Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani Kati ya habari za kifo ambazo hazikunishtua wala kuniumiza Ni hii ya AKA sijui hata kwanini, yaani nilivyoiona ni Kama ninavyoangaliaga utabiri wa Hali ya hewa no reaction at all!
Quid Pro Quo (What For What)Kwanin?
Mbona hatukuona footage ya binti akijirusha toka ghorofan?Quid Pro Quo (What For What)
Nothing Goes for Nothing
Exchange ya Kifo ni Kifo yaan ukiua na wewe utauliwa tu lazima cycle ya kifo ikufuate tu,
Sijaona hio sikuifuatilia sana, Ila hii imeniumaMbona hatukuona footage ya binti akijirusha toka ghorofan?
Au nyie mliiona?
Hawakuonesha kama hii aka alivyouawa half wanasema wamekufa wawili kiaje wakati tunaona alopigwa risasi ni aka tuSijaona hio sikuifuatilia sana, Ila hii imeniuma
Inaweza ikawa ile risasi imeua wawili kwa mpigo au kulikua na shooter mwingine pembeni ambae hakuonekana kwenye cameraHawakuonesha kama hii aka alivyouawa half wanasema wamekufa wawili kiaje wakati tunaona alopigwa risasi ni aka tu
Anashukiwa rafiki yake yule Don design ni kama alikuwa anampa ishara muuajiInaweza ikawa ile risasi imeua wawili kwa mpigo au kulikua na shooter mwingine pembeni ambae hakuonekana kwenye camera
Si unajua ambush inavyokua
Ndio ukiangalia footage mbili utaona vizuri yule jamaa aliekimbilia kwenye Noah sijamwelewa maana jamaa alimwona Ila akamwangalia tuAnashukiwa rafiki yake yule Don design ni kama alikuwa anampa ishara muuaji
Halaf bodyguard kakaa mbali kweli lo kuna kitu wanajua hao watu wa karibu yake lNdio ukiangalia footage mbili utaona vizuri yule jamaa aliekimbilia kwenye Noah sijamwelewa maana jamaa alimwona Ila akamwangalia tu
Iko hivi....muuaji no 1 alikuwa upande wa pili wa barabara, halafu muuaji no2 alikuwa parking palepale pembeni.Hawakuonesha kama hii aka alivyouawa half wanasema wamekufa wawili kiaje wakati tunaona alopigwa risasi ni aka tu
Yaani Kati ya habari za kifo ambazo hazikunishtua wala kuniumiza Ni hii ya AKA sijui hata kwanini, yaani nilivyoiona ni Kama ninavyoangaliaga utabiri wa Hali ya hewa no reaction at all!
Huna faida kwake. Hakujui[emoji38]Yaani Kati ya habari za kifo ambazo hazikunishtua wala kuniumiza Ni hii ya AKA sijui hata kwanini, yaani nilivyoiona ni Kama ninavyoangaliaga utabiri wa Hali ya hewa no reaction at all!
Ina maana yule alomkimbiza mwenzie kumbe wote wauaji na hawajakamatwa hata mmoja na don hajakamatwaIko hivi....muuaji no 1 alikuwa upande wa pili wa barabara, halafu muuaji no2 alikuwa parking palepale pembeni.
Kwahiyo wauwaji walikuwa wawili.
Sasa don aliwahi kutoka kabla ya wenzake kina AKA ili kuweka mazingira sawa.
Akazugazuga akampa ishara yule wa upande wa pili wa barabara aje "songea mida ndio hii"
Wakati muuuaji no1 anasogea kuvuka baarabara don akazuga hadi alipojibanza muuaji no2 amevaa full black.akawa kama wanaongea kitu .
Wakati huo AKA na wenzake wakawa wameshatoka nje wanaagana parking pembeni ya barabara.
Don wakati anarudi baada ya " kuchonga na muuaji no 2 aliyepo pembeni kajibana kwenye nguzo ...huyu muuaji no 1 akawa ameshazunguka na kumfikia AkA na kupiga risasi ya shingo.
Na muuaji no 2 nae akafyatua risasi iliyomuua yule jamaa mwingine.
Kisha muuaji no1 akatoka nduki akifatiwa na muuaji no2 nyuma yake.
Mimi naamini 100% don amehusika pia.100%
Upo sahihi 100% jamaa wamemuua washikaji zake ndio wamesuka MPANGO wa kumuua yaan inauma sana, wana sio wanaIko hivi....muuaji no 1 alikuwa upande wa pili wa barabara, halafu muuaji no2 alikuwa parking palepale pembeni.
Kwahiyo wauwaji walikuwa wawili.
Sasa don aliwahi kutoka kabla ya wenzake kina AKA ili kuweka mazingira sawa.
Akazugazuga akampa ishara yule wa upande wa pili wa barabara aje "songea mida ndio hii"
Wakati muuuaji no1 anasogea kuvuka baarabara don akazuga hadi alipojibanza muuaji no2 amevaa full black.akawa kama wanaongea kitu .
Wakati huo AKA na wenzake wakawa wameshatoka nje wanaagana parking pembeni ya barabara.
Don wakati anarudi baada ya " kuchonga na muuaji no 2 aliyepo pembeni kajibana kwenye nguzo ...huyu muuaji no 1 akawa ameshazunguka na kumfikia AkA na kupiga risasi ya shingo.
Na muuaji no 2 nae akafyatua risasi iliyomuua yule jamaa mwingine.
Kisha muuaji no1 akatoka nduki akifatiwa na muuaji no2 nyuma yake.
Mimi naamini 100% don amehusika pia.100%
Upo sahihi 100% nakubariana na wewe ile footage inaonyesha kila kitu mchongo ulivyokua yaanYule aliyekimbia ni muuaji na ndio alimuua jamaa mwingine.hawajakamatwa na nadhani don anaweza kukamatwa.
Pege yake ya instagram amezima comments baada ya watu kuanza kumshambulia kwa matusi wakimtuhumu kuhusika na mauaji ya AKA.
Kwa ile CCTV footage don amehusika kufanya setting ya waujaji 100%
South Africa wanauana Kwa kupigana bunduki/risasi huku kwetu ushirikina mwingi kuuana Kwa uchawi