kuusikia nilihisi kitu km hicho na kuna kitu kilinambia atakufa kwa kipigo cha mumewe ila nilipuuzia kwa kudhani nimetekwa na hisia za wimbo tu,, kilichotokea sasa,,,,
Yaani Kati ya habari za kifo ambazo hazikunishtua wala kuniumiza Ni hii ya AKA sijui hata kwanini, yaani nilivyoiona ni Kama ninavyoangaliaga utabiri wa Hali ya hewa no reaction at all!
 
Iko hivi....muuaji no 1 alikuwa upande wa pili wa barabara, halafu muuaji no2 alikuwa parking palepale pembeni.
Kwahiyo wauwaji walikuwa wawili.

Sasa don aliwahi kutoka kabla ya wenzake kina AKA ili kuweka mazingira sawa.
Akazugazuga akampa ishara yule wa upande wa pili wa barabara aje "songea mida ndio hii"

Wakati muuuaji no1 anasogea kuvuka baarabara don akazuga hadi alipojibanza muuaji no2 amevaa full black.akawa kama wanaongea kitu .

Wakati huo AKA na wenzake wakawa wameshatoka nje wanaagana parking pembeni ya barabara.

Don wakati anarudi baada ya " kuchonga na muuaji no 2 aliyepo pembeni kajibana kwenye nguzo ...huyu muuaji no 1 akawa ameshazunguka na kumfikia AkA na kupiga risasi ya shingo.

Na muuaji no 2 nae akafyatua risasi iliyomuua yule jamaa mwingine.

Kisha muuaji no1 akatoka nduki akifatiwa na muuaji no2 nyuma yake.

Mimi naamini 100% don amehusika pia.100%
Ina maana yule alomkimbiza mwenzie kumbe wote wauaji na hawajakamatwa hata mmoja na don hajakamatwa
 
Yule aliyekimbia ni muuaji na ndio alimuua jamaa mwingine.hawajakamatwa na nadhani don anaweza kukamatwa.

Pege yake ya instagram amezima comments baada ya watu kuanza kumshambulia kwa matusi wakimtuhumu kuhusika na mauaji ya AKA.

Kwa ile CCTV footage don amehusika kufanya setting ya waujaji 100%
 
Iko hivi....muuaji no 1 alikuwa upande wa pili wa barabara, halafu muuaji no2 alikuwa parking palepale pembeni.
Kwahiyo wauwaji walikuwa wawili.

Sasa don aliwahi kutoka kabla ya wenzake kina AKA ili kuweka mazingira sawa.
Akazugazuga akampa ishara yule wa upande wa pili wa barabara aje "songea mida ndio hii"

Wakati muuuaji no1 anasogea kuvuka baarabara don akazuga hadi alipojibanza muuaji no2 amevaa full black.akawa kama wanaongea kitu .

Wakati huo AKA na wenzake wakawa wameshatoka nje wanaagana parking pembeni ya barabara.

Don wakati anarudi baada ya " kuchonga na muuaji no 2 aliyepo pembeni kajibana kwenye nguzo ...huyu muuaji no 1 akawa ameshazunguka na kumfikia AkA na kupiga risasi ya shingo.

Na muuaji no 2 nae akafyatua risasi iliyomuua yule jamaa mwingine.

Kisha muuaji no1 akatoka nduki akifatiwa na muuaji no2 nyuma yake.

Mimi naamini 100% don amehusika pia.100%
Upo sahihi 100% jamaa wamemuua washikaji zake ndio wamesuka MPANGO wa kumuua yaan inauma sana, wana sio wana
 
Yule aliyekimbia ni muuaji na ndio alimuua jamaa mwingine.hawajakamatwa na nadhani don anaweza kukamatwa.

Pege yake ya instagram amezima comments baada ya watu kuanza kumshambulia kwa matusi wakimtuhumu kuhusika na mauaji ya AKA.

Kwa ile CCTV footage don amehusika kufanya setting ya waujaji 100%
Upo sahihi 100% nakubariana na wewe ile footage inaonyesha kila kitu mchongo ulivyokua yaan
 
Back
Top Bottom