mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 6,230
- 9,889
Gaidi mstaarabu. Angalia Westgate magaidi walivyokuwa hawacheki na yeyote. Analo Jambo amefanyiwa na Polisi na amekufa nalo ndio maana Kamanda anaiatack familia yake.Mkuu kwa Hamza tunaongelea kuteka au kufanya shambulizi...hv kuna gaidi anafanyaga shambulizi selective yaani anawalenga watu fulani tu na wengine anawapita tu...Tena anawaambia kabisa endesheni magari au mnakimbia nn???Huyu gaidi ni wa kipekee Sana.
Gaidi mstaarabu. Angalia Westgate magaidi walivyokuwa hawacheki na yeyote. Analo Jambo amefanyiwa na Polisi na amekufa nalo ndio maana Kamanda anaiatack familia yake.
poor reasoning............Uliona wakati jamaa anaporwa; au na wewe ndio walewale wanaosoma udaku?
Why and how?poor reasoning............
Why and how?
Wale walikuwa wanaua mpaka raia wa kawaida.. Stakishari walienda kwa mission maalum ya kupora silaha..Je yale magaidi yaliyo kuwa yakishambulia pale stakishari na yenyewe yalitapeliwa dhahabu ?
Endeleen kuwa tetea majangiri na magaidi siku yatakapo wakuta ndio mta kapo lia kilio na kusaga meno
Haya bwana Mkubwa nimekusoma!Uliona wakati jamaa anaporwa; au na wewe ndio walewale wanaosoma udaku?
You are not expounding anything.Chinese whispers............
Sawa.Haya bwana Mkubwa nimekusoma!
Ila nimekuja na habari njema. Karibu, napata juice(sharubati) muda huu. Karibu mnoo!
Halafu unapata na viazi vitamu vimechemshiwa kwa tui la nazi na kaupepo kana kupiga hivi! Unajiona kama Sultani hivi huku unatizama kipindi cha utalii wa ndani Tz unakazi ya kupoint kuwa "yah! Pale nitapatembelea!"
Huyo ni gaidi. Kwanza alikwenda Misri kusoma dini.Wanasema alivyorudi alikuwa mtu mkimya sana. Hapo alikuwa radicalisé .
Kwa vile jamaa alikuwa mwanachama mtiifu wa CCM,naungana nawe Mia kwa Mia Katika Hili kuwa Hamza alikuwa gaidiHamza ni gaidi Kama magaidi wengine wa bavicha walioko ndani
USSR
he was so precise.Kwanini AWAUE POLISI TU?
CCM huwa wanachagua yoyote mwenye ukwasi,.Hata Shetani akitajirika ...atapata Uongozi .Watu ambao hamna ujasiri kusema Hamza anaonekana na watu gani mbalimbali kwenye picha mtakubali vipi ukweli huu mchungu wa Hamza ni gaidi? Hamza ni gaidi lililofanikiwa kuinflitrate mpaka CCM na likapewa uongozi ngazi ya Wilaya. Chunguzeni mjue magaidi kama Hamza wako wangapi, wapi, wanapanga nini, mtandao wao ni nani, wanafadhiliwa na nani vipi? Maswali ni mengi kùliko majibu.
Katika Serikali za kidikteta ni kawaida kabisa vyombo vya habari kutumikia madhalimu ili kesho viendelee kuwa hewani bila ya kujua kuwa mwisho wa siku vitakosa wateja na vitakufa vikiwa mdomo wazi🤡🤡🤡
Ukitaja hivyo ni gaidi?Huyo ni gaidi alikuwa anataja Allah Akbar