Mwananchi: Aliyemtishia Nape bastola ni miongoni mwa wanaoshikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara Mtwara

Mwananchi: Aliyemtishia Nape bastola ni miongoni mwa wanaoshikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara Mtwara

Tanzania ya leo kumekuwa na huzushi mkubwa. Nashaangaa gazeti la Mwananchi kuzusha habari za uongo. Siku zote hilo gazeti au mtu mwingine hakuna alie mtambua aloshika siraha kwa Waziri nape. Walionesha picha tofauti na hii.
Na watu tunashabiakia. Niongee ukweli picha ya huyu jamaa na yule aloshika bastora ni tofauti. Wakitaka waoneshe uso wa alie shika bastora. Naongea hivi nikiwa na uhakika, kwani huyu Afisa alopata masahibu huko Mtwara, namjua vizuri sana. Nimekuwa nae toka utoto mpaka anaanza kazi. Namjua in and out! Hakuwepo katika hilo tukio na hakuwahi mshikia bastora Nape kama wanavyodai.

Wasione yupo gerezani wakatumia nafasi ya kutunga maneno na kusema uongo. Ila kuna siku hili gazeti wataingia matatani kwa kumchafua mtu. Na ijulikane wazi kuwa mahakama ndo pekee inayotoa haki, na kumuweka mtu hatiani. Kwa hili nauhakika asilimia 100 gazeti la Mwananchi limesema uongo. Kama wanajiamini watoe picha halisi full photo ya huyu askari na huyo aloshika bastora. Vazi alovaa ni jezi ya Yanga si CCM. Tuache uzushi. Tanzania tumekuwa na ushabiki bila kutafakari kinachosemwa. Kisa kujenga chuki tu!
Wewe unamzungumzia mmoja wakati walioshikwa ni 7
 
Hiki ndicho kitakuwa kipimo (indicator) kizuri sana cha mwelekeo wa utawala wa SSH.

Sirro akiendelea kuwa madarakani na jeshi la polisi lisipofanyiwa “OVERHAUL” itakuwa ni UTHIBITISHO kuwa hatuna nchi bali a true “banana republic” sawa kabisa na Equatorial Guinea - the scum of African countries.
Si bora hata hao Equatorial Guinea wameshiriki Afcon Cameroon?
 
Mtu asiyejulikana sasa atajulikana kwa lazima

View attachment 2097991
BREAKING_NEWS%F0%9F%8E%A4%F0%9F%8E%A4%F0%9F%8E%A4%F0%9F%8E%99%F0%9F%8E%99%F0%9F%8E%B8%F0%9F%8E...jpg
 
Hili ndilo lile kundi ambalo makonda alikuwa akilitumia sana kufanya uhalifu wake ikiwa ni pamoja na 'kudhulumu maisha' ya watu (rejea taarifa USA) Sasa ni wakati mzuri kuanza kuwajua waliofanya uhalifu mkubwa na waseme 'waliopotea' wapo wapi!
 
Kuna vitu vingine hutokea kama ishara kuonesha yale mambo ambayo hatuyaoni...
 
Hawa jamaa watakuwa wameua watu wengi sana hapa chini ya ardhi,
Kamanda Sirro jitafakari kama bado unahitajika katika ofisi za Umma.
 
Leteni picha inayoonekana vizuri na ipostiwe kwenye mitamdao

Nchi nyingine Sirro angeshurutishwa kung'atuka
Mabeyo na Sirro ndio waliomtetea Samia mpaka amekuwa rais wa awamu ya sita, kuondoka kwake kutakuwa ni kwa amani kuliko hizi presha za JF.
 
Dunia inazunguka kwa kasi.

Askari huyu, tarehe 23.3.2017 alimtishia Nape Nnauye bastola asiongee na waandishi wa habari baada ya kutumbuliwa na Rais Magufuli kwa sakata la Makonda kuvamia Clouds FM usiku.

Leo hii ni miongoni mwa maaskari waliokamatwa kwa tuhuma za mauaji mfanyabiashara mkoani Mtwara, Mussa Mussa kijana aliyekuwa anajitafutia maisha yake.

Sirro na Makonda walijua Mtwara ni mkoa wa kusadikika wakimficha mtu wao huko hatajulikana kama ambavyo tuliaminishwa kuwa hafanyi kazi Jeshi la Polisi.

Askari huyu wa Sirro ni ndugu Gilbert Kalanje na anashikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara wa madini mkoani Mtwara

View attachment 2098004
Gazeti la mwananchi la leo tarehe 28.1.202

Wasiojulikana wanaendelea kujulikana.

View attachment 2097971
Askari wa Sirro akiwa na bastola na pingu mwaka 2017.


View attachment 2097979
Aseeeeeeeeeeeeeee
 
Dunia inazunguka kwa kasi.

Askari huyu, tarehe 23.3.2017 alimtishia Nape Nnauye bastola asiongee na waandishi wa habari baada ya kutumbuliwa na Rais Magufuli kwa sakata la Makonda kuvamia Clouds FM usiku.

Leo hii ni miongoni mwa maaskari waliokamatwa kwa tuhuma za mauaji mfanyabiashara mkoani Mtwara, Mussa Mussa kijana aliyekuwa anajitafutia maisha yake.

Sirro na Makonda walijua Mtwara ni mkoa wa kusadikika wakimficha mtu wao huko hatajulikana kama ambavyo tuliaminishwa kuwa hafanyi kazi Jeshi la Polisi.

Askari huyu wa Sirro ni ndugu Gilbert Kalanje na anashikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara wa madini mkoani Mtwara

View attachment 2098004
Gazeti la mwananchi la leo tarehe 28.1.202

Wasiojulikana wanaendelea kujulikana.

View attachment 2097971
Askari wa Sirro akiwa na bastola na pingu mwaka 2017.


View attachment 2097979
Anatisha -ayo macho
 
Mbona sura tofauti. Mwananchi wameingia chaka hapa.Au ndo mbinu ya kuuza gazeti ?
 
Tanzania ya leo kumekuwa na huzushi mkubwa. Nashaangaa gazeti la Mwananchi kuzusha habari za uongo. Siku zote hilo gazeti au mtu mwingine hakuna alie mtambua aloshika siraha kwa Waziri nape. Walionesha picha tofauti na hii.
Na watu tunashabiakia. Niongee ukweli picha ya huyu jamaa na yule aloshika bastora ni tofauti. Wakitaka waoneshe uso wa alie shika bastora. Naongea hivi nikiwa na uhakika, kwani huyu Afisa alopata masahibu huko Mtwara, namjua vizuri sana. Nimekuwa nae toka utoto mpaka anaanza kazi. Namjua in and out! Hakuwepo katika hilo tukio na hakuwahi mshikia bastora Nape kama wanavyodai.

Wasione yupo gerezani wakatumia nafasi ya kutunga maneno na kusema uongo. Ila kuna siku hili gazeti wataingia matatani kwa kumchafua mtu. Na ijulikane wazi kuwa mahakama ndo pekee inayotoa haki, na kumuweka mtu hatiani. Kwa hili nauhakika asilimia 100 gazeti la Mwananchi limesema uongo. Kama wanajiamini watoe picha halisi full photo ya huyu askari na huyo aloshika bastora. Vazi alovaa ni jezi ya Yanga si CCM. Tuache uzushi. Tanzania tumekuwa na ushabiki bila kutafakari kinachosemwa. Kisa kujenga chuki tu!
Kama ni kweli mwambie jamaa akitoka sero afungue kesi na adai fidia milioni 100,, mie mnigawie laki 5 tu ya consultation fee. [emoji23]
 
Back
Top Bottom