Mwananchi: Aliyemtishia Nape bastola ni miongoni mwa wanaoshikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara Mtwara

Mwananchi: Aliyemtishia Nape bastola ni miongoni mwa wanaoshikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara Mtwara

Mabeyo na Sirro ndio waliomtetea Samia mpaka amekuwa rais wa awamu ya sita, kuondoka kwake kutakuwa ni kwa amani kuliko hizi presha za JF.
Sawa. Lakini kisiasa, Sirro anazidi kumuwekea wingu zito sana Samia mbele ya jamii ya watanzania wote hata CCM - na kimataifa. After all, he is on the verge of retirement.

Kimkakati ni muhimu atafute namna ya kumuweka mbali naye hata kwa kumlipa “a price he cannot refuse” IKIBIDI. She has unfettered hold on the national purse strings (sic).

Hata Magufuli alimuweka kando Makonda kinamna alipokuwa a big liability ya utawala wake hasa katika anga za kimataifa.
 
Sawa. Lakini kisiasa, Sirro anazidi kumuwekea wingu zito sana Samia mbele ya jamii ya watanzania wote hata CCM - na kimataifa. After all, he is on the verge of retirement.

Kimkakati ni muhimu atafute namna ya kumuweka mbali naye hata kwa kumlipa “a price he cannot refuse” IKIBIDI. She has unfettered hold on the national purse strings (sic).

Hata Magufuli alimuweka kando Makonda kinamna alipokuwa a big liability ya utawala wake hasa katika anga za kimataifa.
Mikakati ya Rais hatuijui, naamini yapo mahesabu yanayoendelea kumhusu Sirro.
 
Kwenye video, maulidi kitenge alikuwepo na alimsukuma yule jamaa atoke karibu na gari alilokuwepo nape, nimeangalia video iliyo postiwa na efm kwa jinsi kitenge alivyo shadadia, na kwa position yake kwenye tukio la nape bila shaka anaifahamu sura ya askari muhisika wa tukio la nape na anaitambua kuwa ndio iliyo postiwa kwenye gazeti.
 
Ngoja nipige zangu chuma mida ya lunch inakaribia
Screenshot_20220128-091453_Instagram.jpg
[ATTACH
 

Attachments

  • Screenshot_20220128-091546_Instagram.jpg
    Screenshot_20220128-091546_Instagram.jpg
    85.1 KB · Views: 16
Tanzania ya leo kumekuwa na huzushi mkubwa. Nashaangaa gazeti la Mwananchi kuzusha habari za uongo. Siku zote hilo gazeti au mtu mwingine hakuna alie mtambua aloshika siraha kwa Waziri nape. Walionesha picha tofauti na hii.
Na watu tunashabiakia. Niongee ukweli picha ya huyu jamaa na yule aloshika bastora ni tofauti. Wakitaka waoneshe uso wa alie shika bastora. Naongea hivi nikiwa na uhakika, kwani huyu Afisa alopata masahibu huko Mtwara, namjua vizuri sana. Nimekuwa nae toka utoto mpaka anaanza kazi. Namjua in and out! Hakuwepo katika hilo tukio na hakuwahi mshikia bastora Nape kama wanavyodai.

Wasione yupo gerezani wakatumia nafasi ya kutunga maneno na kusema uongo. Ila kuna siku hili gazeti wataingia matatani kwa kumchafua mtu. Na ijulikane wazi kuwa mahakama ndo pekee inayotoa haki, na kumuweka mtu hatiani. Kwa hili nauhakika asilimia 100 gazeti la Mwananchi limesema uongo. Kama wanajiamini watoe picha halisi full photo ya huyu askari na huyo aloshika bastora. Vazi alovaa ni jezi ya Yanga si CCM. Tuache uzushi. Tanzania tumekuwa na ushabiki bila kutafakari kinachosemwa. Kisa kujenga chuki tu!
Achana na mambo ya picha zakwenye mitandao.mtu anatambulika kwa majina yake.Hilo gazeti itakua limemhusisha huyo bwana kwa majina yake picha zimetumika tu kupambia habari nahiyo sio issue kubwa kuliko mhusika mwenyewe kutenda jambo na kutambulika kwa majina.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Picha ya 2017 anaonekana ka black flani iviiiii
Picha ya 2022 anaonekana maji ya kunde iviii

2017 vs 2022 ??
Achana na mambo ya picha dunia ya leo.Ukiwa na mawazo ya hivyo utadanganywa sana.lamuhimu nikujiridhisha usahii wa majina sahihi ya huyo mtu.Mambo ya picha ata snapchat zawadada zinabadilisha mtu.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Hivi kwa nini Siro anatumika sana kwenye uongo? Tukio la MO yeye ndo alidanganya Umma kwa kuleta picha za kawaida kusema ni za CCTV camera, ili la Nape nalo akadanganya kumbe bado ni askari, limekuja la Mbowe kaja kwenye camera anatoa na macho kua Kuna ushahid wa kutosha kua mbowe ni gaidi afu ushahidi wake ni huu tunao usikia. Huyu Siro inawezekana ana maovu mengi ndo inakua rahisi kutumika na waovu
Sasa imagine, Mwigulu na Sirro wanalidanganya Taifa waziwazi halafu bado wanaendelea kuaminiwa na Rais .... This is pathetic. Tena Mwigulu anapewa Wizara muhimu kabisa sijui ni kwa sababu ya sifa yake ya uongo ....!!
 
Tanzania ya leo kumekuwa na huzushi mkubwa. Nashaangaa gazeti la Mwananchi kuzusha habari za uongo. Siku zote hilo gazeti au mtu mwingine hakuna alie mtambua aloshika siraha kwa Waziri nape. Walionesha picha tofauti na hii.
Na watu tunashabiakia. Niongee ukweli picha ya huyu jamaa na yule aloshika bastora ni tofauti. Wakitaka waoneshe uso wa alie shika bastora. Naongea hivi nikiwa na uhakika, kwani huyu Afisa alopata masahibu huko Mtwara, namjua vizuri sana. Nimekuwa nae toka utoto mpaka anaanza kazi. Namjua in and out! Hakuwepo katika hilo tukio na hakuwahi mshikia bastora Nape kama wanavyodai.

Wasione yupo gerezani wakatumia nafasi ya kutunga maneno na kusema uongo. Ila kuna siku hili gazeti wataingia matatani kwa kumchafua mtu. Na ijulikane wazi kuwa mahakama ndo pekee inayotoa haki, na kumuweka mtu hatiani. Kwa hili nauhakika asilimia 100 gazeti la Mwananchi limesema uongo. Kama wanajiamini watoe picha halisi full photo ya huyu askari na huyo aloshika bastora. Vazi alovaa ni jezi ya Yanga si CCM. Tuache uzushi. Tanzania tumekuwa na ushabiki bila kutafakari kinachosemwa. Kisa kujenga chuki tu!
Gilbert nimemfahamu akiwa polisi Kawe,tulipoenda kumkabizi mtu alietutapeli dola 5000. Baadae alitugeukia kibao hapo hapo kua boss wangu anaendesha gari ya wizi!! Akatutaka tuiache polisi(lengo kututingisha kwenye mhalifu wetu kwani ni rafiki yao)

Uzuri gari ile tulikodi na mmiliki ilikua ni Jimmy Mwang'onda.

Baadae akahamishiwa osterbay.

Ni shabiki mkubwa sana wa Yanga, kwa muda mchache niliomjua,sishangai sana anayohusishwa nayo,alijiona mungu mtu fulani,utumishi ulimlevya!!
 
Dah kumbe naishabikia Yanga pamoja na huyo mshenzi....!
Sijui nihame? Hata nikihama sijui ntaenda timu gani tena..
 
Dunia inazunguka kwa kasi.

Askari huyu, tarehe 23.3.2017 alimtishia Nape Nnauye bastola asiongee na waandishi wa habari baada ya kutumbuliwa na Rais Magufuli kwa sakata la Makonda kuvamia Clouds FM usiku.

Leo hii ni miongoni mwa maaskari waliokamatwa kwa tuhuma za mauaji mfanyabiashara mkoani Mtwara, Mussa Mussa kijana aliyekuwa anajitafutia maisha yake.

Sirro na Makonda walijua Mtwara ni mkoa wa kusadikika wakimficha mtu wao huko hatajulikana kama ambavyo tuliaminishwa kuwa hafanyi kazi Jeshi la Polisi.

Askari huyu wa Sirro ni ndugu Gilbert Kalanje na anashikiliwa kwa tuhuma za mauaji ya mfanyabiashara wa madini mkoani Mtwara

Pia soma:

Nape Nnauye atishishiwa Bastola na kusukumizwa kwenye gari


View attachment 2098004
Gazeti la mwananchi la leo tarehe 28.1.202

Wasiojulikana wanaendelea kujulikana.

View attachment 2097971
Askari wa Sirro akiwa na bastola na pingu mwaka 2017.


View attachment 2097979
Watajulikana wote, hatima ya yote kabisa tusishangae kujua baadaye kuwa Sirro na Ndugai walikuwemo kwenye gari ya wale majambazi wa serikali waliomfyatulia Tundu Lissu risasi

Mungu hadhihakiwi
 
Sabaya alisema katumwa unawajua wote aliowatuma. Nape ndio anamjua mpaka sasa hajasema lolote, we ndio Nape au ulikuwepo, kulikuwa na camera zaidi ya 20 na video camera pale, picha sio tatizo kama unavyofikiri. Mpaka Nape akanushe huyo jamaa ni yeye.
Nape ni waziri sasa wa Habari, lazima ameipata hiyo.

Nadhani imekuingia ndani ya kichwa acheni kulopoka.
 
Back
Top Bottom