ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Wewe takataka ,Lini hiyo Samia amewahi kuwa na Kikwete? Hapa tunalinganisha Samia na Magufuli au Magufuli na Kikwete?We want team Ndugai,Lukuvi, kabudi
Nilitaka ujilete hivyo mbwa ww! Swali,
Magufuli kutoka 800bln to 1.5,mbona team Samia na Kikwete hwakufika hapo? Hayo mapato yaliyopanda Kwa Samia,ni njia aliyowekewa na Magu namna ya kukusanya mapato. Na ndio maana Samia since have never iniated anyways to increase Revenue!
Yaani ni Utitiri wa vitu sio kitu ,wewe labda uniambie nikutajie sekta ipi ,nikitoa orodha hapa ni ndefu sana.Taja kitu alichoanzisha Samia Kwa miaka yote 3 Toka aingie madarakani
Basi wewe bakia kuwa fala mheshimiwaFALA kwa kichina ni mheshimiwa.
Ndio Mimi ni mwerevu maana nafanya judgement Kwa hoja, takwimu na uhalisia sio moyo.Kwa hiyo wewe ndo mfano wa werevu?
Jitu unakaa Mbeya huko kwenye majumba ya tope unaweza kuwa mwerevu kuzidi wote waliohojiwa?
Wewe takataka ,Lini hiyo Samia amewahi kuwa na Kikwete? Hapa tunalinganisha Samia na Magufuli au Magufuli na Kikwete?
Mijitu kijinga Huwa logically zero.Njia aliyowekewa na Magufuli njia ipi? Umeona Samia anapora watu hela?
Sawa kilazaBasi wewe bakia kuwa fala mheshimiwa
Umesahahu kitu kimoja muhimu. Watanzania wenzetu wa Kagera na Mwanza na Musoma walikuwa wanapita Nairobi wanaporudi makwao kutokana na ubovu wa barabara zetu.kwa Mkapa uko sahihi lkn usisahau Mkapa hakuwa mtu wa kujipiga kifua na hivyo watu wengi hata hawajui mambo ambayo Mkapa alifanya, mfano mdogo tu shule za Kata wanamsifia lowasa (RIP) wafuasi wake at least lkn hawajui kwamba ni brain ya Mkapa kupitia Paris club ambapo tulitimiza masharti na ku-qualify kusamehewa madeni na sharti lilikuwa hela ya msamaha wa madeni iende kwenye ujenzi wa Shule ndipo shule za Kata ziliposambaa nchi nzima sasa lowasa was at the right place at the right time akasema amejenga shule za Kata lkn hawaambii fedha alitoa wapi huo ni mfano tu, na hukuwahi kumsikia Mkapa akipigaia hiyo legacy alikaa kimya tu hata mradi wa maji ya Ziwa Victoria yote kazi alipiga Mkapa lkn wengine wakasema ni wao wamefanya.
Mkapa alifanya makubwa klk raisi yoyote yule sema inahitaji uelewa pia kuliona hilo, uchumi wote unaoshamiri Tanzania ni kazi ya Mkapa kuanzia Banking industry kama NMB au CRDB leo hii anasifiwa raisi samia kwa faida ya NMB, hata TRA kama ilivyo leo hii ilikuwa reformed na Mkapa, alianzisha EPZ kule barabara ya mandela Mabibo viwanda vya nguo Arusha yote Mkapa, kampuni zinazofanya vizuri leo hii TZ kama TBL kabla ya Mkapa hakuna aliyekunywa bia ya Tanzania bila kuumwa kichwa kesho yake, kiwanda cha Sigara ni success story yote brain ya Uongozi wa Mkapa kwanza unaweza kusema miaka 10 iliyofwata baada ya Mkapa ilikuwa ni lost decade.
hivyo kwa Mtanzania wa kawaida ni ngumu kuelewa kazi ya Mkapa usisahau hata waliita ukapa kipindi chake sababu ya fiscal discipline na kufight against wizi wa fedha za uma kama leo hii ambapo wanaambiwa wale kwa urefu wa kamba.
Usisahau pia Mkapa alijenga Bunge Dodoma hivyo alihamisha mhimili wa kwanza ktk Karimjee kwenda Dodoma, waliofwata walipaswa wahamishe Mahakama na Serikali lkn miaka 10 udom tu ilijengwa hata mpaka leo haijakamilika yote badoβ¦
Mimi sijawahi kutishwa na picha ,Huwa natishwa na takwimu za uhalisia elewa hivyo.ππ
Hatari sana..... Mama anaupiga mwingiGazeti la mwananchi lilianzisha kura za mtandaoni ama poll ya kuuliza wadau ni sera za kiongozi yupi wa Tanzania kati ya Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia wanazozikubali.
Matokeo ya kura yakaonesha Kikwete kupata 17% sawa na Samia, Mkapa kupata 7% na Magufuli kupata 57%.
Baada ya matokeo hayo kutoka, Mwananchi wameamua kuomba radhi kwamba uchaguzi ama vigezo vilivyotumika havikuwa sahihi wanaomba radhiπ.
View attachment 2973698View attachment 2973699
Mwalimu wako alipata shida sana shuleni.Ndio Mimi ni mwerevu maana nafanya judgement Kwa hoja, takwimu na uhalisia sio moyo.
Narudia kukwambia Samia amemzidi Magufuli mbali sana,bila kujalisha wajinga wengi wanasemaje.
Mkuu nenda kaangalie tena kichwa chako kama kina akili au tope. Yaani bado unalilia mashirika ya umma kuwa chini ya Serikali??Mkapa alietuweka kwenye mgao wa umeme unawaka saa sita usiku hadi kumi na moja asubuhi? Mkapa alieuza nyumba za Oyster Bay? Mkapa aliye binafsisha mashirika bila faida kwa umma. CCM haijawahi kuwa na viongozi wazuri.
Kabisa. Simu itakuwa ziliitaWatakuwa wamekoromewa...
Ila ujumbe ushafika!
Kaka ni better kwako sio kwa watu wote na huu ujinga wa kusema ni better kuliko Magufuli jitahidi kuuficha hasa utaje humu jukwaani! Ila huko mtaani utakuwa kituko!Huna hoja lazima ukimbilie kwenye matusi ππ
Narudia kukwambia Samia is way better than Magufuli,nakupa takwimu ndogo tuu hapa πView attachment 2973828
Bahati mbaya online polls haziko scientific. Yeyote anauliza maswali na ku fit in parameters. Hizo aspects zingine labda utumie "survey monkey" ambayo ni application specific kwa research'Statistics' kama ilivyo kwa taaluma ya uchumi, huwezi kukosa sababu ya kisingizio kwa nini namba hazionyeshi kama ulivyotegemea wewe. Hapa unahoji 'demographics'; lakini isingewezekana Mwananchi wachambue watu maalum wa kuwauliza maswali ili wapate majibu sahihi. Labda unachoweza kusema sasa hivi, ni kuchambua hizo data walizopata, kama kulikuwepo na kipengere cha umri, sasa waangalie hao 'responders' wa umri gani wanalalia kwa kiongozi yupi.
Lakini hilo haliwezi kufanya matokeo ya utafiti yasiwe halali.
Atapataje shida wakati darasani tunajaza majibu sahihi? Yaani Mimi Nina div 1 kuanzia Std seven hadi form 6 atapataje shida?Mwalimu wako alipata shida sana shuleni.
Kipindi hiko baba alikua analipa madeni na investment zake zikiwa owned risk,Mimi sijawahi kutishwa na picha ,Huwa natishwa na takwimu za uhalisia elewa hivyo.ππView attachment 2973826
Huna hoja lazima ukimbilie kwenye matusi ππ
Div 1 ikatoke kwenye kichwa maji hichoAtapataje shida wakati darasani tunajaza majibu sahihi? Yaani Mimi Nina div 1 kuanzia Std seven hadi form 6 atapataje shida?
Nyie wajinga ambao mnatumia hisia za chumbani kwenu kulinganisha na mnakimbia takwimu ndio Walimu wenu waliokata shida π€£π€£
Takwimu za uhalisia hizi hapa πView attachment 2973831
Ndio maana nakwambia kwani wewe ukisema Magufuli ndio better itaondoa ukweli kwamba kule RukwaKaka ni better kwako sio kwa watu wote na huu ujinga wa kusema ni better kuliko Magufuli jitahidi kuuficha hasa utaje humu jukwaani! Ila huko mtaani utakuwa kituko!
Atapataje shida wakati darasani tunajaza majibu sahihi? Yaani Mimi Nina div 1 kuanzia Std seven hadi form 6 atapataje shida?
Nyie wajinga ambao mnatumia hisia za chumbani kwenu kulinganisha na mnakimbia takwimu ndio Walimu wenu waliokata shida π€£π€£
Takwimu za uhalisia hizi hapa πView attachment 2973831