Kudadeki umepigilia kwa nguvu hadi nmecheka kifala sana aiseeTunapo sema kwa Ujasiri kuwa Magufuli alikuwa muovu na kibaraka wa Ibilisi muwe mnaelewa na Wala hatuna ugomvi binafsi bali ni matendo yake ya kifedhuli dhidi ya Binadamu.
Kama yule mzee hayupo motoni basi hakuna Mungu tuendelee kutenda dhambi.
Nape itabidi athibitishe kama ndiye kweliKwani ndio kisanduku huyo?
Mbona kama mmepigwa hapo.
Hebu turudi kwenye madaUsiwe unaleta vistory vya kike na wake wenza wako humu,
Hapa tunataka madume yanapoongea yanajua nini yanamaanisha
Huo umbea wenu pelekeni majikoni na wake wenzako huko
Here we go..Dunia inazunguka kwa kasi.
Askari huyu, tarehe 23.3.2017 alimtishia Nape Nnauye bastola asiongee na waandishi wa habari baada ya kutumbuliwa na Rais Magufuli kwa sakata la Makonda kuvamia Clouds FM usiku.
Leo hii ni miongoni mwa maaskari waliokamatwa kwa tuhuma za mauaji mfanyabiashara mkoani Mtwara, Mussa Mussa kijana aliyekuwa anajitafutia maisha yake.
Sirro na Makonda walijua Mtwara ni mkoa wa kusadikika wakimficha mtu wao huko hatajulikana kama ambavyo tuliaminishwa kuwa hafanyi kazi Jeshi la Polisi.
Askari huyu wa Sirro ni ndugu Gilbert Kalanje na anashikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara wa madini mkoani Mtwara
View attachment 2098004
Gazeti la mwananchi la leo tarehe 28.1.202
Wasiojulikana wanaendelea kujulikana.
View attachment 2097971
Askari wa Sirro akiwa na bastola na pingu mwaka 2017.
View attachment 2097979
Huu ndio umuhimu wa vyombo vya habariYametimia, ukizoea kula nyama ya mtu, huwezi kuwacha, yule askari aliyemtolea waziri Nape Nnauye bastola ni miongoni mwa askari Polisi wa Mtwara wanaokabiliwa na kesi ya mauaji ya mfanyabiashara wa madini.
Ni wakati muafaka sasa kwa Nape Nnauye kutumia madaraka yake, ili kuifufua na kesi ya kutishiwa kuuawa na hii kima ili kukomesha tabia hizi.
View attachment 2098003
Sirro ni jambazi anatakiwa ajisalimishe haraka! lakini kwa nchi waliologwa kama Tz ni bwiii kimya!1 Sauti tena Sirro ni jambaziIGP Sirro aliwahi kusema mtu huyo alikimbia na Jeshi la Polisi linaendelea kumtafuta. Amesema kuonekana kwa picha za mtu huyo haina maana kwamba atapatikana kwa urahisi hivyo jeshi hilo linaendelea kumtafuta.
“Mheshimiwa Nape amefungua kesi. Ujue picha kuonekana haina maana kwamba yule mtu ataonekana kirahisi lakini upelelezi unaendelea kumtafuta aliyefanya tukio hilo. Wananchi watusaidie, maana suala la kumpata mhalifu ni ushirikiano, sisi tunaenda kwa taarifa, bila taarifa ya uhakika hatuwezi kufanikiwa,” amesema.
Kumbe baada ya tukio wakampeleka Mtwara halafu akaenda kujiongelesha Mtwara.
Mambo nswano! Mungu kashuka sasa jamani tumpe ushirikiano kha! Sirro na Mwigulu tokexeni haraka! You have no damn right to enjoy our taxes,
Imagine jamaa alikuwa mkuu wa upelelezi wilaya! Yaani mtu kamtishia Mbunge hadharani, anaenda kupandishwa cheo..... Unafundisha nini askari wengine?Mambo nswano! Mungu kashuka sasa jamani tumpe ushirikiano kha! Sirro na Mwigulu tokexeni haraka! You have no damn right to enjoy our taxes,
Dunia inazunguka kwa kasi.
Askari huyu, tarehe 23.3.2017 alimtishia Nape Nnauye bastola asiongee na waandishi wa habari baada ya kutumbuliwa na Rais Magufuli kwa sakata la Makonda kuvamia Clouds FM usiku.
Leo hii ni miongoni mwa maaskari waliokamatwa kwa tuhuma za mauaji mfanyabiashara mkoani Mtwara, Mussa Mussa kijana aliyekuwa anajitafutia maisha yake.
Sirro na Makonda walijua Mtwara ni mkoa wa kusadikika wakimficha mtu wao huko hatajulikana kama ambavyo tuliaminishwa kuwa hafanyi kazi Jeshi la Polisi.
Askari huyu wa Sirro ni ndugu Gilbert Kalanje na anashikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara wa madini mkoani Mtwara
View attachment 2098004
Gazeti la mwananchi la leo tarehe 28.1.202
Wasiojulikana wanaendelea kujulikana.
View attachment 2097971
Askari wa Sirro akiwa na bastola na pingu mwaka 2017.
View attachment 2097979 Kwa hiyo nchi ilirecruit majambazi wa kuzuru wananchi kutoka kwa polisi wanakula kodi za wananchi ama kweli sasa nathibitisha tena! Kwa miaka mitano Nchi iliongozwa na Shetani pure! Mwendazake alikuwa shetani.
Tena nyumbani kwa Nape Mtwara!!??Imagine jamaa alikuwa mkuu wa upelelezi wilaya! Yaani mtu kamtishia Mbunge hadharani, anaenda kupandishwa cheo..... Unafundisha nini askari wengine?
Leteni picha inayoonekana vizuri na ipostiwe kwenye mitamdao
Nchi nyingine Sirro angeshurutishwa kung'atuka
Kwani huyo shetani mwendakuzimu alikuwa na uungwana gani?Huu si uungwana mkuu, muache jamaa apumzike.