TANZIA Mwanamuziki AKA wa Afrika Kusini auawa kwa kupigwa risasi jijini Durban

TANZIA Mwanamuziki AKA wa Afrika Kusini auawa kwa kupigwa risasi jijini Durban

Pumzika kwa amani

Kwa heshima yake wacha nichukue dakika chache kuweka na kutafsiri mashairi yake kwenye kazi waliyofanya na Joh Makini - Dont Bother
View attachment 2513197

woosaaa!! I tell ’em niggas don′t bother
wosaa!! Nawaambia wafanye yao waache yangu

I be in that east coast getting more zaga
Ntakuwepo east coast nimechill Napata zaga

I be in the land of my forefathers
Nipo ardhi ya mababu zangu (Afrika kusini)

In the club spending rands on a gold bottle
Club nakata mkwanja kwenye chupa za dhahabu

I’m with Joey on this track
Nipo na Joh Makini kwenye hii track

Tz mega star I be going hard
ni Collabo na staa wa bongo naikazia sirembi

Ain′t it funny how these niggas used to hate?
nawacheka masela walionidisi sitafika mbali.

Now I’m triple 7 got ugali in my plate
Sasa nipo juu, vyakula vigeni ugali kwenye sahani

Bosi si kelelem, Mungu nibariki, Siku hizi kusaka hela
Bosi si kelele Mungu nibariki, Siku hizi kusaka hela

Keep it super mega
Long way if I drop off the top
Nafanya kweli maana nilipo ni mbali nikianguka

J.H.P that’s my strong hold (my strong hold)
J.H.P ndiko iliko ngome yangu (ngome yangu)
Umetisha mkuu
 
Umetisha mkuu
Sio Bosi si kelelem ni

Nkosi Sikelela = Mungu Ibariki

Huo Nkosi Sikelela ni wimbo wa Taifa wa SA ambao Tanzania tumeucopy mwanzo mwisho Mungu Ibariki Tanzania hatuna hati miliki na wimbo wa Taifa tunaoutumia maana ni wimbo wa SA na mali ya SA na kuna kipindi walitaka kutufungulia kesi,

Now I’m triple 7 got ugali in my plate

Sasa nipo 777 napata ugali kwenye sahani

Keep it super mega Long way if I drop off the top

Weka umakini muda mrefu km nikianguka toka juu

Nimesahihisha baadhi ya makosa aliyoandika...
 
Translation ya mwendokasi
Sio Bosi si kelelem ni

Nkosi Sikelela = Mungu Ibariki

Huo Nkosi Sikelela ni wimbo wa Taifa wa SA ambao Tanzania tumeucopy mwanzo mwisho Mungu Ibariki Tanzania hatuna hati miliki na wimbo wa Taifa tunaoutumia maana ni wimbo wa SA na mali ya SA na kuna kipindi walitaka kutufungulia kesi,

Now I’m triple 7 got ugali in my plate

Sasa nipo 777 napata ugali kwenye sahani

Keep it super mega Long way if I drop off the top

Weka umakini muda mrefu km nikianguka toka juu

Nimesahihisha baadhi ya makosa aliyoandika...
 
Jimbo la Gauteng -South Africa sio sehemu salama kwa binadamu kuishi , unless huyaoendi maisha yako
Kama umeishi SA nathani unajua ya kuwa hakuna sehemu salama hasa ukiwa unawindwa au una beef na mtu/watu, ile barabara ni maarufu sana na haikuwa Gauteng bali ilikuwa Kwazulu Natal lakini hata uwe Long road(CT) au Table View yaani popote any shit can happen to you at any unexpected moment.
Florida road ni popular road CCTV cameras za kumwaga lakini muhuni kashuka kwenye gari akambatua at a very close range.
 
Wengi wanasema hayo lakini unaweza kukuta ni sababu nyingine kabisa
It's very possible ikawa ni sababu tofauti lakini kilichofanya wakahisi ni sababu ya yule aliyekuwa girlfriend wake ni kwa vile lile tukio lilivuma sana na secondly yule demu kwao ni Durban na watu kwenye social media walikuwa wakimpiga mikwara AKA kuwa asikanyage huko naye alikuwa akiwajibu 'mavi'.
Inaweza kuwa sababu ni nyingine na mtu akaona akimdondoshea Durban itahisiwa ni ile issue ya yule aliyekuwa demu wake lakini pia wahuni tu wa Durban wasiohusiana na familia ya yule demu wanaweza kuamua kumshusha kivyaovyao bila familia kujua hizo zipo hata US na ambacho kinahisiwa zaidi ni mpango uliopangwa na familia(vendetta).
Don Design inawezekana akawa anajua kitu, there is that possibility nadhani kwa kuchukua printout kwenye simu yake(kama amehusika) upelelezi unaweza kuwa rahisi.
 
It's very possible ikawa ni sababu tofauti lakini kilichofanya wakahisi ni sababu ya yule aliyekuwa girlfriend wake ni kwa vile lile tukio lilivuma sana na secondly yule demu kwao ni Durban na watu kwenye social media walikuwa wakimpiga mikwara AKA kuwa asikanyage huko naye alikuwa akiwajibu 'mavi'.
Inaweza kuwa sababu ni nyingine na mtu akaona akimdondoshea Durban itahisiwa ni ile issue ya yule aliyekuwa demu wake lakini pia wahuni tu wa Durban wasiohusiana na familia ya yule demu wanaweza kuamua kumshusha kivyaovyao bila familia kujua hizo zipo hata US na ambacho kinahisiwa zaidi ni mpango uliopangwa na familia(vendetta).
Don Design inawezekana akawa anajua kitu, there is that possibility nadhani kwa kuchukua printout kwenye simu yake(kama amehusika) upelelezi unaweza kuwa rahisi.

Hivi AKA alisemaje kuhusu kifo cha girl wake?au alipiga kimya tu
 
Hivi AKA alisemaje kuhusu kifo cha girl wake?au alipiga kimya tu
Alienda msibani na baada ya mazishi aliongea na aliyekuwa baba mkwe wake face to face, pia later on alikuja kusema kuwa yale mazungumzo na aliyekuwa baba mkwe wake mzee alikuwa na mchanganyiko wa hasira na huzuni(japo according to him wote wawili walikuwa na huzuni).
Sasa blogs na family members walivyoanza kumnyooshea kidole kwenye social media ndiyo naye akawa somehow abajitetea kiaina ila hakuwa akiongea sana(nadhani alishauriwa na lawyers wake kuwa asiongee sana).
Anele(yule binti) alikuwa teja na ameshalazwa mara kadhaa psychiatric ward lakini the fact kwamba baba yake Mr Tembe ni kigogo, mtu maharufu/mashuhuri huko Kwazulu Natal na ni mwanasiasa kigogo ANC hilo linafunikwa sana ndiyo maana hata alipokuwa akidai kuwa binti yake hakujiua wakati yeye hakuwepo habanwi kwamba anauhakika gani kama hakujia na kama hakujiua nani kamuua. AKA ni kama alijisahau ila alijua kuwa Wazulu hawakubali kama Anele alijiua ukizingatia demu alitumia baadhi ya rafiki zake videos wakigombana muda mchache kabla ya kifo chake.
 
Kwahiyo ni mzungu yule [emoji1] [emoji1787]
Mama yake sio mweusi ila baba yake ana ni kama chotara sijui kabila gani hao
 

Attachments

  • B4863EF7-EE45-46B4-A821-FA862FB99472.png
    B4863EF7-EE45-46B4-A821-FA862FB99472.png
    714.3 KB · Views: 9
Inaweza ikawa ile risasi imeua wawili kwa mpigo au kulikua na shooter mwingine pembeni ambae hakuonekana kwenye camera

Si unajua ambush inavyokua
Kulikuwa na backup ili kumlinda assassin Incase of anything ili haweze ku'escape haraka eneo la tukio kwasababu walihisi uenda mmoja wao anaweza kuwa na silaha aka react halafu muuaji akajeruhiwa au kuuliwa hivyo ikaleta shida mbeleni sasa ili kufanya "Mission to kill" iende kama ilivyopangwa lazima backup iwepo kwani assassination inahitaji uharaka wa kutenda na kupotea eneo la tukio kama mtekelezaji alivyosepa na inaonyesha ni muuaji mzoefu sana

"One shot, man down, game over"

Unaweza kuta alishasepa zake usiku ule ule Swaziland au Mozambique yupo zake Anantara Medjumbe Hotel katulia kimyaa time hii anashushia mvinyo anasubiri msala upoe...[emoji23]
 
Back
Top Bottom